Haudaiwi chochote na girlfriend wako

Haudaiwi chochote na girlfriend wako

Kwa jamii yetu ya sasa ambayo ina wanaume wengi sana dhaifu(SIMPS) kutokana na mabadiliko ya kimfumo wa maisha ambayo yanamdunisha zaidi mwanaume na kumuimarisha mwanamke... kuna haja ya kusambaza redpill awareness wanaume wote, na watu kama Natafuta Ajira tunawahitaji sana hili waweze kusambaza hiyo redpill knowledge kukiokoa hiki kizazi cha kiume kabla hakijaangamia zaidi.

Marehemu Kevin Samuel ameacha legacy kubwa sana kwa wale waliokuwa wakimfuatilia, aliwafanya wanaume watambue thamani yao na kuona jinsi legal system ilivyokuwa ni kandamizi kwa mwanaume na wanawake wanavyoitumia kutimiza malengo yao binafsi. Sasa watu kama hao kwa dunia ya sasa hivi ni wachache sana na wanachukuliwa kama maadui wa jamii.
Upo sahihi kabisa asiyesikia baadhi ya maonyo ya huyu jamaa siku moja kitamkuta kilio ambacho hakuna leso itatosha kufuta machozi.
 
Bila ya wewe uyo mwanamke hatokufa, acha kujipa stress ili upate sifa za kijinga, eti responsible boyfriend, unapigwa mwanangu.

Kama bajeti hairuhusu kumpa hicho anachokitaka lala salama kabisa hata usisumbue akili wala nafsi yako, na akinuna akatishia kuondoka mfungulie mlango aende.

You don't owe your girlfriend a lifestyle her father cannot give her. Don't allow any woman to put you under pressure in this life, most of them are absolutely liability in your life.

The key is to put your plans first and chase money, striving to satisfy a woman will not add anything significant in your life.

Prioritze yourselves my brothers, these hoes aint loyal.
Kuna manzi yangu mmoja huwa namsaidia anapohitaji msaada wa kifedha na kama sipo vizuri namuambia kwamba sipo vizuri ila anytime nikifanikiwa nitakutumia.

Kama siku 4 zilizopita aliniomba kiasi flani cha pesa kwakua ana emergency lakini kwa bahati mbaya hakikua ndani ya uwezo wangu kwa wakati huo, alionyesha kunielewa lakini baadae nikaona anajibu sms zangu kama vile namlazamisha nikaona sio kesi na mimi nikapiga kimya baada ya kuona hayuko normal sababu sijamtatulia shida yake.

Amezoea kuona mimi ni mtu wa kujirudi sana kwake sasa this time around nimeshachoka na nimeamua na mimi niachane nae mazima kimyakimya ingawa kwa akili yake najua anahisi kwamba nitajirudi kumbe mimi ndo nitolee hiyo mana nimemvumilia kwa muda mrefu sana hii tabia yake ya kununanuna sasa kiukweli nimemchoka kabisa na sitegemei kabisa kurudi kwake.This time ndo ataelewa kwamba sio kila wakati ni wakujaribiana.
 
Kuna manzi yangu mmoja huwa namsaidia anapohitaji msaada wa kifedha na kama sipo vizuri namuambia kwamba sipo vizuri ila anytime nikifanikiwa nitakutumia.

Kama siku 4 zilizopita aliniomba kiasi flani cha pesa kwakua ana emergency lakini kwa bahati mbaya hakikua ndani ya uwezo wangu kwa wakati huo, alionyesha kunielewa lakini baadae nikaona anajibu sms zangu kama vile namlazamisha nikaona sio kesi na mimi nikapiga kimya baada ya kuona hayuko normal sababu sijamtatulia shida yake.

Amezoea kuona mimi ni mtu wa kujirudi sana kwake sasa this time around nimeshachoka na nimeamua na mimi niachane nae mazima kimyakimya ingawa kwa akili yake najua anahisi kwamba nitajirudi kumbe mimi ndo nitolee hiyo mana nimemvumilia kwa muda mrefu sana hii tabia yake ya kununanuna sasa kiukweli nimemchoka kabisa na sitegemei kabisa kurudi kwake.This time ndo ataelewa kwamba sio kila wakati ni wakujaribiana.
Yani kama huna pesa anakununia na wewe bado tu ukawa naye?we jamaa bana jinga kabisa
 
Kuna manzi yangu mmoja huwa namsaidia anapohitaji msaada wa kifedha na kama sipo vizuri namuambia kwamba sipo vizuri ila anytime nikifanikiwa nitakutumia.

Kama siku 4 zilizopita aliniomba kiasi flani cha pesa kwakua ana emergency lakini kwa bahati mbaya hakikua ndani ya uwezo wangu kwa wakati huo, alionyesha kunielewa lakini baadae nikaona anajibu sms zangu kama vile namlazamisha nikaona sio kesi na mimi nikapiga kimya baada ya kuona hayuko normal sababu sijamtatulia shida yake.

Amezoea kuona mimi ni mtu wa kujirudi sana kwake sasa this time around nimeshachoka na nimeamua na mimi niachane nae mazima kimyakimya ingawa kwa akili yake najua anahisi kwamba nitajirudi kumbe mimi ndo nitolee hiyo mana nimemvumilia kwa muda mrefu sana hii tabia yake ya kununanuna sasa kiukweli nimemchoka kabisa na sitegemei kabisa kurudi kwake.This time ndo ataelewa kwamba sio kila wakati ni wakujaribiana.
Fukuza kunguru.
 
Shida ni moja, kizazi cha watoto wa kiume kuanzia mwaka 1999 kurudi nyuma kimeaminishwa kuwa wanawake ndio daraja la pekee la mafanikio lilipo kati ya future ya mtoto wa kiume na alipo.

Wanaaminishwa kuwa mwanamke ndie anayekuja na funguo za maisha yake ya mafanikio. Kwamba mtoto wa kiume ambaye ana mshahara wa laki tano au milioni au anapiga mishe zake binafsi zinazomlipa 40,000 per day hawezi kujikimu mwenyewe na kujijenga kimaisha na kupanga mipango yake binafsi na kuisimamia bila mwanamke pembeni.

Huu ndio ulemavu wa fikra jamii inayoendeshwa na mawazo ya mafenist imemjaza "Boy child" uoga wa maisha bila mwanamke wakati huo sio uhalisia. Wanajua siku "boy child" akicrack code ya kuishi maisha nje ya mfumo wa Ndoa na akifanikiwa kutoboa utakuwa ndio mwanzo wa ndoa kutokuwa kipaumbele na wanawake wataishi kwa kujitegemea gharama bila msaada wa mwanaume kwa lolote kwa 100% jambo ambalo hata wa huko ulaya wameshindwa na wanakazi nzuri na mishahara mizuri.
 
Tafuta hela kutengeneza thamani yako baada ya hapo hao wanawake watajileta kwako wenyewe utaamua uwatumie kwa starehe au uchukue mmoja anaefaa kuwa mke uweke ndani.
Shida vijana hawajui matumizi sahihi ya hard earned money zao nje ya mwanamke. Waulize ukiweka hiyo pesa benki baada ya miaka miwili haujapata hela ya Bajaji mbili za kukuletea hesabu hapo kwako.

Target iwe kuongeza multiple streams of income sio pussy za kudrain income yako. Madogo wanapewa elimu mtambuka ili wautumie ujana wao kujijengea hazina ya uzeeni na pesa zao ziwe reasonable kwao wanakazana kuwa pussy driven, akipata milioni laki nane anatumia kwa demu laki mbili anaichakaza yeye tena kwa kulipa madeni. Muulize benki ana salio la kiasi gani sasa usikie majibu yake.

Boy child aelimishwe aachane na ujinga wa kuwa mtaji wa maisha ya wanawake wa kisasa hawa waliojawa utapeli wa mapenzi.
 
Ni mawazo yako tu mimi naongelea mambo yaliyopo kwenye jamii.. nina marafiki, jamaa na ndugu wa kiume naona mambo yanavyoenda hakuna ubaya wowote nikiwasanua ninapoona kuna gap. Ofcouse sio rahisi kunielewa kama wewe sio mwanaume.

NI sawa tu na nyie mnavyofundishana kwamba kigezo cha kuangalia kutoka kwa mwanaume ni pesa, ni kwa sababu mmegundua upendo wa kweli haulipi bill.

Kama nyie mmeweka standard zenu ambazo mnaona zinanufaisha kivipi na sisi tukiweka favourable standards zetu mnafikiri tuna chuki? mnataka nyie muwe na standard halafu sisi tuchague tu wanawake blindly.?
Kabisa. Na katika hili tuzungumzie na wanawake kujiachia wakishapa mtoto wa kwanza wanakuwa kama viboko halafu wanataka wapendwe kama vile wana mvuto.
 
Kuna Kibinti eti kisa efu 50k kinadai kimeniacha nifate maisha yangu. Asa elfu 50 si nampa mama muuza matunda mtaji kabisa.Vitoto vya 2000 shiida kweli vinaamini Wandewa tutavitunza,,,asubutu "hit and run" ndiyo slogan yetu
 
Aliniomba niongeze maumbile hasa urefu , mpaka sasa anasubiri jibu. Ndicho ninachodaiwa.
 
Infact siongei na wanawake, walengwa wakubwa wa maandiko yangu ni wanaume wenzangu, wanawake huwa huwa mnapiga mayowe baada ya kupigwa na jiwe gizani.
Wewe piga injili mkuu sisi wadhamini tupo

Tutabidi tutafute namna jf meet party ijao kuwe na ka section kako binafsi ka kuendeleza kutandaza elimu hii adhimu😂

Naona umekuja kama mpakwa mafuta ya kutangaza neno injili iwakae kwa roho

Tupe maneno buldoza

Wakaange hasa😂
 
Back
Top Bottom