Hatutaki Tabia hizi za wanaJF mibaba!

Hatutaki Tabia hizi za wanaJF mibaba!

hukuniona nilipokuwa nakutongoza kwa macho?
nilikuwa nayapekecha kama ya Rose1980,
Baba Enock sikutaka atuone!!!!!!

Sikukuona bana aaakkkk du nitumie PM basi
yakunitongoza nifurahi wewe macho tu unafikiri yanatosha???
Basi tukikutana tena pale JJ utanitongoza eeehhh
 
ikihamia kwangu hakuna mby tena bora hiyo ya kichwa ikikata ntairekebisha kuliko ile ya kichwa cha chini ikikata mpaka nianze kuimba kasimama peke yake kamuona mchumba wake ni leo?
yaliyomo yamo kumbe!!
 
sasa itakuaje paka nitakimbiwa mpaka lini na uzee waja kwa kasi hata kunidanganyishia tu hawataki Mwe

Hivi Maty, katika kutongozana,
inabidi jibaba uwe tayari na vichupa vya nyagi mkononi au?
 
nipe hilo bichwa la samaki tu nilile hapo nijitolee mijifupa mwenyewe
Ewaaa....ukiona unakubali utakua unachuma majani hapa...
File:Leavessnipedale.jpg

Sijui nikupege lizawadi gani ili uamini nakupendaga....

...
 
Jamani kina dada mbona hamtaji wanaowatongoza ili tufanye evaluation ya hii kitu.:horn:
1. Asprin😛lane:
2. Kimey
3.Teamo
4. ST.RR kishakili mwenyewe
5.Acid
6. Bacha
7.Uporoto
8.PakaMweusi
9.Bujibuji:A S 39:
10.Mr Prezident
11.. Baba Enock :roll:
12. The Finest -mkwe
nakija :A S thumbs_down:
 
Sasa maana ya kufahamiana nini
Kama Jamaa yuko single anahitaji Support yako
Pili kama uko single na wewe pia si mna enjoy tu mambo yanakuwa Shwari
Ila kama ana mke nakushauri mchane Live maana hiyo tabia ni mbaya
 
nipe hilo bichwa la samaki tu nilile hapo nijitolee mijifupa mwenyewe

Nitakuleteago lifuso lizima la vichwa vya masamaki....(kama ulimaanisha samaki wa majini)
 
Sikukuona bana aaakkkk du nitumie PM basi
yakunitongoza nifurahi wewe macho tu unafikiri yanatosha???
Basi tukikutana tena pale JJ utanitongoza eeehhh

ngoja nianze kutafuta pozi la kukutongozea,
nyinyi si huwa mnachuma majani eeeh?
 
Jamani kina dada mbona hamtaji wanaowatongoza ili tufanye evaluation ya hii kitu.:horn:
1. Asprin😛lane:
2. Kimey
3.Teamo
4. ST.RR kishakili mwenyewe
5.Acid
6. Bacha
7.Uporoto
8.PakaMweusi
9.Bujibuji:A S 39:
10.Mr Prezident
11.. Baba Enock :roll:
nakija :A S thumbs_down:

FL1 bana......
 
Jamani kina dada mbona hamtaji wanaowatongoza ili tufanye evaluation ya hii kitu.:horn:
1. Asprin😛lane:
2. Kimey
3.Teamo
4. ST.RR kishakili mwenyewe
5.Acid
6. Bacha
7.Uporoto
8.PakaMweusi
9.Bujibuji:A S 39:
10.Mr Prezident
11.. Baba Enock :roll:
nakija :A S thumbs_down:


duuhh mie sura chachu napenda rugby kila mwanume ananikimbia lol
hahahahah :crying:
 
Nikishampata pearl ntakuja kwako....rest assured!

lol afasali moyo wangu umetua, lakini mpaka tuonane maana inawezekana ukiniona ukanikana lol hz pm wala siziamini
 
duuhh mie sura chachu napenda rugby kila mwanume ananikimbia lol
hahahahah :crying:

Mie pia nashangaa sijui nina kasoro gani lol?
Hivi kuna watu wasipotongozwa week wanaenda kwa karumanzira au shekhe Yahaya kusoma nyota.
 
Back
Top Bottom