Hatutavumilia wahujumu wa dhamira njema ya Rais katika kuliunganisha Taifa

Hatutavumilia wahujumu wa dhamira njema ya Rais katika kuliunganisha Taifa

Ndugu yangu ipo namna hii.
Serikali inayoteka nyara, kutesa na kuua raia wake haina moral authority kujichunguza kwa matukio inayoyatekeleza. Kwani nani hajui luwa Wambura ni mahiri sana kushughulikia na hata kudhuru maisha ya watu kimya kimya? Unadhani tumesahau wale watoto walioljwa wanachukuliwa na vikosi kazi vya polisi kisa panya road na wanakutwa montuary?

Mimi namfahamu Wambura kuliko mnavyojifanya kututaka tumuamini na jeshi lake.

Hapa mzee, tumeshaanza kupiga hodi vyombo vya kimataifa ili serikali hii ichunguze na kikundi chake cha kigaidi ndani ya polisi
Japo unalenga kuvuruga mjadala muhimu wa hoja mahususi mezani, lakini sio vibaya kujadili mambo haya muhimu pia japo sio muafaka....

gentleman,
binafsi ningependelea zaidi kujizuia kuzumzia jambo ambalo liko mikononi mwa vyombo vya kisheria vya kiuchunguzi na vya kiulinzi na kiusalama, kwasabb ya nafasi na wajibu mzito na muhimu sana nilio nao kwa umma na kwa maslahi mapana ya Taifa na waTanzania wote...

nakusihi sana pia kujiepusha, kua mstahimilivu na mwenye subra kuzungumzia jambo muhimu la kiuchunguzi kama hili...

nakushauri kushirikiana na vyombo husika ikiwa unazo taarifa za kutosha na za uhakika kuhusu uhalifu huo ili kurahisisha unchunguzi na wathirika wapate haki zao huku wahusika sheria zikifuata mkondo wake....

Aidha,
nikuhakikishie tu kwamba,
kamwe mambo ya ndani ya Tanzania, hayata ingiliwa na Taifa lolote la kigeni kwa mujibu wa sheria za kimataifa.
hakuna jumuiya ya kikanda au hata umoja wa mataifa inaweza kuthubutu kuingilia mambo madogo madogo ya Tanzania 🐒
 
Mimi naandika kitabu fikirishi cha ujasiriamali na ni mjasiriamali nakiandika miaka 35 baada ya kupata elimu ya ujasiriamali na kufanya ujasiriamali nafahamu kwanini biashara zinakufa na nini kifanyike kwa hiyo usi sifu sanaa, not ready to be brain washed
hongera sana ikiwa hilo Jambo muhimu sana ni la kweli, nakutakia kila la kheri unapokamilisha kazi hiyo...

ninachokifanya mimi ni kubainisha ukweli kwa Neema na Baraka za Mungu, hasa katika awamu hii ya sita chini ya huyu kiongozi wetu muungwana wa kitaifa Dr.Samia Suluhu Hassan

suala la kusifia,
kibobevu ni dhana ya wanaojihusisha na ushirikina na kwahivyo sina ushirika nao kamwee..🐒
 
Wengi wao Washenzi Kwa kiwango kikubwa, wanatumia hovyo vyombo vya Dola na madaraka, raia wanaishi kwa hofu na uwoga, shame kabisa
uko sahihi,
wasio na uwezo na wenye dhamira binafsi watababuliwa na kujibandua wenyewe taratibu kama huyo muungwana aliekusudia kuturudisha nyuma alivyo fanywa..

tuungane pamoja na tue na lengo moja katika kuliunganisha Taifa 🐒
 
Kwa hiyo si lazima wanaotoa kauli zinazo ashiria uvunjifu wa amani wakamatwe? Lakin wakiwa ni wa upande mwingine wakamatwe?

Kaka hii ni double standard kubwa sana, wakikamatwa na kushtakiwa ndipo serikali itaonekana wako serious na ustawi wa jamii. Upendeleao ni sumu kubwa katika uongozi wowote ule

Akiwajibishwa huyu watapatika wengine, na maendeleo yataendelea tu kuwepo, vijana ni wengi.

Punguzeni double standards
hakuna upendeleo wala dable standard kwenye hilo jambo ambalo ndio kilio na kauli mbiu ya upinzani..

wakati wapinzani wakiangua kilio hicho waandamizi serikalini wakiongozwa na kiongozi wetu makini shupavu na kipenz cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan,

wanafanya kila linalowezekana kuwafuta machozi walio umizwa na kujeruhiwa na jambo hilo, kisha gafla from no where anatokea msaidizi wa Rais ati ng"we ng"we ng"we sijui bao la mkono sijui porini kulifanyika nini, kheeeee, wewe??????

yaani Rais anafanya kazi usiku na mchana kuliunganisha taifa na kufungua nchi wewe unatonesha majeraha ya tunajaribu kuwaponya ebooow!!!!

so,
gentleman, kwenye jambo hili hakuna dablestandard kabisa, hebu tumuunge mkono rais wetu kipenzi kwenye kuliunganisha taifa Tafadhali 🐒
 
Mbona wenzake wanaosemaga Siri za wazi na ukweli wa yaliyojificha chamani na serikalini wanatenguliwa?🤣🤣
Kwanini msije tu hadharani mkakiri maovu yenu ili wadanganyika waelewe umuhimu wa hizo 4RS?
wenzake? nani huyo,
hebu eleza vizuri kwa kina kifupi kidogo kwa faida ya wadau 🐒
 
Mr Tlaatlaah je kuna uhusiano wa Siku ya Mashindano ya kuhifadhi Kurani na kile alichokisema DC?

Vitabu Vitakatifu Havidhihakiwi.
nadhani wakati mwingine naweza kulielezea hilo vizuri zaidi ila kwa sasa nadhani kuna jukumu muhimu zaidi mbele yetu 🐒
 
Kupitia falsafa ya 4Rs,

Rais wa Tanzania Dr.Samia Suluhu Hassan ana lenga na anakusudia kuiponya Tanzania kwa majeraha mbalimbali ya kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa, na kujenga hali na mazingira ya kuaminiana na kurejesha imana za wanachi zilizotoweka katika kuamini taasisi za Umma.

Na kwahivyo,jitihada za makusudi, dhamira ya dhati na nia yake njema ni kutibu kabisa majeraha yote ya kisiasa, kuliunganisha taifa na waTanzania wote, na zaidi sana kufungua nchi miongni mwa mataifa ya ulimwengu.

Katika kipindi kifupi sana cha uongozi wake wa awamu ya sita na kwakupitia serikali sikivu ya CCM, Rais, Samia Suluhu Hassan amefanikiwa kwa kiasi kikubwa mno kuwaleta waTanzania wote pamoja mathalani katika suala la maridhiano limechochea kwa kiasi kikubwa kidemokrasia nchini kuimarika sana, mikutano ya hadhara rukhsa, maandamano rukhsa, ukosowaji kwa Serikali rukhsa, uhuru wa maoni, habari, haki na usawa wa habari na kuabudu, chaguzi huru, sawa na haki n.k

Lakini pia, uwazi na uwajibikaji serikalini ni mkubwa sana, kwamfano sheria za uchaguzi na Tume Huru ya Uchaguzi vimefanyiwa marekebisho mukubwa sana muhimu kwa uwazi sana na kufanya mazingira bora zaidi na ya kuaminika kwa wananchi, kwamba chaguzi zetu hasa zinazokuja.

zinafanyika katika mazingira ya uwazi, usawa na uhuru ili kuondoa manung"uniko na sintifahamu na hujuma za wasiolitakia mema Taifa letu.

sasa katika hali hiyo, anatokea kiongozi muandamizi tena mteule wa Rais eti ng"we ng"we ng"we kuhusu uchaguzi? wateule wa aina hii ni sharti wabanduliwe kwenye nafasi zao maramoja bila maelezo wala ufafanuzi wa kina.

Soma Pia: Kama taifa, zawadi pekee ya kumpa Rais Samia kwa kazi nzuri ya maendeleo ni ushindi wa kishindo uchaguzi mkuu 2025 ikiwa atagombea

Huko ni kumuhujumu Mwenyekiti wa CCM taifa na kuhujumu kwa makusudi dhamira njema na jitihada kubwa sana za Rais Samia Suluhu Hassan kuliunganisha Taifa na kufungua nchi na zaidi sana kuimarisha umoja, amani, utulivu na mshikamano wa waTanzania wote.

Natoa rai kwa watumishi wa Umma kote nchini , kutunza ndimi zao na kuheshimu mamlaka hasa za uteuzi..🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Hatutavumilia watakaozuia tusimalizie kuwapa tanganyika waarabu wa oman. Tumeamua kuwapa hao mabasha kwa sababu tanganyika imejaa mashoga! Tutawateka na kuwaua wote ili tuuze tanganyika kwa waarabu turudi kwetu kizimkazi tuendelee kula matunda ya waarabu! Nawaonywa msituzuie.

1. Hata mkichagua chama kingine sisi ccm tutaunda serikali ya kuuza raslimali zote za tanganyika-- SSH 2019
2. Unajua kuna kupiga kura na kuhesabu kura na kutangaza mshindi. Tutatangaza mshindi tunayemtaka -- Nape 2024
3. Tumeanza kupita pori kwa pori kuhakikisha tunatangaza washindi tunaowataka- Mbughi DC kiteto 2024

Ahsanteni mazoba wa tanganyika
 
Don’t panic Gentleman,
This is for real 😳
🤣 many more to come , Right ?
no gentleman,
panicking and mayhem is for superstitious...

and of course it is a conclusions for those with no new alternative ideas and who have stacked saikolojikali 🐒

to me,
the nonsense and useless panicking is strictly prohibited completely especially in healthier discussion like this 🐒
 
Hatutavumilia watakaozuia tusimalizie kuwapa tanganyika waarabu wa oman. Tumeamua kuwapa hao mabasha kwa sababu tanganyika imejaa mashoga! Tutawateka na kuwaua wote ili tuuze tanganyika kwa waarabu turudi kwetu kizimkazi tuendelee kula matunda ya waarabu! Nawaonywa msituzuie.

1. Hata mkichagua chama kingine sisi ccm tutaunda serikali ya kuuza raslimali zote za tanganyika-- SSH 2019
2. Unajua kuna kupiga kura na kuhesabu kura na kutangaza mshindi. Tutatangaza mshindi tunayemtaka -- Nape 2024
3. Tumeanza kupita pori kwa pori kuhakikisha tunatangaza washindi tunaowataka- Mbughi DC kiteto 2024

Ahsanteni mazoba wa tanganyika
relax gentleman 🐒
 
no gentleman,
panicking and mayhem is for superstitious...

and of course it is a conclusions for those with no new alternative ideas and who have stacked saikolojikali 🐒

to me,
the nonsense and useless panicking is strictly prohibited completely especially in healthier discussion like this 🐒
Thats good Gentleman 👍
Get prepared many more to come !
 
hakuna upendeleo wala dable standard kwenye hilo jambo ambalo ndio kilio na kauli mbiu ya upinzani..

wakati wapinzani wakiangua kilio hicho waandamizi serikalini wakiongozwa na kiongozi wetu makini shupavu na kipenz cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan,

wanafanya kila linalowezekana kuwafuta machozi walio umizwa na kujeruhiwa na jambo hilo, kisha gafla from no where anatokea msaidizi wa Rais ati ng"we ng"we ng"we sijui bao la mkono sijui porini kulifanyika nini, kheeeee, wewe??????

yaani Rais anafanya kazi usiku na mchana kuliunganisha taifa na kufungua nchi wewe unatonesha majeraha ya tunajaribu kuwaponya ebooow!!!!

so,
gentleman, kwenye jambo hili hakuna dablestandard kabisa, hebu tumuunge mkono rais wetu kipenzi kwenye kuliunganisha taifa Tafadhali 🐒
Bado huna logic, if sheria ni kwa wote, basi ikate kote regardless chama. Huyu ametoa hiyo kauli ( na si wa kwanza) , vyombo husika vimekaa kimya, so kauli yake haihatarishi usalama?
Je kauli hiyo angetoa mtu wa chama kingine angeachiwa kama huyu?

punguzeni ushkaji kwenye haki. Mnabebana mno
 
kama amesema Ukweli kuhusu awamu nyingine mathalani zilizopita hiyo ni juu yake,

lakini yeye kama muandamizi serikalini wa eneo husika hakutumwa hayo na dhamira ya dhati ya Dr Samia Suluhu Hassan siyo hiyo alikua akiizungumza yeye na hivyo kwa kifupi ni hujuma kwa Rais, katika jitihada za kuiponya nchi, kuliunganisha taifa na kufungua nchi miongni mwa mataifa ya ulimwengu 🐒

na sasa amepewa ruhusa, wakati na muda mzuri zaidi akaseme huo Ukweli mnao sema anasema,
kwan kuna ubaya wowote ndrugu zango 🐒
Hivi sabaya yupo wapi?
 
uko sahihi,
wasio na uwezo na wenye dhamira binafsi watababuliwa na kujibandua wenyewe taratibu kama huyo muungwana aliekusudia kuturudisha nyuma alivyo fanywa..

tuungane pamoja na tue na lengo moja katika kuliunganisha Taifa 🐒
La watawala washenzi
 
Back
Top Bottom