Hawa GO BET wanapata wapi ujasiri wa Kutukana Watu Kisa tu hatujajiunga kwenye Hiyo mitandao yao Ya Kubet

Hawa GO BET wanapata wapi ujasiri wa Kutukana Watu Kisa tu hatujajiunga kwenye Hiyo mitandao yao Ya Kubet

Ivi hawa Go Bet wanatuchukuliaje WaTanzania ivi Hii nchi Mbona Ngumu sana jamni yan Mtu unakaa zako unahangaika na Matatizo ya hii nchi ghafla Na Mitandao ya Kipuuzi kam hii nayo itutukane,

Waziri husika Hebu mkalitazame hilo maan huku ni Kuingilia Privacy za Watu sasa, haiwezekan Watu kudharauliana kiasi hiki.

Natamani apatikane Wakili mjuzi wa Sheria hii kampuni ibananishwe Kizimbani

View attachment 2756936
Wanatumia nguvu kushawishi watu kujiunga nao....wahusika mkalitizame hilo...
 
Wapumbavu wenyewe, Kwanza haya makampuni ya ubashiri wanatoa wapi namba zetu?? Na nani anatoa bila idhini yetu?
 

Attachments

  • Screenshot_20230921-132116_Messages.jpg
    Screenshot_20230921-132116_Messages.jpg
    70.9 KB · Views: 3
Hawa watu hatari sana
 

Attachments

  • Screenshot_20230921-133420.png
    Screenshot_20230921-133420.png
    73.7 KB · Views: 9
yaani ndio najiuliza kwanini naitwa mpumbavu kwa sababu zipi nimewakosea nini na nani amewapa ruhusa ya kutuma sms
 
90% ya watu ni masikini bado kamari zinaruhusiwa. Ni balaa. Kuna kaya zinalala njaa mkuru anajaribu bahati ya kubet!!
 
ngoja nikakague laini zangu zavoda nione kama wamenitumia nianzie kuwasumbua huduma kwawateja Tena nahakikisha anae pokea nimdada nimhenyeshe.☹️☹️😕
 
Hii nchi uhuru umezidi 😅😅😅
 
Back
Top Bottom