Hawa GO BET wanapata wapi ujasiri wa Kutukana Watu Kisa tu hatujajiunga kwenye Hiyo mitandao yao Ya Kubet

Hawa GO BET wanapata wapi ujasiri wa Kutukana Watu Kisa tu hatujajiunga kwenye Hiyo mitandao yao Ya Kubet

niliwatafuta voda, sitaki kutumiwa sms za GO bet, wamenitumia no zao niwapigie. Hii imekaaje kitaalam

Wameshauza taarifa zako mkuu, hivyo wanaona hawana haki tena. Kimsingi TCRA walisha kataza haya mambo ya kututumia wateja taarifa za matangazo hovyo hovyo.
 
Umeniwahi mkuu! Mwenyewe nilitaka nililete huku, Message imeingia heading nachungulia "NI UPUMBAVU...." Nikajiuliza nimemkosea nani tena au mimeharibu wapi? 😄 kuangalia kumbe ni hawa wapuuzi! Kweli hali ngumu mpaka wanatumia lugha nzito nzito, Tujiunge tumtafute mwanasheria mzuri hawa wahuni wa GOBET watulipe kwa udhalilishaji huu!

View attachment 2756952
kabsa hapa kuna Harufu ya Hela hapa Tukiwa serious
 
Ivi hawa Go Bet wanatuchukuliaje WaTanzania ivi Hii nchi Mbona Ngumu sana jamni yan Mtu unakaa zako unahangaika na Matatizo ya hii nchi ghafla Na Mitandao ya Kipuuzi kam hii nayo itutukane,

Waziri husika Hebu mkalitazame hilo maan huku ni Kuingilia Privacy za Watu sasa, haiwezekan Watu kudharauliana kiasi hiki.

Natamani apatikane Wakili mjuzi wa Sheria hii kampuni ibananishwe Kizimbani

View attachment 2756936
Hata miye wameniita mpumbavu,teh teh teh
 
😄😄😄
 

Attachments

  • Screenshot_20230921-163559_Chrome.jpg
    Screenshot_20230921-163559_Chrome.jpg
    17.1 KB · Views: 3
Nimewandikia Email Nimewaambia WAPUMBAVU ni wenyewe.. nikawaongezea na TUSI jingine ambalo naamini hawajawahi kulisikia.
 
Back
Top Bottom