Hayo ndo maneno sasaSithubutu. Tupendane ukichoka pisha niapprove wengine
Rafiki kwa hiyo mimi ninavyoshobokea hiyo chura yako hapo kwenye avatar yako najidanganya?Yaaaan mtu utakuwa huna akili asee...tuonane kwanza ndo nishoboke bana mambo ya avatar miyeyusho[emoji42]
Mwanaume mpole ndo mzuri banaEeeh.. Sema sijui kazi yake. Maana madokta wanakuaga na sura za huruma ili ukimuangalia mgonjwa asitishike
Kabisa chura asee..Rafiki kwa hiyo mimi ninavyoshobokea hiyo chura yako hapo kwenye avatar yako najidanganya?
FBI in work!Na Daby unamjua??
[emoji86] [emoji86] [emoji86] FBI at work not in....Chura vepee weweFBI in work!
Rafiki nakupenda bure ulivyo FBI mzuri!Ulitaka awe gangster?
Shule ilinipita kushoto rafiki![emoji86] [emoji86] [emoji86] FBI at work not in....Chura vepee wewe
ROFL[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
We mnyamwezi utaniuaa,
Kuna mnyamwezi mmoja alimfilisi baba anguu.
Nyie si watu wazuri
Sqwaaash wavesROFL
[emoji8] jomoniRafiki nakupenda bure ulivyo FBI mzuri!
[emoji42]LMK bout it...!Sqwaaash waves
Na nyinyi si mnapenda wanaume wazuri bibie ? Acha na sisi tuwapende wale wazuri zaidi yenu.Halafu kingine huku Sasa hawatukubali jinsi tulivyo. Sawa sina sura sina shape ukiniona nipende hivyo hivyo wenzetu wanataka wanawake wazuri tuu. Wakati hata sisi wabaya huku mtaani mitongozo Kama yoteee
thanks Raynavero