ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Fika mahakamani/Polisi kiripotiVipi kuhusu wanaoteka na kuua raia huku wakipewa kinga na Mahakama?
Hao wanadumisha hizo 4R za anayewatuma?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fika mahakamani/Polisi kiripotiVipi kuhusu wanaoteka na kuua raia huku wakipewa kinga na Mahakama?
Hao wanadumisha hizo 4R za anayewatuma?
Fika mahakamani/Polisi kiripoti
Fika mahakamani/Polisi kiripoti
Sanduku la kura ndilo litaamua nani awe Kiongozi na si wizi wa kura. Mungu hapendi wizi na wote wanaoiba watahukumiwa hapa Duniani na Mbinguni.unaelewa mambo ya kutokua na uhakika ni sawa na ushirikiana tu gentleman?
yaani wewe mpaka wakati huu bado unajiuliza tu akati waTanzania wote wameshaamua tayari kwamba lolote na liwe, iwe iwavyo, inyeshe liwake ni Dr Samia Suluhu Hassan tu wa CCM 2025🤣
Tatizo ni unyumbu, yaani unyumbu ni tabia ya wanao pewa dhamana kuahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza ama kulitumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi na uoga kwa viongozi wao, human herding, human herding an occurrence of entrusted people suspending their individual reasoning because of flattering, working towards group objectives and fear 😨 of their leaders, a.k.a kujizima dataufafanuzi wetu mfupi sana na mujarabu mno tunaoutoa sasa ni uelekeo na dhamira ya dhati ya serikali ya awamu ya sita na nia Njema sana ya Dr Samia Suluhu Hassan ya kuliponya Taifa, kuliunganisha taifa na kufungua nchi miongni mwa mataifa ya ulimwengu🐒
mengine ni yale tu ambayo wachache wenu yamewajaa moyoni, na hii pia ni fursa kwenu kuyatoa ili mpate relief kidogo, ama niaje?🐒
masuala ya uhalifu wa aina mbalimbali sijui uporaji, uhujumu uchumi, utekaji, ubakaji n.k ni ya kiuchunguzi na hivi tunavyo fanya engagements katika platform hii vyombo vya kiuchunguzi vya ulinzi na usalama vinaendelea na kazi yao,Vipi kuhusu wanaoteka na kuua raia huku wakipewa kinga na Mahakama?
Hao wanadumisha hizo 4R za anayewatuma?
Basi nyie kumbe mnalipwa na CCM ndio maana.unaelewa mambo ya kutokua na uhakika ni sawa na ushirikiana tu gentleman?
yaani wewe mpaka wakati huu bado unajiuliza tu akati waTanzania wote wameshaamua tayari kwamba lolote na liwe, iwe iwavyo, inyeshe liwake ni Dr Samia Suluhu Hassan tu wa CCM 2025🤣
sasa gentleman,Basi nyie kumbe mnalipwa na CCM ndio maana.
madaraka ya kulevya sio 🐒Tatizo ni unyumbu, yaani unyumbu ni tabia ya wanao pewa dhamana kuahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza ama kulitumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi na uoga kwa viongozi wao, human herding, human herding an occurrence of entrusted people suspending their individual reasoning because of flattering, working towards group objectives and fear 😨 of their leaders, a.k.a kujizima data
Taifa limefikia hapa tulipo kwasababu ya tunao wapa dhamana kuahirisha kufikiri kwa nafsi a.k.a kujizima datamadaraka ya kulevya sio 🐒
na hiyo ndiyo hasa dhamira na nia ya dhati ya mwenyekiti wa CCM taifa na Rais kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan...Sanduku la kura ndilo litaamua nani awe Kiongozi na si wizi wa kura. Mungu hapendi wizi na wote wanaoiba watahukumiwa hapa Duniani na Mbinguni.
Kuongea ukweli ni kauli tata??Kung’olewa hakutoshi, kwanini hawachukuliwi hatua za kisheria kwa kauli hizo tata?
Ukweli wake ume mponza. Kazi ime kwenda.DC amesema ukweli kwa mar
Inatakiwa uahirishe kufikiri kwa nafsi a.k.a kujizima dataUkweli wake ume mponza. Kazi ime kwenda.
Ukiwa Ccm hutakiwi kusema kweli.
ni muhimu zaidi kuzingatia kazi ulotumwa kuifanya na nia na dhamira ya dhati ya alie kutuma kwa maslahi mapana ya waTanzania....Ukweli wake ume mponza. Kazi ime kwenda.
Ukiwa Ccm hutakiwi kusema kweli.
SO ni marufuku kusema ukweli??Kupitia falsafa ya 4Rs,
Rais wa Tanzania Dr.Samia Suluhu Hassan ana lenga na anakusudia kuiponya Tanzania kwa majeraha mbalimbali ya kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa, na kujenga hali na mazingira ya kuaminiana na kurejesha imana za wanachi zilizotoweka katika kuamini taasisi za Umma.
Na kwahivyo,jitihada za makusudi, dhamira ya dhati na nia yake njema ni kutibu kabisa majeraha yote ya kisiasa, kuliunganisha taifa na waTanzania wote, na zaidi sana kufungua nchi miongni mwa mataifa ya ulimwengu.
Katika kipindi kifupi sana cha uongozi wake wa awamu ya sita na kwakupitia serikali sikivu ya CCM, Rais, Samia Suluhu Hassan amefanikiwa kwa kiasi kikubwa mno kuwaleta waTanzania wote pamoja mathalani katika suala la maridhiano limechochea kwa kiasi kikubwa kidemokrasia nchini kuimarika sana, mikutano ya hadhara rukhsa, maandamano rukhsa, ukosowaji kwa Serikali rukhsa, uhuru wa maoni, habari, haki na usawa wa habari na kuabudu, chaguzi huru, sawa na haki n.k
Lakini pia, uwazi na uwajibikaji serikalini ni mkubwa sana, kwamfano sheria za uchaguzi na Tume Huru ya Uchaguzi vimefanyiwa marekebisho mukubwa sana muhimu kwa uwazi sana na kufanya mazingira bora zaidi na ya kuaminika kwa wananchi, kwamba chaguzi zetu hasa zinazokuja.
zinafanyika katika mazingira ya uwazi, usawa na uhuru ili kuondoa manung"uniko na sintifahamu na hujuma za wasiolitakia mema Taifa letu.
sasa katika hali hiyo, anatokea kiongozi muandamizi tena mteule wa Rais eti ng"we ng"we ng"we kuhusu uchaguzi? wateule wa aina hii ni sharti wabanduliwe kwenye nafasi zao maramoja bila maelezo wala ufafanuzi wa kina.
Soma Pia: Kama taifa, zawadi pekee ya kumpa Rais Samia kwa kazi nzuri ya maendeleo ni ushindi wa kishindo uchaguzi mkuu 2025 ikiwa atagombea
Huko ni kumuhujumu Mwenyekiti wa CCM taifa na kuhujumu kwa makusudi dhamira njema na jitihada kubwa sana za Rais Samia Suluhu Hassan kuliunganisha Taifa na kufungua nchi na zaidi sana kuimarisha umoja, amani, utulivu na mshikamano wa waTanzania wote.
Natoa rai kwa watumishi wa Umma kote nchini , kutunza ndimi zao na kuheshimu mamlaka hasa za uteuzi..🐒
Mungu Ibariki Tanzania
nadhani kama Taifa,Taifa limefikia hapa tulipo kwasababu ya tunao wapa dhamana kuahirisha kufikiri kwa nafsi a.k.a kujizima data
ndio maana amepewa nafasi ya kwenda kuudadavua Ukweli huo vizuri zaidi tena kwa nafasi na uwanda mpana sana, huku kazi ya kutibu na kuponya madonda hayo ya Ukweli aliyokua akiyatonesha huyo muungwana ikiendelezwa na wazalendo wengine wenye nia ya kuliponya Taifa....SO ni marufuku kusema ukweli??