Haujachelewa kuchukua hatua ya kwanza, anza kuishi sasa

cheki lilivyo lilaghai!.. mi sinywi na sijawahi na sihitaji ondoka pepo la ulevi..🀣

Hii tabia ya kuniita Li fulani imeanza lini kwanza kabla sijakunywesha pombe kwa nguvu

Unaniita Li na hivi nilivyo kweli?🀣
 
Hii tabia ya kuniita Li fulani imeanza lini kwanza kabla sijakunywesha pombe kwa nguvu

Unaniita Li na hivi nilivyo kweli?🀣
ili nisikuite hivyo nitumie picha yako pm nikuone ili ndo nibadili alasivyo utaendelea kuwa li yani lidada, limama, limwizi, lilaghai n.k🀣
 
ili nisikuite hivyo nitumie picha yako pm nikuone ili ndo nibadili alasivyo utaendelea kuwa li yani lidada, limama, limwizi, lilaghai n.k🀣

Nimelia kinyama πŸ˜‚πŸ˜‚
 
This is powerful, it might be a game changer
 
Mi hata sijui kwanini ni dhambi au sio dhambi hii kitu ukila hela inakuwa sio dhambi ila ukiliwa sana ni dhambi.
Sio dhambi wasitupotoshe 😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…