Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaolewa ni binti mdogo tu huyu.. kaolewa na yule jamaa wa wasafi anaitwa kimkyandoWanawake wenye akili hawawezi kikubaliana naye., kwanza tuanze na yeye Je ameolewa au alizalishwa tu kisha maisha yakasonga. Na kama kaolewa analipwa na huyo mme wake, na kama hajaolewa iweje leo awe mshauli na mwalimu wa walioolewa.
Kweli kabisa,kangekua na mtoto,akili ingekomaa.kwa sababu huu ni mwaka wa tatu toka kameolewa na hakajaahika mimbaVery stupid argument.... kwa jinsi taasisi ya ndoa inavyotetereka(ambayo ndo msingi wa jamii iliyostaarabika) wanaharakati wapuuzi kama hawa badala ya kuja na hoja za kujenga ndo kwanza wanaharibu familia kabisa.
Ndoa ni makubaliano ya watu wawili na sio business contract kwa huku kwetu.
1. Wapo wanaume wanaomudu kuwalipa wake zao mshahara sababu walikubaliana kuwaachisha kazi ili walee familia
2. Mwanaume anaejielewa na kipato kinaruhusu akiwa na mke mama wa nyumbani nyumba yenye majukumu mengi anamuwekea tu house girl na bado atamtunza mkewe kwa mahitaji yake binafsi kadiri kipato chake kinavyoruhusu
Yani huyo mume achukue kamshahara kake alipe kodi, ada, chakula, mahitaji ya nyumbani.... etc then bado amlipe mke ambae toka 2015 serikali imeshindwa kumuajiri private nako hola na bado kashindwa kujiajiri. Hii ni mentality ya kishetani na kinyonyaji hamna upendo hapo na hiyo familia lazima iwe masikini
Huu muda wanaotumia kutafuta sheria za kijinga, wangekua wanajikita kutafuta fursa namna mwanamke anaweza kufanya kazi kwa muda mchache au kufanya kutokea nyumbani ili aweze kupata muda wa kutunza familia asilimia kubwa ya muda wake badala ya familia kulelewa na madada wa kazi
Nje ya mada... huu muda anaopiga domo angekaa na mumewe wajitahidi wapate watoto labda akili itakomaa ataacha arguments za kipumbavu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umetisha saaana mkuuHamna shida na mimi nikileta Nyama nyumbani nawauzia
Ni kazi za mwanamke AaliyyahKidini mwanamke akiolewa ni kuzaa na kukuhudumia mumewe kazi ya ndani ni hisabi tu Kwa familia sio Sheri lakin maisha yamebadilika na pia tamaduni zinatutaka tufanye hivo
kataa ndoa,kataa mahusiano"Moja ya ukatili ambao wanawake wanafanyiwa ni kufanyishwa kazi majumbani bila kulipwa, kiuhalisia mwanamke anapofanya kazi za nyumbani lazima alipwe, kwasababu hujamuoa awe house girl wako, yule ni mke wako ambaye umemuoa kwa malengo maalumu na siyo ya kufanya kazi za nyumbani."
"Sisi kama wanaharakati tupo kwenye mchakato kuhakikisha ule muda ambao mwanamke anautumia kufanya kazi za nyumbani uwe na manufaa kwake, alipwe na mume wake."- Shamira Mshangama, Mwanaharakati.
Wamefikia stage mbaya sana aloo.
[emoji174][emoji23][emoji23]View attachment 2713479
Na mwanaume atalipwa na nani pesa anazopoteza kumtunza huyo mwanamke?"Moja ya ukatili ambao wanawake wanafanyiwa ni kufanyishwa kazi majumbani bila kulipwa, kiuhalisia mwanamke anapofanya kazi za nyumbani lazima alipwe, kwasababu hujamuoa awe house girl wako, yule ni mke wako ambaye umemuoa kwa malengo maalumu na siyo ya kufanya kazi za nyumbani."
"Sisi kama wanaharakati tupo kwenye mchakato kuhakikisha ule muda ambao mwanamke anautumia kufanya kazi za nyumbani uwe na manufaa kwake, alipwe na mume wake."- Shamira Mshangama, Mwanaharakati.
Wamefikia stage mbaya sana aloo.
[emoji174][emoji23][emoji23]View attachment 2713479