Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,628
- 3,535
Ni utoto tu wakikua wataacha......
Sorry,kwa vigezo vyovyote unavyoweza tumia,am a grown up!
Kutofautiana mawazo isimaanishe sijakuwa!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni utoto tu wakikua wataacha......
hahahahaaa baba enock huyu mwenze2 anakimbia bahati wakati mi mwenzie kuna m2 mpaka nimemwambia gest nitalipa mwenyewe kanambia tangulia cjamwona toka saa 5 asbh kwi kwi kwi mkosi gani huu
dont out beb ..............comeeeee pls.............UTANTONGOZA?PLS ntongoze jaman...:smile-big:
Jamani mie nina mkosi gani? Cjawahi tongozwa hata na mmoja mwe! Ni2pie mimi huyo akusumbuae angalau na mi nijione mwanamke lol
Kumbe kiongozi upo huko??? wacha nikae kimya....
Nilikuwa Nasalimia tu Kiongozi - Baba_Enock is "saint-to-be"!
baba enock una kesi sista gabriela ametoweka parokiani hajaonekana, mara ya mwisho alionekana akiwa na wewe
baba enock una kesi sista gabriela ametoweka parokiani hajaonekana, mara ya mwisho alionekana akiwa na wewe
Ha ha ha ha MATY nimecheka mpaka nimepaliwa na hii supu ya pwezahahahahaaa baba enock huyu mwenze2 anakimbia bahati wakati mi mwenzie kuna m2 mpaka nimemwambia gest nitalipa mwenyewe kanambia tangulia cjamwona toka saa 5 asbh kwi kwi kwi mkosi gani huu
Skulimeti unafanya nini huku kwenye CRAP?
Umesomeka mama,subiri tu PM ya Paka Mweusi sasa.......
Kumbe kiongozi upo huko??? wacha nikae kimya....
Skulimeti unafanya nini huku kwenye CRAP?
Yupo kwenye "retreat" - Ni kweli nilikuwa naye maeneo ya Kanisa lakini sikuwa "namtogoza" bali mahubiri tu!
najua wewe si fataki,,wafanza nini hapa?
na hichi ndio kifanyikacho so akili ku mkichwa mdada. Ila wengine 2na mkosi mbona ha2pati psi psi jamani?
dont out beb ..............comeeeee pls.............UTANTONGOZA?PLS ntongoze jaman...:smile-big:
Jino kwa Jino mmemalizana kimya kimya leo unaomba utongozwe Rose???
Mbona mshenga hamnipi updates???😛lane:
Sorry,kwa vigezo vyovyote unavyoweza tumia,am a grown up!
Kutofautiana mawazo isimaanishe sijakuwa!!!!