Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,080
- 4,273
duuuhhh
nane mbona zimefika 12 lol
hahahha lol
ndo maana wengine hatupati ajili wote wana ku PM weye lol
Pole kwani na zile nyingine umezisahau?? Ha ha ha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duuuhhh
nane mbona zimefika 12 lol
hahahha lol
ndo maana wengine hatupati ajili wote wana ku PM weye lol
ah ah ah wala huzibiwi kwani ndoo ya maji hii mpaka ijae?leta tu cv tuchambue
Sitongozi tena hapo kwako nimefika Cheusi kanitelekeza mwezi sina habari zake nawe naona TF hachezi mbali na P..
wanaogopa kuchanwa live hapa umeona maty alivyosema tutachacha ile mbaya
Pole kwani na zile nyingine umezisahau?? Ha ha ha
waambie wasihofu bwana,sisi tunajua kuhandle adult issues,so kutongozwa ni kitu kidogo sana. Haahaa...
kwahiyo ni DALADALA ambazo hazijai??!!!
hahahahah lol zile za infi lol
kila nikizisoma mbavu sina lol..
ahhh kuna raha duniani lol
with daladala mmoja akishuka mwingine anawahi siti fasta,so yy kesha omba msaada kwenye tuta ww nisubiri hapooo mbele naja
hahahaaaaaaaa sasa hv wanaogopa kubandikwa hapa mbona tutachacha
Zinachekesha sana mie naanza kutongoza sasa
tutawatongoza sisi sasa zamu yetu maana wao waoga sasa hivi
Kama kucheka umenichekesha walahi mwanaume anaeanza namna hiyo hafai katika jamii kwanza ana hali ya ushamba fulani..
HIVI UNADHANI WANASHINDWA KUANZA ?
MENGINEYO YANFATIA LAKINI UNAJUA BANA
Sishuki.....
lol basi mie ntashikilia bomba mpaka mwisho
hivi Dena na BE
mmesha gawa kila kitu 50/50
AD - whaaaaaaaaaaat?
Unataka tuanze kutongozana upya? Mimi nimechoka kutongoza - TrustME!