Hatutaki Tabia hizi za wanaJF mibaba!

Hatutaki Tabia hizi za wanaJF mibaba!

Tulalamike nini sasa,si watu tunaowajua wamefanya hivyo na wasio na ndoa,sasa mtu kaoa na anasema,mi wa nini????
Si kila mtu anakuwa na mtu kwasababu ya magari,thats so low!..................!!! wala wengine hatujakutana nao in person,sasa hizo Rav4 wananunulia avatar??? Just thinking aloud!!!!

Unajua nilivyoiona avatar yako nikajua kwamba ndivyo ulivyo, kwahiyo nilivyokupenda kupitia avatar yako sikukosea kwakuwa naamini hiyo avatar hukuichagua kimakosa, itakuwa inashabihiana na ukweli wa sura yako. Na mimi bahati nzuri ninapendaga wanawake wa aina yako usinichukie bure, nilijikuta tu nimekupendaga. Hapa jf tunapenda kwanza avatar halafu kazi ndo inaanza, tukionana live mchezo unaisha:smile-big:

Back to the point, ni haki yake bi shosti kulalamika kama kuna mtu ana msumbua kupitia mgongo wa jf lakini ukilitazama suala hili kwa upande wa pili inabidi ujihoji kwa kina ni kwa nini shosti afikie uamuzi wa kumuanzishia sredi? huenda kuna mambo mengi watakuwa wamezungumza huko na sitaki kumlaumu huyo jibaba kwa kuwa hii ni habari ya upande mmoja tu. Na kwa siku hizi tunajua mijibaba ndio inayotoa vitz, na rav4 hapa mjini wala haina muda wa kushusha mistari, unakabidhiwa ufunguo wa rav4, then habari yake kwishney.

Na kama hujakutana nao in person, wanaanza na pm kama ulivyosema hapo awali, ukionyesha positive response ndio wanaendelea mbele, kwahiyo bi shosti usiwe na jazba huo ndio ukweli wenyewe, siku hizi rav 4 ndio kitongozeo hapa mjini!!
 
kesi yangu n ww hatuwezi kuongelea hapa mbele za watu na kuwapa faida watu wengine kwa kukiri upungufu wetu,mm na ww tutaongea nyumbani chumbani baada ya kumaliza kula tam ukishushia na jani na nyagi bariiiiidi{asiyejua maana haambiwi maana}Tutaendelea kutongozana tu maana tusipotongozana kuwa kina pita huku nikupige na maganda ya yai na majani ya chungwa!:A S 39::A S 39::A S 39:

Afadhali kabisa maana angemwaga kila kitu hapa
 
WanaJF tuna mawazo mazuri sana ya kukutana na kufahamiana, ila kinachosikitisha ni kwamba ndani ya mikutano hii majibaba mengine inatumia kutufataki! Inatongoza kila mdada!! Tuwafanyaje hawa? tuanzishe wikleaks kwa ajili yao?
samaki wa Musomaa bana tofauti na wa Mwanza.... balaa tupu

Trust me... leo nimemisi JF lakini hii thread kiboko...

Hivi tumefikia huku sasa? he....
 
kesi yangu n ww hatuwezi kuongelea hapa mbele za watu na kuwapa faida watu wengine kwa kukiri upungufu wetu,mm na ww tutaongea nyumbani chumbani baada ya kumaliza kula tam ukishushia na jani na nyagi bariiiiidi{asiyejua maana haambiwi maana}Tutaendelea kutongozana tu maana tusipotongozana kuwa kina pita huku nikupige na maganda ya yai na majani ya chungwa!:A S 39::A S 39::A S 39:

Sema pearl....nina apetite ya kukutongoza....:fish2:
 
Jamani mie nina mkosi gani? Cjawahi tongozwa hata na mmoja mwe! Ni2pie mimi huyo akusumbuae angalau na mi nijione mwanamke lol

Basi kuanzia leo hesabu huo mkosi ume-RIP.

i'm here for you baby!! will you.......??
 
na hichi ndio kifanyikacho so akili ku mkichwa mdada. Ila wengine 2na mkosi mbona ha2pati psi psi jamani?

!!!!????? 😛lane: Impossssible !!!! Are u serious?
 
na hichi ndio kifanyikacho so akili ku mkichwa mdada. Ila wengine 2na mkosi mbona ha2pati psi psi jamani?

!!!!????? 😛lane: Impossssible !!!! Are u serious?
 
WanaJF tuna mawazo mazuri sana ya kukutana na kufahamiana, ila kinachosikitisha ni kwamba ndani ya mikutano hii majibaba mengine inatumia kutufataki! Inatongoza kila mdada!! Tuwafanyaje hawa? tuanzishe wikleaks kwa ajili yao?

waungwana wanasema kuwa usipochafuka utajuaje usafi?
Nafikiri si kutongozana bali ni kushare experiences!!!
Usiwe na wasiwasi TRUSTME!!!!!!
 
ah ah ah nisipotongozwa ntajijuaje kama ni mzuri na bado nalipa?na Mungu alitulia ktk kunifinyanga?kwanza kwa kunitongoza kwako napata experience zaidi na ktk CV yangu mambo yanaongezeka,karibu sana mpz tutongozane!:smile-big:
Sema pearl....nina apetite ya kukutongoza....:fish2:
 
duuuhhh haya tena
naona leo zamu ya kina baba ..

nasubiria kesho nione zamu ya naniii??
Mambo switihati nimekumisi sio kipolepole jana usiku sijatia timu hapa ilikuwa siku ya pool/laga hope yo ok mi mzima.Usije nianzishia thread eti nakufataki lol!
 
Unajua nilivyoiona avatar yako nikajua kwamba ndivyo ulivyo, kwahiyo nilivyokupenda kupitia avatar yako sikukosea kwakuwa naamini hiyo avatar hukuichagua kimakosa, itakuwa inashabihiana na ukweli wa sura yako. Na mimi bahati nzuri ninapendaga wanawake wa aina yako usinichukie bure, nilijikuta tu nimekupendaga. Hapa jf tunapenda kwanza avatar halafu kazi ndo inaanza, tukionana live mchezo unaisha:smile-big:

Back to the point, ni haki yake bi shosti kulalamika kama kuna mtu ana msumbua kupitia mgongo wa jf lakini ukilitazama suala hili kwa upande wa pili inabidi ujihoji kwa kina ni kwa nini shosti afikie uamuzi wa kumuanzishia sredi? huenda kuna mambo mengi watakuwa wamezungumza huko na sitaki kumlaumu huyo jibaba kwa kuwa hii ni habari ya upande mmoja tu. Na kwa siku hizi tunajua mijibaba ndio inayotoa vitz, na rav4 hapa mjini wala haina muda wa kushusha mistari, unakabidhiwa ufunguo wa rav4, then habari yake kwishney.

Na kama hujakutana nao in person, wanaanza na pm kama ulivyosema hapo awali, ukionyesha positive response ndio wanaendelea mbele, kwahiyo bi shosti usiwe na jazba huo ndio ukweli wenyewe, siku hizi rav 4 ndio kitongozeo hapa mjini!!


Sasa mbona mi sijawahi kuahidiwa Rav4,au wanaangalia na sura??:crying::crying:
kama yeye and Range ya atataka tena kumpa rav4,huwezi jua mambo ya bi Trustme Mwita???? 😛lane:😛lane:
 
Skulimeti sijui yupo around?

Ukija naomba unijulishe maana ya neno "tongoza"? Inawezekana nachangia MADA bila kuelewa ni nini hasa bi/bwana "Trustme" alimaanisha kwa kuandika hilo neno!
 
Hivi kwenye hivyo vikao, mpendwa umetongozwa peke yako?
Pole mwaya. Nadhani muhusika/wahusika wamekupata
kwenye vikao mdada anakuaga peke ake wenzie wote jinsia me

sawa
lakin dahh i ya leo kali its like......mamamaaaaaaaaaaaa mamaaaaaaa juma kantongoza...!!!!!! mdada una miaka 30 apo ahhh

ajabu

Trustme - Siku hiyo mbona wewe ndiye uliyenianza bana? Halafu ukaninunulia na mzinga wa Jack D? Sasa unakuja kunianika hapa JF?

Wewe Mama Mubaya .. Tena Mubaya Sana - Trust ME!
umeona eeeeeee
 
waungwana wanasema kuwa usipochafuka utajuaje usafi?
Nafikiri si kutongozana bali ni kushare experiences!!!
Usiwe na wasiwasi TRUSTME!!!!!!


Kiongozi,

Unapotea sana bana - Trust ME! Nilishakuwa na wasiwasi kama Trustme alikuwa anakuogelea wewe kuwa umemtongoza - Trust ME!
 
Mambo switihati nimekumisi sio kipolepole jana usiku sijatia timu hapa ilikuwa siku ya pool/laga hope yo ok mi mzima.Usije nianzishia thread eti nakufataki lol!

Huyu mkubwa hawezi kusema hata ukimfataki
 
Back
Top Bottom