Hawa Feminist walipofikia ni pabaya sasa

Wanawake wenye akili hawawezi kikubaliana naye., kwanza tuanze na yeye Je ameolewa au alizalishwa tu kisha maisha yakasonga. Na kama kaolewa analipwa na huyo mme wake, na kama hajaolewa iweje leo awe mshauli na mwalimu wa walioolewa.
Kaolewa ni binti mdogo tu huyu.. kaolewa na yule jamaa wa wasafi anaitwa kimkyando
 
Kweli kabisa,kangekua na mtoto,akili ingekomaa.kwa sababu huu ni mwaka wa tatu toka kameolewa na hakajaahika mimba
 
Husband: Can you please clean our home for a bit?
Feminist: That's not my job.

Boss: Clean the office & bring me coffee when you're done.
Feminist: Right away, boss.
 
kataa ndoa,kataa mahusiano
 
Na mwanaume atalipwa na nani pesa anazopoteza kumtunza huyo mwanamke?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…