ww ach kutuchanganya, ww mwanamke usitomgozwe kilema au? i mean huna uchi au? au Dume jike, mbona sioni hoja hapa,
aaaahhaaaaa imekuelewa nahisi hamjakubaliana bei mmekutana bar ukachomoa then unaleta hapa, au ww si mrembo, their is something
kutongozwa jambo la kawaida sana.
mkitongozwa mnalalamika, usipotongozwa unalalamika, which is which? kwani unalazimiswa, ni maongezi tu, unasema hutaki basi,
au unasema nina wangu period, ww ni matured i hope, vp? that's nature ndio maana watu wanaoana, atajuaje kama hujaolewa au umeolewa? au mbona ukikubali mkila raha unasherehekea kwa miguno na full shangwe?
tena unaanza kusema sikujua kama JF ningempata mwanaume mzuri kama ww.
vitu vya kawaida sana hivi
Hivi bado mnadiscuss kaaahhhutongozana au thread imeshachakachuliwa???? Hebu tuzungumze mambo mengine bana
mada imewashika hii. Naona wanajitetea tetea.
Hivi bado mnadiscuss kaaahhhutongozana au thread imeshachakachuliwa???? Hebu tuzungumze mambo mengine bana
Katiba ipi Darling?
hivi Husninyo, nini mbaya, kutongozwa ama kutongoza.....ni wakati gani inapokuwa ukimtongoza mtu inakuwa mbaya?
halafu, unajua kuna wanawake wasipotongozwa wanaenda kwa waganga kuwa wamekosa nini mbona hawaaangaliwi?
vyote vizuri kwa sababu ni njia mojawapo ya kuonesha hisia zako.
Wakati mbaya wa kutongoza ni pale unapojua kabisa unatongoza kwa sababu una shida ya 'downstairs' tu yaani huna mapenzi kutoka moyoni.
Wanaenda kwa waganga kwa sababu katika maisha yao wanafocus kuvuta attention za wanaume, inapotokea mambo yapo kinyume hujiona hawavutii.
Thanks umejibu kwa busara kabisa kama kawaida yako...hivi uanniruhusu nirudi dar lini? Nihurumie mwenzio!
sasa hapo kwenye kutongoza, mapenzi kutoka moyoni yanaangalia vitu gani hasa? umri? pesa? dini? kabila? ama ya moyoni yanakuwa ya moyoni bila kujali hali nyinginezo? LOL
Hakuna dhambi kama hiyo bana. Kukubali mume/mke wa mtu ndo dhambi
jamani kutongoza si kosa,ila kinacholalamikiwa na bidada hapa ni mibaba mijitu mizima kabisa kumtongoza kibinti kidogo.
na inaonyesha amekataliwa na bado anakomalia tu.
Thanks umejibu kwa busara kabisa kama kawaida yako...hivi uanniruhusu nirudi dar lini? Nihurumie mwenzio!
sasa hapo kwenye kutongoza, mapenzi kutoka moyoni yanaangalia vitu gani hasa? umri? pesa? dini? kabila? ama ya moyoni yanakuwa ya moyoni bila kujali hali nyinginezo? LOL