Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 11,129
- 7,321
- Thread starter
- #41
Soma kwanza post ya mtu niliyemjibu, kabla hujaingia kwenye topic ya silaha. Nani kasema nani kavumbua silaha?Hakuvumbua silaha , ila alivumbua kitu special ambacho tunatumia kila siku, na baadae humo humo wengine wakaja tengeneza silaha
Yeye ndio mvumbuzi wa radio activity, ndani yake humo kwa matumizi ya kila siku kuna xray machines, radiation therapy (kwa wagonjwa wa cancer), nuclear power for electrical generation, smoke detectors