Hawa GO BET wanapata wapi ujasiri wa Kutukana Watu Kisa tu hatujajiunga kwenye Hiyo mitandao yao Ya Kubet

Wanatumia nguvu kushawishi watu kujiunga nao....wahusika mkalitizame hilo...
 
Hawa watu hatari sana
 

Attachments

  • Screenshot_20230921-133420.png
    73.7 KB · Views: 9
yaani ndio najiuliza kwanini naitwa mpumbavu kwa sababu zipi nimewakosea nini na nani amewapa ruhusa ya kutuma sms
 
90% ya watu ni masikini bado kamari zinaruhusiwa. Ni balaa. Kuna kaya zinalala njaa mkuru anajaribu bahati ya kubet!!
 
ngoja nikakague laini zangu zavoda nione kama wamenitumia nianzie kuwasumbua huduma kwawateja Tena nahakikisha anae pokea nimdada nimhenyeshe.☹️☹️😕
 
Hii nchi uhuru umezidi 😅😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…