Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toka lini mtu anayebeti akawa si Mpumbavu? Ha ha ha haIvi hawa Go Bet wanatuchukuliaje WaTanzania ivi Hii nchi Mbona Ngumu sana jamni yan Mtu unakaa zako unahangaika na Matatizo ya hii nchi ghafla Na Mitandao ya Kipuuzi kam hii nayo itutukane,
Waziri husika Hebu mkalitazame hilo maan huku ni Kuingilia Privacy za Watu sasa, haiwezekan Watu kudharauliana kiasi hiki.
Natamani apatikane Wakili mjuzi wa Sheria hii kampuni ibananishwe Kizimbani
View attachment 2756936
Toka lini mtu anayebeti akawa si Mpumbavu? Ha ha ha ha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dah...
Msg moja wameandika hivi, nanukuu; “Utakuwa mtu wa ajabu mno kutokucheza ………”Wapumbavu wenyewe, Kwanza haya makampuni ya ubashiri wanatoa wapi namba zetu?? Na nani anatoa bila idhini yetu?
Hawa ni wahuni 😆😆😆
Asante pole na wewePoleni sana...
Ni kama wanatumia Robot sio mtu kwa namna wanavyoandika sms zaoWamenitumia text ya kuomba Msamaha.. na nyie pia?
Dah hata mim nilikuwa natafakari hili suala, nmepata meseji yao nilikuwa nataka niwapigie voda kuwaelekeza hii dharau walionionyesha..nguliza mguu mmoja ndani kwenye utajiliMie mwenyew wamenitukana hapa.. bado natafuta cha kuwajibu.
Ivi hawa Go Bet wanatuchukuliaje WaTanzania ivi Hii nchi Mbona Ngumu sana jamni yan Mtu unakaa zako unahangaika na Matatizo ya hii nchi ghafla Na Mitandao ya Kipuuzi kam hii nayo itutukane,
Waziri husika Hebu mkalitazame hilo maan huku ni Kuingilia Privacy za Watu sasa, haiwezekan Watu kudharauliana kiasi hiki.
Natamani apatikane Wakili mjuzi wa Sheria hii kampuni ibananishwe Kizimbani
View attachment 2756936
Umeniwahi mkuu! Mwenyewe nilitaka nililete huku, Message imeingia heading nachungulia "NI UPUMBAVU...." Nikajiuliza nimemkosea nani tena au mimeharibu wapi? 😄 kuangalia kumbe ni hawa wapuuzi! Kweli hali ngumu mpaka wanatumia lugha nzito nzito, Tujiunge tumtafute mwanasheria mzuri hawa wahuni wa GOBET watulipe kwa udhalilishaji huu!
View attachment 2756952
😄😄😄 natamani nipate hii msg kwa udi na uvumba.
Ivi hawa Go Bet wanatuchukuliaje WaTanzania ivi Hii nchi Mbona Ngumu sana jamni yan Mtu unakaa zako unahangaika na Matatizo ya hii nchi ghafla Na Mitandao ya Kipuuzi kam hii nayo itutukane,
Waziri husika Hebu mkalitazame hilo maan huku ni Kuingilia Privacy za Watu sasa, haiwezekan Watu kudharauliana kiasi hiki.
Natamani apatikane Wakili mjuzi wa Sheria hii kampuni ibananishwe Kizimbani
View attachment 2756936
daah!! Nawaoneeni wivu sana. Mmeshatajili.. mkitoka msun8sahau. Angalau niwauzieni mashamba
Translator imewaingiza chakaNi kama wanatumia Robot sio mtu kwa namna wanavyoandika sms zao