Have You Ever.......

kbd.......nisaidie mpenz maana nami nimeuliza the same but k9ina MTM wamenikaushia

My dia mimi naamini ktk mapenzi, na imani yangu ni kuwa when i say "i do" ama ninapoamua kureciprocate someones love, i mean it from every bit of me.......yaani ni kupenda tu kwa kwenda mbele na sio vinginevyo. Sina sababu ya kuishi kwa mashaka na wasiwasi eti ohh nitaumia, sijui nitavunjwa moyo.....kwa sababu hakuna kitu kinachodumu milele, watu wanakufa bila kujiandaa itakuwa mapenzi after all maisha yenyewe mafupi haya kuishi kwa kujibana bana kisa........lol
 
sweetheart, mimi ni mwalimu mwema na lengo langu ni kuhakikisha watoto wanafaulu kwa maksi za juu sana

naomba nijitolee kukufundisha kwani utakua best student

usitie shaka kabisa

Halafu MTM nakusubiri kule kwenye kitabu cha mchungaji
 
you have to fight for ur love......kama hajachukuliwa kihalali lakini


Kwani mtoto mdogo huyo mpaka achukuliwe......... huyo kaenda mwenyewe, kubali matokeo na maisha lazima yaendelee.
 
Lizzy hivi "Fight for your Love" ni kabla ya kua na mtu au baada? maan isijekua watu wanachanganya hii kitu hebu nisaidie hapa
Mi nadhani baada maana kama bado hajawa wako atakuaje “your love“?? Kama yuko na mwingine basi unakua unataka kuiba someone else‘s love and make it yours!
 
sweetheart, mimi ni mwalimu mwema na lengo langu ni kuhakikisha watoto wanafaulu kwa maksi za juu sana

naomba nijitolee kukufundisha kwani utakua best student

usitie shaka kabisa

Unifundishe kuchakachua mapenzi???? Huu ufisadi huu utatumaliza jamani, yaani mpaka kwenye mapenzi.....kha.........tutaponea wapi jamani
 
Hivi Maty ukiwa mtu unaumiza tu watu wewe hujawahi achwa unaweza kuwa mkosaji sana ee au ni ndio unajua kuchanga karata zako? nimependa the way unavyoishi maisha yako yaani raha ajabu ukiwa na hiyo kanuni aisee hupati presha hata siku moja

Na haiwezi kutokea ukawa unaumiza tu wewe hujawahi umizwa mpenzi labda uwe na miaka chini ya 20. Unajua nilikuja gundua binadamu huwa tunalaumu sana asee bila kuchunguza kwa umakini. Mimi nilishawahi achwa na mtu yes alikua anamakosa lakini na mimi nilichangia pia sasa nilichofanya ni kumlaumu tuuuuuuuuuu kanitenda kanitenda wala sikutaka kujiuliza ilikuwaje kuwaje nikatendwa. Nikawa namchukia nakumombea mabaya kila siku.

Siku niliyokuja kukaa chini na kujiuliza hivi ilikuwaje kuwaje? ndio nikagundua mimi na yeye wote tuna makosa nikamsamehe na kuendelea na maisha yangu lol toka hapo naishi kwa amani isiyo mfano rohoni na moyoni.

Tusiwe tunalaumu saaaaaaana katika mahusiano lazima kila mtu amechangia hiyo hali hapo
1. Inawezekana ulikuwa unaona kabisa hakupendi bali ulikuwa unalazimisha au
2. Ulitibua na wewe mahala ukasababisha yatokee yaliyotokea

(TENDA YALE UNAYOPENDA KUTENDEWA NA MWENZIO/WENZIO)
 
Jamani vitu vingine km uwezekano wa kuvipata ni mdogo bora kuachana navyo!..tumekua too rigid kungangania mlango ulofungwa ilihali iliyowazi hatuioni!
 
Mi nadhani baada maana kama bado hajawa wako atakuaje "your love"?? Kama yuko na mwingine basi unakua unataka kuiba someone else‘s love and make it yours!
hii "your love" si imetokana na "my love to some one is ...." ndo maana mi ntakwambia "Fight for your love"
 
Mi nadhani baada maana kama bado hajawa wako atakuaje “your love“?? Kama yuko na mwingine basi unakua unataka kuiba someone else‘s love and make it yours!
Lizzy ninaomba nitofautiane na wewe hapa................. kama hajafunga kitanzi kwa maana ya kufunga ndoa takatifu....nina haki ya kujaribu bahati yangu ..........

Kwa sababu kama alivyosema Asprin na MTM ina wezekana kabisa naye anakupenda lakini kwa kuwa hujamweleza hajui kama atapata the same feelings.

utajisikiaje utakapomwachia aoe/olewe na mwingine and only to find out kuwa amemuoa/olewa for other reasons than love??

I still think it if important to let him/her know how you feel about him/her......kama hafeel the same its ok but at least you have tried
 
Jamani vitu vingine km uwezekano wa kuvipata ni mdogo bora kuachana navyo!..tumekua too rigid kungangania mlango ulofungwa ilihali iliyowazi hatuioni!
Tatizo huo ulio wazi hauvutii kwetu kwa namna tutakayo............na uliofungwa bado unatoa dalili za kutaka kufunguka
 
Unifundishe kuchakachua mapenzi???? Huu ufisadi huu utatumaliza jamani, yaani mpaka kwenye mapenzi.....kha.........tutaponea wapi jamani
hahahaaaaaaaaaaaaaaa... lost in translation!!!

yani wewe unadhani hii topic ni ya kuchakachua mapenzi?? si ungewaona wahusika?? mama yangu weee... hii ni shule tu muulize kamanda au lizzy, we dont teach to cheat out, we teach to reach out...

kalagabaho
 
Mi nadhani baada maana kama bado hajawa wako atakuaje "your love"?? Kama yuko na mwingine basi unakua unataka kuiba someone else‘s love and make it yours!
... i told you, kuna steps ulivuka ukabisha, ona sasa unanifanya nionekane bad teacher
 
hii "your love" si imetokana na "my love to some one is ...." ndo maana mi ntakwambia "Fight for your love"
“your love“ yakupigania ni ile nafasi ya kujiexpress and not the actual feeling a person has!Sasa kama kuna mwenzako ambae tayari anajiexpress pale na wewe unaitaka hiyo nafasi then utakua unataka kumnyang‘ang‘anya!
 
nnunu umenikumbusha swali ambalo sometimes linanisumbua sana ............can any one tell me the feeling of being in love? Unajuaje uko in love na sio tamaa?

mi naona mapenzi ya tamaa hata ukiachwa au ukiacha hauumii sana,
na unayemtamani pindi akifanya kosa ni rahisi sana kuligundua na kumhukumu, tofauti na unayempenda.
Unayempenda hata akikufanyia kosa kubwa vipi wala haujui/hauchukulii kama ni kosa. Pili hata kumsamehe ni rahisi sana, japo walio pembeni wanaweza wasikuelewe, wanabaki tu kujiuliza kuwa yaani pamoja na makosa haya yote bado anamsamehe,huyu mwenzetu vipi??, ukimpenda mtu mabaya yake wala hauyaoni, wewe unaona mazuri yote, hata sijui nieleze vipi, lakin kwa ufupi naweza sema kupenda ni upofu,ukiziwi,na ububu ndani yake.
Kuachwa ni pale mpendwaji anaposema sasa basi sikupendi tena,hapo ndipo unakuwa hauna jinsi unabaki kuugulia tu moyoni, hata ukiendelea na maisha lakin kamwe hauwezi kumsahau.
 

nimerudi.
hii post na mostly hapo red napenda kuchukua fursa hii kusema kwamba am vere proud to have fellow JF member like u, wengi wetu tunajivika utakatifu hewa.
 
 

My dia unaluhusiwa kutoa tafsiri yoyote ile unaona itakufaa....ila mwisho wa siku penzi limechakachuliwa na mtu ameumia vibaya (rejea kwa mtoa sredi). Ni haya mapenzi ya "kwa hisani ya watu wa marekani" ndio yanatuharibia dunia yetu nzuri. Mi naamini bado tunaweza kufanya tofauti.
 
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…