Hatutavumilia wahujumu wa dhamira njema ya Rais katika kuliunganisha Taifa

Hatutavumilia wahujumu wa dhamira njema ya Rais katika kuliunganisha Taifa

Bado huna logic, if sheria ni kwa wote, basi ikate kote regardless chama. Huyu ametoa hiyo kauli ( na si wa kwanza) , vyombo husika vimekaa kimya, so kauli yake haihatarishi usalama?
Je kauli hiyo angetoa mtu wa chama kingine angeachiwa kama huyu?

punguzeni ushkaji kwenye haki. Mnabebana mno
labda hujaelewa na logic yako 🐒
 
Nani alieijeruhi Tanzania hadi ihitaji uponyaji?
achila mbali ukoloni na biashara ya utumwa, makovu na majeraha ya vita ya kagera ni mabaya sana na bado kwa kiasi kikubwa yanaendelea kuwaumiza watanzania,

mbali na hayo,
wapo waTanzania walioshindwa vibaya chaguzi zilizopita, waliumia sana, na bado wanalamika hao ni balaaa...
Dr Samia Suluhu Hassan amekuja na 4Rs theories kuwatia moyo na kuwaomba wajipange vizuri huenda wakaambulia chochote....

nadhan kipenzi cha wananchi wote Dr.Tanzania Dr Samia Suluhu Hassan analiunganisha Taifa na kufungua nchi, na uelekeo ni mzuri mno 🐒
 
Kupitia falsafa ya 4Rs,

Rais wa Tanzania Dr. Samia Suluhu Hassan ana lenga na anakusudia kuiponya Tanzania kwa majeraha mbalimbali ya kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa, na kujenga hali na mazingira ya kuaminiana na kurejesha imana za wanachi zilizotoweka katika kuamini taasisi za Umma.

Na kwahivyo, jitihada za makusudi, dhamira ya dhati na nia yake njema ni kutibu kabisa majeraha yote ya kisiasa, kuliunganisha taifa na waTanzania wote, na zaidi sana kufungua nchi miongni mwa mataifa ya ulimwengu.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Watu Wasiojulikana: Malisa aelezea tukio la kutekwa kwa Deus Soka na vijana wengine wawili wa CHADEMA

Katika kipindi kifupi sana cha uongozi wake wa awamu ya sita na kwakupitia serikali sikivu ya CCM, Rais, Samia Suluhu Hassan amefanikiwa kwa kiasi kikubwa mno kuwaleta waTanzania wote pamoja mathalani katika suala la maridhiano limechochea kwa kiasi kikubwa kidemokrasia nchini kuimarika sana, mikutano ya hadhara rukhsa, maandamano rukhsa, ukosowaji kwa Serikali rukhsa, uhuru wa maoni, habari, haki na usawa wa habari na kuabudu, chaguzi huru, sawa na haki n.k

Lakini pia, uwazi na uwajibikaji serikalini ni mkubwa sana, kwamfano sheria za uchaguzi na Tume Huru ya Uchaguzi vimefanyiwa marekebisho mukubwa sana muhimu kwa uwazi sana na kufanya mazingira bora zaidi na ya kuaminika kwa wananchi, kwamba chaguzi zetu hasa zinazokuja.

zinafanyika katika mazingira ya uwazi, usawa na uhuru ili kuondoa manung"uniko na sintifahamu na hujuma za wasiolitakia mema Taifa letu.

sasa katika hali hiyo, anatokea kiongozi muandamizi tena mteule wa Rais eti ng"we ng"we ng"we kuhusu uchaguzi? wateule wa aina hii ni sharti wabanduliwe kwenye nafasi zao maramoja bila maelezo wala ufafanuzi wa kina.

Soma Pia: Kama taifa, zawadi pekee ya kumpa Rais Samia kwa kazi nzuri ya maendeleo ni ushindi wa kishindo uchaguzi mkuu 2025 ikiwa atagombea

Huko ni kumuhujumu Mwenyekiti wa CCM taifa na kuhujumu kwa makusudi dhamira njema na jitihada kubwa sana za Rais Samia Suluhu Hassan kuliunganisha Taifa na kufungua nchi na zaidi sana kuimarisha umoja, amani, utulivu na mshikamano wa waTanzania wote.

Natoa rai kwa watumishi wa Umma kote nchini, kutunza ndimi zao na kuheshimu mamlaka hasa za uteuzi..🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Samia anao uwezo wa kuficha hasira yake, angekuwa ni marehemu JPM akishakuondoa kwenye serikali yake siku akitoa hotuba baada ya kukufukuza kazi ni lazima aliongelee suala lako hadharani!.

Samia ana staha sana. Siku zote hafichi tabasamu lake mbele ya watu na lugha ni ile ile laini ya kiungwana.
 
achila mbali ukoloni na biashara ya utumwa, makovu na majeraha ya vita ya kagera ni mabaya sana na bado kwa kiasi kikubwa yanaendelea kuwaumiza watanzania,

mbali na hayo,
wapo waTanzania walioshindwa vibaya chaguzi zilizopita, waliumia sana, na bado wanalamika hao ni balaaa...
Dr Samia Suluhu Hassan amekuja na 4Rs theories kuwatia moyo na kuwaomba wajipange vizuri huenda wakaambulia chochote....

nadhan kipenzi cha wananchi wote Dr.Tanzania Dr Samia Suluhu Hassan analiunganisha Taifa na kufungua nchi, na uelekeo ni mzuri mno 🐒
Wakati wa Magufuli mlisema anainyoosha nchi sijui nani alieipindisha nchi?
Wakati wa Samia anaiponya nchi hamsemi nani aliijeruhi nchi
 
Kupitia falsafa ya 4Rs,

Rais wa Tanzania Dr. Samia Suluhu Hassan ana lenga na anakusudia kuiponya Tanzania kwa majeraha mbalimbali ya kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa, na kujenga hali na mazingira ya kuaminiana na kurejesha imana za wanachi zilizotoweka katika kuamini taasisi za Umma.

Na kwahivyo, jitihada za makusudi, dhamira ya dhati na nia yake njema ni kutibu kabisa majeraha yote ya kisiasa, kuliunganisha taifa na waTanzania wote, na zaidi sana kufungua nchi miongni mwa mataifa ya ulimwengu.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Watu Wasiojulikana: Malisa aelezea tukio la kutekwa kwa Deus Soka na vijana wengine wawili wa CHADEMA

Katika kipindi kifupi sana cha uongozi wake wa awamu ya sita na kwakupitia serikali sikivu ya CCM, Rais, Samia Suluhu Hassan amefanikiwa kwa kiasi kikubwa mno kuwaleta waTanzania wote pamoja mathalani katika suala la maridhiano limechochea kwa kiasi kikubwa kidemokrasia nchini kuimarika sana, mikutano ya hadhara rukhsa, maandamano rukhsa, ukosowaji kwa Serikali rukhsa, uhuru wa maoni, habari, haki na usawa wa habari na kuabudu, chaguzi huru, sawa na haki n.k

Lakini pia, uwazi na uwajibikaji serikalini ni mkubwa sana, kwamfano sheria za uchaguzi na Tume Huru ya Uchaguzi vimefanyiwa marekebisho mukubwa sana muhimu kwa uwazi sana na kufanya mazingira bora zaidi na ya kuaminika kwa wananchi, kwamba chaguzi zetu hasa zinazokuja.

zinafanyika katika mazingira ya uwazi, usawa na uhuru ili kuondoa manung"uniko na sintifahamu na hujuma za wasiolitakia mema Taifa letu.

sasa katika hali hiyo, anatokea kiongozi muandamizi tena mteule wa Rais eti ng"we ng"we ng"we kuhusu uchaguzi? wateule wa aina hii ni sharti wabanduliwe kwenye nafasi zao maramoja bila maelezo wala ufafanuzi wa kina.

Soma Pia: Kama taifa, zawadi pekee ya kumpa Rais Samia kwa kazi nzuri ya maendeleo ni ushindi wa kishindo uchaguzi mkuu 2025 ikiwa atagombea

Huko ni kumuhujumu Mwenyekiti wa CCM taifa na kuhujumu kwa makusudi dhamira njema na jitihada kubwa sana za Rais Samia Suluhu Hassan kuliunganisha Taifa na kufungua nchi na zaidi sana kuimarisha umoja, amani, utulivu na mshikamano wa waTanzania wote.

Natoa rai kwa watumishi wa Umma kote nchini, kutunza ndimi zao na kuheshimu mamlaka hasa za uteuzi..🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Thread 'Uchawa ni janga linaloitafuna nchi kimaadili' Uchawa ni janga linaloitafuna nchi kimaadili
 
Wakati wa Magufuli mlisema anainyoosha nchi sijui nani alieipindisha nchi?
Wakati wa Samia anaiponya nchi hamsemi nani aliijeruhi nchi
I think that one will be there topic for other day in history,

currently,
kazi kubwa na ya maana zaidi anayoiongoza kipenzi cha wananchi wote Tanzania Dr.Samia Suluhu Hassan ni kuliunganisha taifa na kuifungua nchi miongoni mwa mataifa ya ulimwengu..

si unaona tunavyog'ara sasa kimataifa, si unaona tunavyog'ara sasa kidemokrasia, mikutano ya hadhara na maandamano rukhsa,

usafiri wa sgr, huduma za uhakika za maji, umeme, kilimo , afya n.k kila kona ya nchi?

Mungu atupee nini tena ndrugo zango 🐒
 
Thread 'Uchawa ni janga linaloitafuna nchi kimaadili' Uchawa ni janga linaloitafuna nchi kimaadili
nachelea kurudia tena kukuahidi kwamba natafuta wasaa ni some na kujiridhisha,

na kisha,
kibobevu zaidi nije na maelezo, uchambuzi, ufafanuzi wa kitaalamu kuhusu narrative au dhana hizo mfu za unyumbu na uchawa ambazo kiuhalisia hazina athari zozote kwenye siasa na demokrasia ya Tanzania kwa ujumla 🐒

kua mstahimilivu na mwenye subra kidogo
 
I think that one will be there topic for other day in history,

currently,
kazi kubwa na ya maana zaidi anayoiongoza kipenzi cha wananchi wote Tanzania Dr.Samia Suluhu Hassan ni kuliunganisha taifa na kuifungua nchi miongoni mwa mataifa ya ulimwengu..

si unaona tunavyog'ara sasa kimataifa, si unaona tunavyog'ara sasa kidemokrasia, mikutano ya hadhara na maandamano rukhsa,

usafiri wa sgr, huduma za uhakika za maji, umeme, kilimo , afya n.k kila kona ya nchi?

Mungu atupee nini tena ndrugo zango 🐒
Kipenzi cha wananchi picha yake inachomwa??! Kipenzi cha wananchi anatumia polisi kupiga cdm na kuwateka wanaoikosoa serikali!! Kadanganye wajinga wanjinga!!
 
I think that one will be there topic for other day in history,

currently,
kazi kubwa na ya maana zaidi anayoiongoza kipenzi cha wananchi wote Tanzania Dr.Samia Suluhu Hassan ni kuliunganisha taifa na kuifungua nchi miongoni mwa mataifa ya ulimwengu..

si unaona tunavyog'ara sasa kimataifa, si unaona tunavyog'ara sasa kidemokrasia, mikutano ya hadhara na maandamano rukhsa,

usafiri wa sgr, huduma za uhakika za maji, umeme, kilimo , afya n.k kila kona ya nchi?

Mungu atupee nini tena ndrugo zango 🐒
Anaka yaa,?!! Don't waste my time by misrepresenting the truth that the woman is almost as terrible as the deceased gentleman, whose soul is tormented in hell for all the wrongdoings he committed on the defenseless citizens of this beautiful country. Mom is now mimicking the harshness of the deceased Stone, and you are attempting to portray her as a bunch of naive
 
Back
Top Bottom