Hatutavumilia wahujumu wa dhamira njema ya Rais katika kuliunganisha Taifa

Hatutavumilia wahujumu wa dhamira njema ya Rais katika kuliunganisha Taifa

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Kupitia falsafa ya 4Rs,

Rais wa Tanzania Dr. Samia Suluhu Hassan ana lenga na anakusudia kuiponya Tanzania kwa majeraha mbalimbali ya kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa, na kujenga hali na mazingira ya kuaminiana na kurejesha imana za wanachi zilizotoweka katika kuamini taasisi za Umma.

Na kwahivyo, jitihada za makusudi, dhamira ya dhati na nia yake njema ni kutibu kabisa majeraha yote ya kisiasa, kuliunganisha taifa na waTanzania wote, na zaidi sana kufungua nchi miongni mwa mataifa ya ulimwengu.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Watu Wasiojulikana: Malisa aelezea tukio la kutekwa kwa Deus Soka na vijana wengine wawili wa CHADEMA

Katika kipindi kifupi sana cha uongozi wake wa awamu ya sita na kwakupitia serikali sikivu ya CCM, Rais, Samia Suluhu Hassan amefanikiwa kwa kiasi kikubwa mno kuwaleta waTanzania wote pamoja mathalani katika suala la maridhiano limechochea kwa kiasi kikubwa kidemokrasia nchini kuimarika sana, mikutano ya hadhara rukhsa, maandamano rukhsa, ukosowaji kwa Serikali rukhsa, uhuru wa maoni, habari, haki na usawa wa habari na kuabudu, chaguzi huru, sawa na haki n.k

Lakini pia, uwazi na uwajibikaji serikalini ni mkubwa sana, kwamfano sheria za uchaguzi na Tume Huru ya Uchaguzi vimefanyiwa marekebisho mukubwa sana muhimu kwa uwazi sana na kufanya mazingira bora zaidi na ya kuaminika kwa wananchi, kwamba chaguzi zetu hasa zinazokuja.

zinafanyika katika mazingira ya uwazi, usawa na uhuru ili kuondoa manung"uniko na sintifahamu na hujuma za wasiolitakia mema Taifa letu.

sasa katika hali hiyo, anatokea kiongozi muandamizi tena mteule wa Rais eti ng"we ng"we ng"we kuhusu uchaguzi? wateule wa aina hii ni sharti wabanduliwe kwenye nafasi zao maramoja bila maelezo wala ufafanuzi wa kina.

Soma Pia: Kama taifa, zawadi pekee ya kumpa Rais Samia kwa kazi nzuri ya maendeleo ni ushindi wa kishindo uchaguzi mkuu 2025 ikiwa atagombea

Huko ni kumuhujumu Mwenyekiti wa CCM taifa na kuhujumu kwa makusudi dhamira njema na jitihada kubwa sana za Rais Samia Suluhu Hassan kuliunganisha Taifa na kufungua nchi na zaidi sana kuimarisha umoja, amani, utulivu na mshikamano wa waTanzania wote.

Natoa rai kwa watumishi wa Umma kote nchini, kutunza ndimi zao na kuheshimu mamlaka hasa za uteuzi..🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Simply wenye uwezo wapewe nafasi, vetting ifanyike kwa umakini.
ni muhimu sana jambo hilo kuzingatiwa na kukumbusha mabiresho zaidi, japo ndivyo inavyofanyika pia hata sasa 🐒
 
kupitia falsafa ya 4Rs,
Rais wa Tanzania Dr.Samia Suluhu Hassan anakusudia kuiponya Tanzania kwa majeraha mbalimbali ya kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa..

na kwahivyo,
jitihada za makusudi, dhamira ya dhati na nia yake njema ni kutibu kabisa majeraha yote ya kisiasa, kuliunganisha taifa na waTanzania wote, na zaidi sana kufungua nchi miongni mwa mataifa ya ulimwengu...

katika kipindi kifupi sana cha uongozi wake wa awamu ya sita na kwakupitia serikali sikivu ya CCM, mtukufu Rais, Dr.Samia Suluhu Hassan amefanikiwa kwa kiasi kikubwa mno kuwaleta waTanzania wote pamoja mathalani katika suala la maridhiano limechochea kwa kiasi kikubwa kidemokrasia nchini kuimarika sana, mikutano ya hadhara rukhsa, maandamano rukhsa, ukosowaji kwa serikali rukhsa, uhuru wa maoni, habari, haki na usawa wa habari na kuabudu, chaguzi huru, sawa na haki n.k

Lakini pia, uwazi na uwajibikaji serikalini ni mkubwa sana, kwamfano sheria za uchaguzi na Tume Huru ya Uchaguzi vimefanyiwa marekebisho mukubwa sana muhimu kwa uwazi sana na kufanya mazingira bora zaidi na ya kuaminika kwa wananchi, kwamba chaguzi zetu hasa zinazokuja,
zinafanyika katika mazingira ya uwazi, usawa na uhuru ili kuondoa manung"uniko na sintifahamu na hujuma za wasiolitakia mema Taifa letu...

sasa katika hali hiyo,
anatokea kiongozi muandamizi tena mteule wa Rais eti ng"we ng"we ng"we kuhusu uchaguzi?
wateule wa aina hii ni sharti wabanduliwe kwenye nafasi zao maramoja bila maelezo wala ufafanuzi wa kina....

huko ni kumuhujumu Mwenyekiti wa CCM taifa na kuhujumu kwa makusudi dhamira njema na jitihada kubwa sana za Rais Dr Samia Suluhu Hassan kuliunganisha Taifa na kufungua nchi na zaidi sana kuimarisha umoja, amani, utulivu na mshikamano wa waTanzania wote...

natoa Rai kwa watumishi wa umma k nchini , kutunza ndimi zao na kuheshimu mamlaka hasa za uteuzi..🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Comments reserved
 
kupitia falsafa ya 4Rs,
Rais wa Tanzania Dr.Samia Suluhu Hassan ana dhamiria na anakusudia kuiponya Tanzania kwa majeraha mbalimbali ya kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa..

na kwahivyo,
jitihada za makusudi, dhamira ya dhati na nia yake njema ni kutibu kabisa majeraha yote ya kisiasa, kuliunganisha taifa na waTanzania wote, na zaidi sana kufungua nchi miongni mwa mataifa ya ulimwengu...

katika kipindi kifupi sana cha uongozi wake wa awamu ya sita na kwakupitia serikali sikivu ya CCM, mtukufu Rais, Dr.Samia Suluhu Hassan amefanikiwa kwa kiasi kikubwa mno kuwaleta waTanzania wote pamoja mathalani katika suala la maridhiano limechochea kwa kiasi kikubwa kidemokrasia nchini kuimarika sana, mikutano ya hadhara rukhsa, maandamano rukhsa, ukosowaji kwa serikali rukhsa, uhuru wa maoni, habari, haki na usawa wa habari na kuabudu, chaguzi huru, sawa na haki n.k

Lakini pia, uwazi na uwajibikaji serikalini ni mkubwa sana, kwamfano sheria za uchaguzi na Tume Huru ya Uchaguzi vimefanyiwa marekebisho mukubwa sana muhimu kwa uwazi sana na kufanya mazingira bora zaidi na ya kuaminika kwa wananchi, kwamba chaguzi zetu hasa zinazokuja,
zinafanyika katika mazingira ya uwazi, usawa na uhuru ili kuondoa manung"uniko na sintifahamu na hujuma za wasiolitakia mema Taifa letu...

sasa katika hali hiyo,
anatokea kiongozi muandamizi tena mteule wa Rais eti ng"we ng"we ng"we kuhusu uchaguzi?
wateule wa aina hii ni sharti wabanduliwe kwenye nafasi zao maramoja bila maelezo wala ufafanuzi wa kina....

huko ni kumuhujumu Mwenyekiti wa CCM taifa na kuhujumu kwa makusudi dhamira njema na jitihada kubwa sana za Rais Dr Samia Suluhu Hassan kuliunganisha Taifa na kufungua nchi na zaidi sana kuimarisha umoja, amani, utulivu na mshikamano wa waTanzania wote...

natoa Rai kwa watumishi wa umma k nchini , kutunza ndimi zao na kuheshimu mamlaka hasa za uteuzi..🐒

Mungu Ibariki Tanzania
DC amesema ukweli kwa mara nyingine.
 
kupitia falsafa ya 4Rs,
Rais wa Tanzania Dr.Samia Suluhu Hassan ana lenga na anakusudia kuiponya Tanzania kwa majeraha mbalimbali ya kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa..

na kwahivyo,
jitihada za makusudi, dhamira ya dhati na nia yake njema ni kutibu kabisa majeraha yote ya kisiasa, kuliunganisha taifa na waTanzania wote, na zaidi sana kufungua nchi miongni mwa mataifa ya ulimwengu...

katika kipindi kifupi sana cha uongozi wake wa awamu ya sita na kwakupitia serikali sikivu ya CCM, mtukufu Rais, Dr.Samia Suluhu Hassan amefanikiwa kwa kiasi kikubwa mno kuwaleta waTanzania wote pamoja mathalani katika suala la maridhiano limechochea kwa kiasi kikubwa kidemokrasia nchini kuimarika sana, mikutano ya hadhara rukhsa, maandamano rukhsa, ukosowaji kwa serikali rukhsa, uhuru wa maoni, habari, haki na usawa wa habari na kuabudu, chaguzi huru, sawa na haki n.k

Lakini pia, uwazi na uwajibikaji serikalini ni mkubwa sana, kwamfano sheria za uchaguzi na Tume Huru ya Uchaguzi vimefanyiwa marekebisho mukubwa sana muhimu kwa uwazi sana na kufanya mazingira bora zaidi na ya kuaminika kwa wananchi, kwamba chaguzi zetu hasa zinazokuja,
zinafanyika katika mazingira ya uwazi, usawa na uhuru ili kuondoa manung"uniko na sintifahamu na hujuma za wasiolitakia mema Taifa letu...

sasa katika hali hiyo,
anatokea kiongozi muandamizi tena mteule wa Rais eti ng"we ng"we ng"we kuhusu uchaguzi?
wateule wa aina hii ni sharti wabanduliwe kwenye nafasi zao maramoja bila maelezo wala ufafanuzi wa kina....

huko ni kumuhujumu Mwenyekiti wa CCM taifa na kuhujumu kwa makusudi dhamira njema na jitihada kubwa sana za Rais Dr Samia Suluhu Hassan kuliunganisha Taifa na kufungua nchi na zaidi sana kuimarisha umoja, amani, utulivu na mshikamano wa waTanzania wote...

natoa Rai kwa watumishi wa umma k nchini , kutunza ndimi zao na kuheshimu mamlaka hasa za uteuzi..🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Kung’olewa hakutoshi, kwanini hawachukuliwi hatua za kisheria kwa kauli hizo tata?
 
DC amesema ukweli kwa mara nyingine.
kama amesema Ukweli kuhusu awamu nyingine mathalani zilizopita hiyo ni juu yake,

lakini yeye kama muandamizi serikalini wa eneo husika hakutumwa hayo na dhamira ya dhati ya Dr Samia Suluhu Hassan siyo hiyo alikua akiizungumza yeye na hivyo kwa kifupi ni hujuma kwa Rais, katika jitihada za kuiponya nchi, kuliunganisha taifa na kufungua nchi miongni mwa mataifa ya ulimwengu 🐒

na sasa amepewa ruhusa, wakati na muda mzuri zaidi akaseme huo Ukweli mnao sema anasema,
kwan kuna ubaya wowote ndrugu zango 🐒
 
kama amesema Ukweli kuhusu awamu nyingine mathalani zilizopita hiyo ni juu yake,

lakini yeye kama muandamizi serikalini wa eneo husika hakutumwa hayo na dhamira ya dhati ya Dr Samia Suluhu Hassan siyo hiyo alikua akiizungumza yeye na hivyo kwa kifupi ni hujuma kwa Rais, katika jitihada za kuiponya nchi, kuliunganisha taifa na kufungua nchi miongni mwa mataifa ya ulimwengu 🐒

na sasa amepewa ruhusa, wakati na muda mzuri zaidi akaseme huo Ukweli mnao sema anasema,
kwan kuna ubaya wowote ndrugu zango 🐒
Hivi kweli mtu unasapoti CCM na mambo yake haya machafu kabisa. Hivi umewahi kujiuliza kwanini unasapoti CCM na kwamba ni haki kwa kufanya hivyo?
 
Kung’olewa hakutoshi, kwanini hawachukuliwi hatua za kisheria kwa kauli hizo tata?
si Lazima,
na hakuna haja hata kidogo, kama serikali mamlakani inao wajibu muhimu na mzito na wa maana wa kuwatumikia wanainchi na waTanzania wote, kuhangaika na wahujumu kutakuja baadae sana hawa wananchi watakapopata maendeleo 🐒
 
Ukweli inauma wenye akili timamu wanafafanua jinsi walivyokuwa wanaahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kulitumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi
ufafanuzi wetu mfupi sana na mujarabu mno tunaoutoa sasa ni uelekeo na dhamira ya dhati ya serikali ya awamu ya sita na nia Njema sana ya Dr Samia Suluhu Hassan ya kuliponya Taifa, kuliunganisha taifa na kufungua nchi miongni mwa mataifa ya ulimwengu🐒

mengine ni yale tu ambayo wachache wenu yamewajaa moyoni, na hii pia ni fursa kwenu kuyatoa ili mpate relief kidogo, ama niaje?🐒
 
Watafuta teuzi na chawa wa mama hivi mmekunywa chai kwanza.
suala la chai, mborika, supu ya mkia, mtori, uji au maziwa fresh ni kwa wale wenye bidii ya kazi tu, maana imeandikwa asie fanya kazi na asile wala hata kunywa chai tu🐒
 
kupitia falsafa ya 4Rs,
Rais wa Tanzania Dr.Samia Suluhu Hassan ana lenga na anakusudia kuiponya Tanzania kwa majeraha mbalimbali ya kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa, na kujenga hali na mazingira ya kuaminiana na kurejesha imana za wanachi zilizotoweka katika kuamini taasisi za umma..

na kwahivyo,
jitihada za makusudi, dhamira ya dhati na nia yake njema ni kutibu kabisa majeraha yote ya kisiasa, kuliunganisha taifa na waTanzania wote, na zaidi sana kufungua nchi miongni mwa mataifa ya ulimwengu...

katika kipindi kifupi sana cha uongozi wake wa awamu ya sita na kwakupitia serikali sikivu ya CCM, mtukufu Rais, Dr.Samia Suluhu Hassan amefanikiwa kwa kiasi kikubwa mno kuwaleta waTanzania wote pamoja mathalani katika suala la maridhiano limechochea kwa kiasi kikubwa kidemokrasia nchini kuimarika sana, mikutano ya hadhara rukhsa, maandamano rukhsa, ukosowaji kwa serikali rukhsa, uhuru wa maoni, habari, haki na usawa wa habari na kuabudu, chaguzi huru, sawa na haki n.k

Lakini pia, uwazi na uwajibikaji serikalini ni mkubwa sana, kwamfano sheria za uchaguzi na Tume Huru ya Uchaguzi vimefanyiwa marekebisho mukubwa sana muhimu kwa uwazi sana na kufanya mazingira bora zaidi na ya kuaminika kwa wananchi, kwamba chaguzi zetu hasa zinazokuja,
zinafanyika katika mazingira ya uwazi, usawa na uhuru ili kuondoa manung"uniko na sintifahamu na hujuma za wasiolitakia mema Taifa letu...

sasa katika hali hiyo,
anatokea kiongozi muandamizi tena mteule wa Rais eti ng"we ng"we ng"we kuhusu uchaguzi?
wateule wa aina hii ni sharti wabanduliwe kwenye nafasi zao maramoja bila maelezo wala ufafanuzi wa kina....

huko ni kumuhujumu Mwenyekiti wa CCM taifa na kuhujumu kwa makusudi dhamira njema na jitihada kubwa sana za Rais Dr Samia Suluhu Hassan kuliunganisha Taifa na kufungua nchi na zaidi sana kuimarisha umoja, amani, utulivu na mshikamano wa waTanzania wote...

natoa Rai kwa watumishi wa umma k nchini , kutunza ndimi zao na kuheshimu mamlaka hasa za uteuzi..🐒

Mungu Ibariki Tanzania
😆😆😀🤣🤣
We got you gentleman ,
We will do the needful, Right ??!
 
Hivi kweli mtu unasapoti CCM na mambo yake haya machafu kabisa. Hivi umewahi kujiuliza kwanini unasapoti CCM na kwamba ni haki kwa kufanya hivyo?
unaelewa mambo ya kutokua na uhakika ni sawa na ushirikiana tu gentleman?

yaani wewe mpaka wakati huu bado unajiuliza tu akati waTanzania wote wameshaamua tayari kwamba lolote na liwe, iwe iwavyo, inyeshe liwake ni Dr Samia Suluhu Hassan tu wa CCM 2025🤣
 
kupitia falsafa ya 4Rs,
Rais wa Tanzania Dr.Samia Suluhu Hassan ana lenga na anakusudia kuiponya Tanzania kwa majeraha mbalimbali ya kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa, na kujenga hali na mazingira ya kuaminiana na kurejesha imana za wanachi zilizotoweka katika kuamini taasisi za umma..

na kwahivyo,
jitihada za makusudi, dhamira ya dhati na nia yake njema ni kutibu kabisa majeraha yote ya kisiasa, kuliunganisha taifa na waTanzania wote, na zaidi sana kufungua nchi miongni mwa mataifa ya ulimwengu...

katika kipindi kifupi sana cha uongozi wake wa awamu ya sita na kwakupitia serikali sikivu ya CCM, mtukufu Rais, Dr.Samia Suluhu Hassan amefanikiwa kwa kiasi kikubwa mno kuwaleta waTanzania wote pamoja mathalani katika suala la maridhiano limechochea kwa kiasi kikubwa kidemokrasia nchini kuimarika sana, mikutano ya hadhara rukhsa, maandamano rukhsa, ukosowaji kwa serikali rukhsa, uhuru wa maoni, habari, haki na usawa wa habari na kuabudu, chaguzi huru, sawa na haki n.k

Lakini pia, uwazi na uwajibikaji serikalini ni mkubwa sana, kwamfano sheria za uchaguzi na Tume Huru ya Uchaguzi vimefanyiwa marekebisho mukubwa sana muhimu kwa uwazi sana na kufanya mazingira bora zaidi na ya kuaminika kwa wananchi, kwamba chaguzi zetu hasa zinazokuja,
zinafanyika katika mazingira ya uwazi, usawa na uhuru ili kuondoa manung"uniko na sintifahamu na hujuma za wasiolitakia mema Taifa letu...

sasa katika hali hiyo,
anatokea kiongozi muandamizi tena mteule wa Rais eti ng"we ng"we ng"we kuhusu uchaguzi?
wateule wa aina hii ni sharti wabanduliwe kwenye nafasi zao maramoja bila maelezo wala ufafanuzi wa kina....

huko ni kumuhujumu Mwenyekiti wa CCM taifa na kuhujumu kwa makusudi dhamira njema na jitihada kubwa sana za Rais Dr Samia Suluhu Hassan kuliunganisha Taifa na kufungua nchi na zaidi sana kuimarisha umoja, amani, utulivu na mshikamano wa waTanzania wote...

natoa Rai kwa watumishi wa umma k nchini , kutunza ndimi zao na kuheshimu mamlaka hasa za uteuzi..🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Wengi wao Washenzi Kwa kiwango kikubwa, wanatumia hovyo vyombo vya Dola na madaraka, raia wanaishi kwa hofu na uwoga, shame kabisa
 
si Lazima,
na hakuna haja hata kidogo, kama serikali mamlakani inao wajibu muhimu na mzito na wa maana wa kuwatumikia wanainchi na waTanzania wote, kuhangaika na wahujumu kutakuja baadae sana hawa wananchi watakapopata maendeleo 🐒
Kwa hiyo si lazima wanaotoa kauli zinazo ashiria uvunjifu wa amani wakamatwe? Lakin wakiwa ni wa upande mwingine wakamatwe?

Kaka hii ni double standard kubwa sana, wakikamatwa na kushtakiwa ndipo serikali itaonekana wako serious na ustawi wa jamii. Upendeleao ni sumu kubwa katika uongozi wowote ule

Akiwajibishwa huyu watapatika wengine, na maendeleo yataendelea tu kuwepo, vijana ni wengi.

Punguzeni double standards
 
kupitia falsafa ya 4Rs,
Rais wa Tanzania Dr.Samia Suluhu Hassan ana lenga na anakusudia kuiponya Tanzania kwa majeraha mbalimbali ya kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa, na kujenga hali na mazingira ya kuaminiana na kurejesha imana za wanachi zilizotoweka katika kuamini taasisi za umma..
Mbona wenzake wanaosemaga Siri za wazi na ukweli wa yaliyojificha chamani na serikalini wanatenguliwa?🤣🤣
Kwanini msije tu hadharani mkakiri maovu yenu ili wadanganyika waelewe umuhimu wa hizo 4RS?
 
Back
Top Bottom