Have You Ever.......

Have You Ever.......

Anaweza akajitokeza mtu mmoja mwenye asili ya binadamu akaniambia mmekonkludi nini hasa katika hii Have You Ever?
 
mh! mwenzenu kuna m2 nampenda sana tatizo ni kwamba mie nko na mahusiano tayari, so ni ngumu kuwa naye ila ndo hivyo, naumia tu ndani kwa ndani,
Strawberry are you happy in your relationship?
hoe do you know if you love this other person na humtamani?
 
Mjukuu mtiifu, kwa vile ninavyokusoma hapa JF naona ni tough task kukutoa katika imani yako ya mapenzi na kukupeleka katika imani yangu ya mapenzi.

1)Most people they judge mapenzi kwamba lazima uyaoneshe kwa mpenzi wako na lazima ujidhalilishe kwake ili uoneshe kwamba unampenda, uko serious na una true love kwake.

2)on the other hand binadamu kimaumbile tumeumbwa na jeuri na dharau pale tunapoona tuko juu au tunawekwa juu kwasababu moja au nyengine.

(unganisha sentensi mbili hizi kisha jawabu ni kwamba ukijidhalilisha kwa mpenzi wako or the so called true serious love ujue una percentage kubwa sana ya kuumizwa).

itaendelea post ijayo.......... kibaka ananyemelea raba yangu acha nimnyatie.

Fellow tablet...kuna binadamu wa jinsia ya kike alinipa salamu zako, sijui nikupee hapa Have You Ever au nikufuate huko Famasi?
 
Unaukubali ukweli tu!!We can ‘t always get what we want and what we want isn ‘t always what ‘s best for us!!!

wewe umemaliza kila kitu......bonge la comment.ni kweli sio lazima unaeokota nae kuni then baada muokote majivu......
 
Anaweza akajitokeza mtu mmoja mwenye asili ya binadamu akaniambia mmekonkludi nini hasa katika hii Have You Ever?
Kupenda ni ugonjwa na pia ni dawa!Penda pale pendo lako litakapo pokelewa tu...ikitolea umependa pasipo geuka ukimbie!
 
Anaweza akajitokeza mtu mmoja mwenye asili ya binadamu akaniambia mmekonkludi nini hasa katika hii Have You Ever?
babu utaconcludije katikati?...............have You ever bado inaendelea
hahahahha eti mwenye asili ya binadamu
 
Hhahah baba mchungaji “i have loved someone so much it made me cry....i have loved someone so much i couldn‘t sleep at night...na mengine zaidi but i‘m still longing for that day when I will fall in love again“!

Chances never comes twice!
 
But darling sometimes you reap what you havent saw............you reap them magugu ambayo hukuyapanda.umepanda love unategemea kuvuna love but unajikuta magugu yamekuwa katikati ya love na you end up picking them instead of love MTM.kweli ninakwambia!! In my life nimeexperience hili in two most crucial relationships that I believed (amd stil am) sawing love but end up reaping nothing but magugu (sometimes najiuliza may be its a punishment kama asemavyo Maty)
we kamanda wewe.... hivi huwa hupalilii hiyo love jamani?? nurture, care, protect... vyote hivi huondoa magugu madam

usiniambie ulikua hupalilii, dah
 
Kupenda ni ugonjwa na pia ni dawa!Penda pale pendo lako litakapo pokelewa tu...ikitolea umependa pasipo geuka ukimbie!

Kwahiyo kwakuwa mi napenda bia, mi ni mgonjwa wa alkoholi?
 
we kamanda wewe.... hivi huwa hupalilii hiyo love jamani?? nurture, care, protect... vyote hivi huondoa magugu madam

usiniambie ulikua hupalilii, dah
Mh kuna magugu kamanda....ninaelewa sana love inatakiwa kupalilia but sometimez yanajitokeza......na mara nyingi shamba likiwa kubwa basi unawezapalilia mara moja, mbili na kutegemea na ukuaji wa magugu mkulima anachoka
 
Fellow tablet...kuna binadamu wa jinsia ya kike alinipa salamu zako, sijui nikupee hapa Have You Ever au nikufuate huko Famasi?

hehehe, fellow tablet, umesibitisha kama ni jinsia inayobeba ujauzito?, juzi fesbuk nilipanda mkenge nikatongoza shemale aisee. nimefuta akaunti yangu ya fesbuku until faza notice.
 
Kupenda ni ugonjwa na pia ni dawa!Penda pale pendo lako litakapo pokelewa tu...ikitolea umependa pasipo geuka ukimbie!
Unajua Lizy, kuna watu bado hawajui wapi wanapendwa na wapi hupendwi hii ndo inakuja inasababisha maumivu, maana kuna vitu tu watu wanafikiri mpenzi wako asipokufanyia basi hakupendi na kuna sehemu unafanyiwa hivyo vitu ukajua hapa ndo napendwa kwenmbe mwenzio ni anacheza na wewe.!! kwa hiyo some times tunajitakia tu kuumizwa.
 
babu utaconcludije katikati?...............have You ever bado inaendelea
hahahahha eti mwenye asili ya binadamu

Alright kwa hiyo vimeumana mazima? Have You Ever on the move.........Ngoja babu arudi tena kitandani. Ye anavizia konklusheni ya huu mdahalo.
 
Mh kuna magugu kamanda....ninaelewa sana love inatakiwa kupalilia but sometimez yanajitokeza......na mara nyingi shamba likiwa kubwa basi unawezapalilia mara moja, mbili na kutegemea na ukuaji wa magugu mkulima anachoka
mdogo wangu, tembo haelemewi na mkonga wake... ukiona umelemewa na magugu ujue kuna jambo.... either umeshindwa kupalilia, au hujali mazao hayo

:mod:
 
hehehe, fellow tablet, umesibitisha kama ni jinsia inayobeba ujauzito?, juzi fesbuk nilipanda mkenge nikatongoza shemale aisee. nimefuta akaunti yangu ya fesbuku until faza notice.

Hahahaha.........basi hebu ngoja nikapitie sredi zake...kama mwandiko wake umelala kushoto atakuwa demu, ukilala kulia litakuwa dume, Ukisimama katikati nami najitoa FB (Soma katikati ya mistari hapo)
 
Back
Top Bottom