Hawa hapa wana-Sayansi wawili wakubwa ambao ni chanzo cha maendeleo yote yailyopo hapa duniani leo

kwani meli kizimkazi il iwakuta
BILA NEWTON MELI ISINGEWEZA KUTEMBEA. VYOTE vinavyotembea IWE NI ardhini, CHINI YA ARDHI, MAJINI AU angani, ni KAZI YA Isaac Newton
 
Na utakuta wamekaa kwemye kusanyiko la dini wanalishana matango pori kama haya 🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Haha.

Nilipokuwa O level nilikuwa najiita Newton Boy.

Jamaa anajua sana.

Nilikuwa nakesha na Nelcon kusolve mafomula.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…