Hawa GO BET wanapata wapi ujasiri wa Kutukana Watu Kisa tu hatujajiunga kwenye Hiyo mitandao yao Ya Kubet

niliwatafuta voda, sitaki kutumiwa sms za GO bet, wamenitumia no zao niwapigie. Hii imekaaje kitaalam

Wameshauza taarifa zako mkuu, hivyo wanaona hawana haki tena. Kimsingi TCRA walisha kataza haya mambo ya kututumia wateja taarifa za matangazo hovyo hovyo.
 
kabsa hapa kuna Harufu ya Hela hapa Tukiwa serious
 
Hata miye wameniita mpumbavu,teh teh teh
 
Nimewandikia Email Nimewaambia WAPUMBAVU ni wenyewe.. nikawaongezea na TUSI jingine ambalo naamini hawajawahi kulisikia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…