Maneno yange kua ndio ushindi ingekua mnafika fainali kila mwaka. Hivi round hii mtasema the nini.?? (Slogan) ila mm napendekeza mseme "wapita njia tena" hii ita wapendeza😎😎😎Sasa hivi tunahitaji bingwa mtetezi ndio tucheze nae,huyo Rivers hata mtuamshe usiku anakufa goal za kutosha
Sawa MamaManeno yange kua ndio ushindi ingekua mnafika fainali kila mwaka. Hivi round hii mtasema the nini.?? (Slogan) ila mm napendekeza mseme "wapita njia tena" hii ita wapendeza😎😎😎
Umekosa hoja unaleta matusi.Sawa Mama
acha kutusingizia watanzania.Kila La Heri Yanga Kwakuwa Mnawakilisha Taifa La Tanzania
mpaka hapo mayang chaliCaf champions league hatua ya awali inatarajiwa kuanza mwezi nane, ni wakati muafaka sasa kwa mabingwa wa Nbc premier league yanga sc kuhipanga kisawa sawa isije kutokea ya msimu uliopita.
Ikumbukwe kuwa katika hatua hii ya awali wapo pia Rivers united waliowafurusha yanga sc kwa kuwapiga nje ndani.View attachment 2268806
Safari hii mnapewa asec ndugu zenu kabisa hao.
Katawaze ulale, shemeji yako anataka kuingia kulala.Mbumbumbu fc chagueni timu yoyote mnayoina Kali muwaandikie Caf Ili ipangwe kucheza na Yanga muone soka linavyo tandikwa.
Hata kwa baridi ni kutetema tu Haina tofauti.Kwa yanga hii na ijayo wala sina mashaka...tutatetema saaaaaana tu...
Sikia huyu!!! Manara hakukosea kabisaaaa. Jifurahishe tu.Kwasababu preliminary round hakuna timu itakayotusumbua kabisa na ndio maana tunahitaji CAF wavunje kanuni zao watuletee hao mabingwa watetezi huku preliminary round ili tuwavue ubingwa wao mapema kabisa
Usichoelewa hapo nini?
Labda Ahly ya Kimbiji.Safari hii ata akija Ahly ataondolewa mapema sana. Kwa Sasa hakuna atakaye Baki salama.
Hapo tuombe wapangiwe Asec ...watobozwe utoooCaf champions league hatua ya awali inatarajiwa kuanza mwezi nane, ni wakati muafaka sasa kwa mabingwa wa Nbc premier league yanga sc kuhipanga kisawa sawa isije kutokea ya msimu uliopita.
Ikumbukwe kuwa katika hatua hii ya awali wapo pia Rivers united waliowafurusha yanga sc kwa kuwapiga nje ndani.View attachment 2268806
Baba Jeni bai baiCaf champions league hatua ya awali inatarajiwa kuanza mwezi nane, ni wakati muafaka sasa kwa mabingwa wa Nbc premier league yanga sc kuhipanga kisawa sawa isije kutokea ya msimu uliopita.
Ikumbukwe kuwa katika hatua hii ya awali wapo pia Rivers united waliowafurusha yanga sc kwa kuwapiga nje ndani.View attachment 2268806
[emoji23][emoji1787]Wameshatoka
Wale Rivers walio okolewa na kuchelewa kwa ITC za akina Bangala,Mayele na Aucho?Caf champions league hatua ya awali inatarajiwa kuanza mwezi nane, ni wakati muafaka sasa kwa mabingwa wa Nbc premier league yanga sc kuhipanga kisawa sawa isije kutokea ya msimu uliopita.
Ikumbukwe kuwa katika hatua hii ya awali wapo pia Rivers united waliowafurusha yanga sc kwa kuwapiga nje ndani.View attachment 2268806