Hatutaki Tabia hizi za wanaJF mibaba!

Hatutaki Tabia hizi za wanaJF mibaba!

hahahahaaa baba enock huyu mwenze2 anakimbia bahati wakati mi mwenzie kuna m2 mpaka nimemwambia gest nitalipa mwenyewe kanambia tangulia cjamwona toka saa 5 asbh kwi kwi kwi mkosi gani huu

ah ah ah ah ah ah ah ah ah ah - That is Matty The Great - Post of the Day
 
dont out beb ..............comeeeee pls.............UTANTONGOZA?PLS ntongoze jaman...:smile-big:

Jino kwa Jino mmemalizana kimya kimya leo unaomba utongozwe Rose???
Mbona mshenga hamnipi updates???😛lane:
 
Ndio maana mimi sitakaa nije kukutana na nyie, yaani mambo yoote yataisha hapa hapa, ni inaambatana pia na sababu maalumu! nawakilisha
 
baba enock una kesi sista gabriela ametoweka parokiani hajaonekana, mara ya mwisho alionekana akiwa na wewe

Yupo kwenye "retreat" - Ni kweli nilikuwa naye maeneo ya Kanisa lakini sikuwa "namtogoza" bali mahubiri tu!
 
hahahahaaa baba enock huyu mwenze2 anakimbia bahati wakati mi mwenzie kuna m2 mpaka nimemwambia gest nitalipa mwenyewe kanambia tangulia cjamwona toka saa 5 asbh kwi kwi kwi mkosi gani huu
Ha ha ha ha MATY nimecheka mpaka nimepaliwa na hii supu ya pweza
 
Jino kwa Jino mmemalizana kimya kimya leo unaomba utongozwe Rose???
Mbona mshenga hamnipi updates???😛lane:

jino kwa jino nilkuwa kwenye kikao naye juzi TUKITONGOZANA kwa raha zetu...na tumekubaliana..ntamzalia watoto 7 kama siku 7 za wiki...

shost kutongozwa nako kes ennh?
mi naenda kwa fransis cheka kupata koz ya kujiami na matongozo we mwenzangu unajihami nanin..wewe uko mchek tyson kabisa mwenzangu..:smile-big:
 
Sorry,kwa vigezo vyovyote unavyoweza tumia,am a grown up!
Kutofautiana mawazo isimaanishe sijakuwa!!!!

Mtu mzima huwa anajua jinsi ya ku-manage utongozwaji, yeye mwenyewe (mwanamke lazima atongozwe.....).......na mtoto akitongozwa anaenda kumwambia mzazi/mlezi wake.....where do you fall michelle?
Tubaki kutokubaliana......
 
Back
Top Bottom