Hawa hapa wana-Sayansi wawili wakubwa ambao ni chanzo cha maendeleo yote yailyopo hapa duniani leo

Hawa hapa wana-Sayansi wawili wakubwa ambao ni chanzo cha maendeleo yote yailyopo hapa duniani leo

Galileo Galilei alichimba msingi, akauacha ameumaliza halafu hawa wawili wakaja wakaukuta na kuanza kuujenga na kuukamilisha kabisa. Baada ya hapo wengine wote waliofuata wanapandisha kuta kwenda juu na hadi leo bado tunaendeea kupandisha kuta

Na kuta hizi zitaendekea kupandishwa mpaka siku Yesu anarudi
Galileo alichimba msingi kwenye Astrology..

Wapo waliochimba kwenye areas nyingine nyingi tu...

Waandishi wa habari ndio wana rank wana sayansi kwa ujumla ila kwenye sayansi kila Mmoja ana mchango wake....

Unamjua Gregor Mendel?

Michael Faraday?

Dmitry Mendeleev?
 
Wanasayansi Wako wengi Sana walioleta mageuzi makubwa mengi hapa Duniani.
Mfano utawakuta kwenye:
  • Field of medicine
  • Filed of agriculture
  • Field of nutrition
  • Field of astronomy and astrology
  • Field of taxonomy
  • Field of electricity/electrochemistry
  • Field of fuel and energy
  • n.k
Kote huko utawakuta wanasayansi nguli walioleta mapinduzi kwa maendeleo chanya ya binadamu.
 
Wanasema dini zao ndio zimeleta ubumbuzi. Ukiuliza wapi hawana pa kuonyesha. Watafute youtube.
Ndio ni kweli,hata wanasayansi wameprove hivyo, tofauti ni kwamba katika maandiko ya kitabu kitakatifu (Quran), uenda na imani nyinginezo pia yamo,yakwamba maandiko yako kimhutasari zaidi,ni mpaka ujue kuvitafsiri vitabu hivyo kujua kilichomo, mfano inaelezwa kwa mjibu wa wanazuoni mtume alipopelekwa mbinguni na brac na kwa mda mfupi akarudi duniani, katika kusimulia kile alichokiona huko mungu alimuwekea mbele yake mfano wa screen,akawa anapata picha nakuelezea vyema walomsikiliza,sasa ukiangalia leo hii vitu kama sinema,tv zimetokana na kile ambacho mungu alikifanya kwa mtume nk nk,na kuna mengi mengine katika hicho kisa,wana sayansi wanatazamia huko sana tu,wanaiga ambayo mungu alishatengeneza zamaani enzi na enzi, tofauti ni kwamba katika imani maandiko yako vitabuni, wanasayansi wao wametekeleza tu kivitendo kitu kikaonekana,kinashikika nk nk
 
Msimsahau Ada Lovelace na Charles Barbage
Wapo wengi hata wewe unaweza ukawa mmoja wao; waliofuata wote walianza kuweka tofali, msingi ukiwa tayari umejengw na hao wawili, huku wa kwanza kabisa aliyeuchimba msingi na akauacha bila kuujenga akiwa ni Galileo Galilei

Mwaka aliofariki Galileo Galilei (Italy) ndiyo mwaka aliozalwa Isaac Newton (England)
Takriban miaka 120 baada yau kufariki Isaac Newton, Nicolas Tesla akazaliwa mwaka 1856, akifuatiwa na Albert Einstein mwaka 1879 na hatimaye Niels Bohr (Denmark) mwaka 1885, ikiwa ni miaka sita tu baada ya kuzaliwa Albert Einstein
 
Thanks also to the Library and Manuscripts from Timbaktu
 
Wapo wengi hata wewe unaweza ukawa mmoja wao; waliofuata wote walianza kuweka tofali, msingi ukiwa tayari umejengw na hao wawili, huku wa kwanza kabisa aliyeuchimba msingi na akauacha bila kuujenga akiwa ni Galileo Galilei

Mwaka aliofariki Galileo Galilei (Italy) ndiyo mwaka aliozalwa Isaac Newton (England)
Takriban miaka 120 baada yau kufariki Isaac Newton, Nicolas Tesla akazaliwa mwaka 1856, akifuatiwa na Albert Einstein mwaka 1879 na hatimaye Niels Bohr (Denmark) mwaka 1885, ikiwa ni miaka sita tu baada ya kuzaliwa Albert Einstein
Ni kweli mkuu, but kila mwanasayansi ana mchango wake kwenye Dunia tulio nayo sana e.g mtu kama Thomas Edison bila yeye tungekuwa hatuna bulb Leo hii
 
Ni kweli mkuu, but kila mwanasayansi ana mchango wake kwenye Dunia tulio nayo sana e.g mtu kama Thomas Edison bila yeye tungekuwa hatuna bulb Leo hii
Vipi kama tusingekuwa na umeme?
 
Ndio ni kweli,hata wanasayansi wameprove hivyo, tofauti ni kwamba katika maandiko ya kitabu kitakatifu (Quran), uenda na imani nyinginezo pia yamo,yakwamba maandiko yako kimhutasari zaidi,ni mpaka ujue kuvitafsiri vitabu hivyo kujua kilichomo, mfano inaelezwa kwa mjibu wa wanazuoni mtume alipopelekwa mbinguni na brac na kwa mda mfupi akarudi duniani, katika kusimulia kile alichokiona huko mungu alimuwekea mbele yake mfano wa screen,akawa anapata picha nakuelezea vyema walomsikiliza,sasa ukiangalia leo hii vitu kama sinema,tv zimetokana na kile ambacho mungu alikifanya kwa mtume nk nk,na kuna mengi mengine katika hicho kisa,wana sayansi wanatazamia huko sana tu,wanaiga ambayo mungu alishatengeneza zamaani enzi na enzi, tofauti ni kwamba katika imani maandiko yako vitabuni, wanasayansi wao wametekeleza tu kivitendo kitu kikaonekana,kinashikika nk nk
Aiseee. Kwahiyo hapo dini ndio ikawa imetengeneza screen au imegundua au? Hiyo screen ya mtume ilikua LCD, LED au ya Chogo?
 
Galileo alichimba msingi kwenye Astrology..

Wapo waliochimba kwenye areas nyingine nyingi tu...

Waandishi wa habari ndio wana rank wana sayansi kwa ujumla ila kwenye sayansi kila Mmoja ana mchango wake....

Unamjua Gregor Mendel?

Michael Faraday?

Dmitry Mendeleev?
Uko sahihi ila inaonyesha hujakielewa vizuri kichwa cha thread hii au content yake
 
Marrie Curie mchango wake kwenye nuclear unajulikana
Si unaanza na chakula kwanza halafu ndiyo silaha za kujilinda na maadui zinafuata? We unawezaje kutengeneza silaha wakati ndani huna chakula? Mimi naongelea waliochimbua maisha basic kwanza halafu baada ya hapo ndiyo mambo mengine yakafuata, madawa na silaha na vitu vingine
 
Si unaanza na chakula kwanza halafu ndiyo silaha za kujilinda na maadui zinafuata? We unawezaje kutengeneza silaha wakati ndani huna chakula? Mimi naongelea waliochimbua maisha basic kwanza halafu baada ya hapo ndiyo mambo mengine yakafuata, madawa na silaha na vitu vingine
Hakuvumbua silaha , ila alivumbua kitu special ambacho tunatumia kila siku, na baadae humo humo wengine wakaja tengeneza silaha

Yeye ndio mvumbuzi wa radio activity, ndani yake humo kwa matumizi ya kila siku kuna xray machines, radiation therapy (kwa wagonjwa wa cancer), nuclear power for electrical generation, smoke detectors
 
Wapo wengi hata wewe unaweza ukawa mmoja wao; waliofuata wote walianza kuweka tofali, msingi ukiwa tayari umejengw na hao wawili, huku wa kwanza kabisa aliyeuchimba msingi na akauacha bila kuujenga akiwa ni Galileo Galilei

Mwaka aliofariki Galileo Galilei (Italy) ndiyo mwaka aliozalwa Isaac Newton (England)
Takriban miaka 120 baada yau kufariki Isaac Newton, Nicolas Tesla akazaliwa mwaka 1856, akifuatiwa na Albert Einstein mwaka 1879 na hatimaye Niels Bohr (Denmark) mwaka 1885, ikiwa ni miaka sita tu baada ya kuzaliwa Albert Einstein
Huwa nina mkubali Galileo Galilei.

Nasikia eti kuna wakati alikuwa amesimama chini mwembe,embe likadondoka likampiga kichwani.Mwamba akaanza kujiuliza maswali mengi kichwani kwake ni kwanini lile embe lilidondoka kuelekea chini? Kwani embe halikudondoka kuelekea juu?. Alikuwa akiwa kanisani,wengine wanasali,yeye Galileo Galilei yuko busy kusoma movement ya padri akiwa anapuliza chetezo. Baadaye akaanza ku-develop kanuni za gravity.

Huwa ninaipenda hii quote ya Galileo Galilei,"Biblia iliandikwa kwa ajili ya watu wenye akili."
 
Uko sahihi ila inaonyesha hujakielewa vizuri kichwa cha thread hii au content yake
Hamna kitu unaelewa ,

Wanasayansi wawili hawatoshi kuwa chanzo cha maendeleo makubwa yanayoonekana hapa duniani..

Alafu its unfortunate im in this class with you .
 
Huwa nina mkubali Galileo Galilei.

Nasikia eti kuna wakati alikuwa amesimama chini mwembe,embe likadondoka likampiga kichwani.Mwamba akaanza kujiuliza maswali mengi kichwani kwake ni kwanini lile embe lilidondoka kuelekea chini? Kwani embe halikudondoka kuelekea juu?. Alikuwa akiwa kanisani,wengine wanasali,yeye Galileo Galilei yuko busy kusoma movement ya padri akiwa anapuliza chetezo. Baadaye akaanza ku-develop kanuni za gravity.

Huwa ninaipenda hii quote ya Galileo Galilei,"Biblia iliandikwa kwa ajili ya watu wenye akili."
Hapana; hii story huwa ni scam na inamhusu Isaac Newton na si Galileo
 
Back
Top Bottom