Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,357
Kabisa ila kifinest chenyewe kibahili hicho sijui nani atakikubali
dearest....una believe kwenye hiyo kitu? hakunaga mwanaume mbahili, acpokupa wewe jua kuna kwingine anatoa kama ifuatavyo......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa ila kifinest chenyewe kibahili hicho sijui nani atakikubali
dearest....una believe kwenye hiyo kitu? hakunaga mwanaume mbahili, acpokupa wewe jua kuna kwingine anatoa kama ifuatavyo......
dearest....una believe kwenye hiyo kitu? hakunaga mwanaume mbahili, acpokupa wewe jua kuna kwingine anatoa kama ifuatavyo......
Bwana mie nilikaa nako kakataaa kulipa bill halafu hakakunitongoza bana. Ningeanzisha thread. Serengeti Boy wa JF kanitongoza aha ha ha ha
Me like this
1. Sikukutongoza
2. Sikulipa bili
:welcome:
Nyamayao nilikuwa mbahili kwake huyo anataka kunipeleka kwenye saloon za laki mbili kwa siku nani akubali
kijana chukua watu wa uwezo wako...khaaa, umezoea wale wanasokotwa rasta pale buguruni na wamasai?
kijana chukua watu wa uwezo wako...khaaa, umezoea wale wanasokotwa rasta pale buguruni na wamasai?
Yeye sijui alijua mimi namiliki vituo vya BP kwahiyo hela zinatoka kama petroli au diseli
kijana chukua watu wa uwezo wako...khaaa, umezoea wale wanasokotwa rasta pale buguruni na wamasai?
Ha ha ha ha ha Vya urithi au vyako mwenyewe
Lakini haya maongezi si ndio mwanzo wa kuanza kutongozana
Ukinitongoza nakuanzishia thread
ukimwambia haelewi sijui ndiyo wanaita the power of alcohol!
napita tu jama
Hahahaha lifataki lilikukalia kooni pole
Kwahiyo - Tutongozane au la?
Hivi Sista Gabriella ameisharudi Sacristia au bado???
Kuna jamaa aliuliza mbona wakinunuliwa prado na vitz hawasemi ni mafataki