Hawa hapa wapinzani wa Yanga michuano ya CAF champions league

Hawa hapa wapinzani wa Yanga michuano ya CAF champions league

Hapa ndo tutajua kama zile milioni 10 kumi zitaendelea kufanya kazi.
 
Ndo maana mliambiwa mnaanzia first round na nyie mkashangilia,
Hata wewe hapa unatoa maombi ambayo hata hayawezekani maana bingwa hayupo preliminary
Kwa kikosi hiki cha sasa tunaomba tuanze na Bingwa mtetezi wa klabu bingwa afrika ili kazi ya kumvua huo ubingwa tuifanye mapema

Kabla ya kwenda kulichukua mwezi wa tano
 
Mabeki wa yanga mechi mbili wameruhusu goal tatu ngoja wakaisome namba.
Mechi mbili zipi unazo ziongelea? Kuwa specific. Kama ni kwenye ligi kuu msimu huu, Yanga ndiyo timu inayo ongoza kwa kuwa na clean sheet nyingi!
Ndiyo timu iliyofungwa magoli machache! Ndiyo timu iliyofunga magoli mengi! Ndiyo timu yenye assist nyingi!

Na kama unaongelea zilipendwa, basi na sisi tutakumbushia zile khamsa khamsa za wakati ule.
 
Caf champions league hatua ya awali inatarajiwa kuanza mwezi nane, ni wakati muafaka sasa kwa mabingwa wa Nbc premier league yanga sc kuhipanga kisawa sawa isije kutokea ya msimu uliopita.

Ikumbukwe kuwa katika hatua hii ya awali wapo pia Rivers united waliowafurusha yanga sc kwa kuwapiga nje ndani.View attachment 2268806
Si River Utd wapewe tu mke wao tena🤣🤣🤣🤣
 
Ndo maana mliambiwa mnaanzia first round na nyie mkashangilia,
Hata wewe hapa unatoa maombi ambayo hata hayawezekani maana bingwa hayupo preliminary
Kwasababu preliminary round hakuna timu itakayotusumbua kabisa na ndio maana tunahitaji CAF wavunje kanuni zao watuletee hao mabingwa watetezi huku preliminary round ili tuwavue ubingwa wao mapema kabisa

Usichoelewa hapo nini?
 
Makolo wanahangaika sana wanaweweseka kila siku wanaleta thread za kujifariji..
Yanga ya safari hii hata aletwe man City lazima akalie
 
Mbumbumbu fc chagueni timu yoyote mnayoina Kali muwaandikie Caf Ili ipangwe kucheza na Yanga muone soka linavyo tandikwa.
Sisi tuna imani tu na wanetu River United hawajawahi kutuangusha hao wapopo
 
Mungu saidia wapewe tena River United ni furaha kubwa kwetu wapenda soka
 
Safari hii ata akija Ahly ataondolewa mapema sana. Kwa Sasa hakuna atakaye Baki salama.
 
Kwasababu preliminary round hakuna timu itakayotusumbua kabisa na ndio maana tunahitaji CAF wavunje kanuni zao watuletee hao mabingwa watetezi huku preliminary round ili tuwavue ubingwa wao mapema kabisa

Usichoelewa hapo nini?
Kama kawaida River Utd ana kula chura wake as usual as normal.. 😜😜😜😜
 
Safari hii ata akija Ahly ataondolewa mapema sana. Kwa Sasa hakuna atakaye Baki salama.
Labda al ahly ya buza huko au ya huko mbeya kiyela. Ila hapo hauchomoki huendelei mbele. Time will tell.
 
Khoh khoh khoh umelewa mirungi, konyagi, au ugoro mkuu.? Au una matatizo ya kutafakari.🤣🤣🤣🤣 tuseme tu mwendo mumeumaliza. Yaani simba wanaanza kucheza nyie mshatoka🤣🤣🤣🤣
 
kuingia Simba makundi na robo kunawafanya baadhi ya watu waone ni kazi rahisi. acha ibaki kama tamaa tu ila Yanga hawezi kuingia group stage CAFCL,yanga..kipindi hicho magroup mawili tu,timu 8
Walishaingia Sana kabla ya Simba..kwa Mara ya kwanza kuiona timu ya tz group stage ni 1998
 
Back
Top Bottom