subzero,
Ungeandika FAO - Kiongozi uporoto1 angekuelewa!
BTW:: Wewe ulizaliwa street au hospitali? Labda umelelewa na umekulia Mtaa wa Uporoto? right?
nimezaliwa hm ndomana nimesema hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
subzero,
Ungeandika FAO - Kiongozi uporoto1 angekuelewa!
BTW:: Wewe ulizaliwa street au hospitali? Labda umelelewa na umekulia Mtaa wa Uporoto? right?
mbona dada dena alipontaka nilimjibu kistarabu mpaka akanielewa. husniyo pia hivyo hivyo. na yule mwingine nani?
Clearing mambo?Si bora wewe umetongozwa na wababa/kaka wa JF wenye hadhi zao, mwenzio mmoja katongozwa ha houseboy wake
Si bora wewe umetongozwa na wababa/kaka wa JF wenye hadhi zao, mwenzio mmoja katongozwa ha houseboy wake
Nilizaliwa Mbeya naipenda sana milima ya uporoto nilikuwa naenda hiking huko.yap, uporoto ni street which i was born
Without you my days are "Sadday,"Moanday, "Tearsday, "Wasteday, "Thirstday, "Fightday", and "Shatterday"(ngoja na mimi nikutongoze ila hala hala usije ukanianzishia thread)Clearing mambo?
huyu hakumpenda ndo maana anataka kumchana live humu ingekuwa kinyuma ungesikia uko wapi n pm KIBAO acha utoto
Hahaha halafu wewe ngoja tu..Without you my days are "Sadday,"Moanday, "Tearsday,
"Wasteday, "Thirstday, "Fightday", and "Shatterday"(ngoja na mimi nikutongoze ila hala hala usije ukanianzishia thread)
Unajua Dena,wale wa ofisini atawaambia huko ofisini,wale wa JF awaambie hapa hapa.....
Kutongozwa si ishu,najua hadi uzee tutatongozwa,but kila mtu ana objectives zake za kuwa mahali, JF ni sehemu ya ku-share mawazo na kwa namna moja au nyingine si vibaya ukitengeneza marafiki......najua tuko watu wa aina tofauti hapa,lakini kuwa tofauti haitufanyi tu -tolerate kila kitu.......kuna vitu vina haribu mood ya kuwa hapa,kama hilo la mtu kaoa anaku-PM,na usifikiri ukimkataa anakuacha,wanaendelea tu........:crying:
swity....huo ni usumbufu wa kawaida kabisa kwa wanaume wote, hapo anaendelea kujaribi mpaka apate atakacho, ukimu ignore hata rudia tena, we muache a2me weee coz c umeshajua hana jipya? bac unazi delete tu, kumbe warembo humu mnapitia mengi eeh haya poleni lakini ishu ya mwanaume hakunaga cha JF wala mgalatia na mpetekoste kwenye swala la kuvua gagulo.....
Hahaha halafu wewe ngoja tu..
Cku nikukamataa!
swity....huo ni usumbufu wa kawaida kabisa kwa wanaume wote, hapo anaendelea kujaribi mpaka apate atakacho, ukimu ignore hata rudia tena, we muache a2me weee coz c umeshajua hana jipya? bac unazi delete tu, kumbe warembo humu mnapitia mengi eeh haya poleni lakini ishu ya mwanaume hakunaga cha JF wala mgalatia na mpetekoste kwenye swala la kuvua gagulo.....
Nilikutafuta sana jana sijakuona. Mapoint yote umeongea
Hahaha halafu wewe ngoja tu..
Cku nikukamataa!
dearest nilikuwa busy sana jana, ndio nili report kwenye kutafuta ugali....sasa hizi pm naona zinaleta shida kabisa warembo wanashindwa kutofautisha kati ya kutamaniwa/kupendwa/kutongozwa, hao waume za watu wanawatamani tu kimbizaneni na hao wakina Finest ndio wanatongoza.
wewe ukitongozwa utasema?Hahhah hebu nenda kwa thread ya kuachana vs umri kule kuna mtu kanichokoza sijui ni she/he cmuelewi ananifananisha
dearest nilikuwa busy sana jana, ndio nili report kwenye kutafuta ugali....sasa hizi pm naona zinaleta shida kabisa warembo wanashindwa kutofautisha kati ya kutamaniwa/kupendwa/kutongozwa, hao waume za watu wanawatamani tu kimbizaneni na hao wakina Finest ndio wanatongoza.