Hauwezi pambana na intel ya USA. Jamaa wanajua kile unachotaka kuwafanyia na kama hawajui watakupata tu baada ya kuwafanyia

Sept 12 attack. Intelijensia ya USA ilikuwa wapi?
You mean sep 11, well walijua, but ni failure ya vyombo viwili vikuu vya usalama ku hold taarifa until dakika ya mwisho tukio lilipotokea

Is why after sept 11, US walifanya reform juu ya vyombo vyake vya usalama, ikiwemo kushare intel on the spot, lakin pia kupunguza mlolongo wa chain of command kuchukua hatua
 
But they failed to stop trump shooter
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…