Haudaiwi chochote na girlfriend wako

Haudaiwi chochote na girlfriend wako

Bila ya wewe uyo mwanamke hatokufa, acha kujipa stress ili upate sifa za kijinga, eti responsible boyfriend, unapigwa mwanangu.

Kama bajeti hairuhusu kumpa hicho anachokitaka lala salama kabisa hata usisumbue akili wala nafsi yako, na akinuna akatishia kuondoka mfungulie mlango aende.

You don't owe your girlfriend a lifestyle her father cannot give her. Don't allow any woman to put you under pressure in this life, most of them are absolutely liability in your life.

The key is to put your plans first and chase money, striving to satisfy a woman will not add anything significant in your life.

Prioritze yourselves my brothers, these hoes aint loyal.
😀😀😀😀
 
Napenda ulivyofocus kwny suala la kutetea wanaume ambao wengi wetu huwa hatuongea kama hvyo.
Yaani hata wakuseme vp ww umekoamaa tu.

Safi sana mkuu, keep it up!!
Ni Putin huyu katika hili
 
Bila ya wewe uyo mwanamke hatokufa, acha kujipa stress ili upate sifa za kijinga, eti responsible boyfriend, unapigwa mwanangu.

Kama bajeti hairuhusu kumpa hicho anachokitaka lala salama kabisa hata usisumbue akili wala nafsi yako, na akinuna akatishia kuondoka mfungulie mlango aende.

You don't owe your girlfriend a lifestyle her father cannot give her. Don't allow any woman to put you under pressure in this life, most of them are absolutely liability in your life.

The key is to put your plans first and chase money, striving to satisfy a woman will not add anything significant in your life.

Prioritze yourselves my brothers, these hoes aint loyal.
Nasema very nice. Ushauri murua.
 
Bila ya wewe uyo mwanamke hatokufa, acha kujipa stress ili upate sifa za kijinga, eti responsible boyfriend, unapigwa mwanangu.

Kama bajeti hairuhusu kumpa hicho anachokitaka lala salama kabisa hata usisumbue akili wala nafsi yako, na akinuna akatishia kuondoka mfungulie mlango aende.

You don't owe your girlfriend a lifestyle her father cannot give her. Don't allow any woman to put you under pressure in this life, most of them are absolutely liability in your life.

The key is to put your plans first and chase money, striving to satisfy a woman will not add anything significant in your life.

Prioritze yourselves my brothers, these hoes aint loyal.
Huyu mwamba kaeleza kwa upana based on utafiti. Umesema vyema.
 

Attachments

Mada zako ni nzuri sana kwa Wanaume wote, Endelea bro tupo pamoja
Kwa jamii yetu ya sasa ambayo ina wanaume wengi sana dhaifu(SIMPS) kutokana na mabadiliko ya kimfumo wa maisha ambayo yanamdunisha zaidi mwanaume na kumuimarisha mwanamke... kuna haja ya kusambaza redpill awareness wanaume wote, na watu kama Natafuta Ajira tunawahitaji sana hili waweze kusambaza hiyo redpill knowledge kukiokoa hiki kizazi cha kiume kabla hakijaangamia zaidi.

Marehemu Kevin Samuel ameacha legacy kubwa sana kwa wale waliokuwa wakimfuatilia, aliwafanya wanaume watambue thamani yao na kuona jinsi legal system ilivyokuwa ni kandamizi kwa mwanaume na wanawake wanavyoitumia kutimiza malengo yao binafsi. Sasa watu kama hao kwa dunia ya sasa hivi ni wachache sana na wanachukuliwa kama maadui wa jamii.
 
Back
Top Bottom