Hatutaki Tabia hizi za wanaJF mibaba!

Hatutaki Tabia hizi za wanaJF mibaba!

Mbona hii imekaa kama Nataka...Sitaki....
Nakushauri mpeleke kwa wazazi wako ili kujua how serious he is!
 
Sitongozi tena hapo kwako nimefika Cheusi kanitelekeza mwezi sina habari zake nawe naona TF hachezi mbali na P..

mmhh usijali
Cheusi bado anawaza akununulie zawadi gani lol..

aaahhh TF na mie tuache tu..... hatueleweke ndo maanake lol
mapenzi kizungu zungu lol
 
hahahaaaaaaaa sasa hv wanaogopa kubandikwa hapa mbona tutachacha

hahaaa,ucjalui kama wao wanaogopa sisi tutajitongozesha si unajua ile prinsipo ya 50% kwa50% siku hizi!
 
Zinachekesha sana mie naanza kutongoza sasa

hahahah lol
baada ya zile PM ndo nilijua kuna wanaume wako disparate sana na wanawake lol
hahahh lol

Nway jaribu ukipata tamu kama zile za infi usinisahau hahahah lol
 
Kama kucheka umenichekesha walahi mwanaume anaeanza namna hiyo hafai katika jamii kwanza ana hali ya ushamba fulani..
HIVI UNADHANI WANASHINDWA KUANZA ?
MENGINEYO YANFATIA LAKINI UNAJUA BANA

Ok ebu twende slow:-

"..,,,Mambo mtoto mzuri?, vipi umeshatoka job?, nimekuwa nikisoma mabandiko yako hapa JF kwa kweli yananivutia sana na sijui imekuwaje kila unapobandika huwa nasikia roho "inapasuka"! Kha! Anywayz nadhani ni mipango ya Mwenyezi mungu, lakini yaani nashindwa hata kuelezea.. Mimi naishi Mwanza ni Mwalimu wa Shule ya Sekondari Sengerema, vipi wewe unaishi wapi na unafanya kazi gani?

Mimi nimeoa nina mke na watoto saba, na maisha yanaenda, namshukuru Mungu.. Kama hutajali ningependa tuwe marafiki wa kawaida tuwe tuna-chat hapa JF na ikiwezekana siku moja tutaweza kuonana na kuongea mengi.. Bye kwa leo.. Namba yangu ya simu ni +2711505800800 Mwanza. . Jioni Njema ............."

Samahani wakuu hii ni sampo ... Baba_Enock ni Paroko!
 
Nani kamtongoza dada yake huyu?

images



Anyway nawasiwasi kuwa huyu mama alitongozana na mtu kwenye PM wakakutana wanakojua wakamalizana, na yule mtu akamchunia moja kwa moja labda alijua atamwoa ....... ID kabadili na simu haipatikani so this was ze onlyi wei tu deliva the meseji.
 
Back
Top Bottom