Kama nawaona wanavyokereka, ila ndio hivyo tena hamna jinsi. Wawaache watu waupende tu maana ingekuwa kasifiwa domo walaaa yasingewatoka hayo ya kuwatoka. Wasedyuzike tu.[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji351] [emoji351] [emoji351] [emoji350] [emoji350] [emoji350]
2M viewerssss!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Woyooooooo!Ngoma imepiga 2m viewers mpaka sasa....... avha nikalale
Huo ni mtazamo wako tyuu wacha na wengine wasifie chao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maadui wa dai so wanampaisha ali kinafiki wakidhani wataweza kumshusha dai
Mtatunga sana story mwaka huu.Hao wanajua wanachokifanya, kiba kaachia ngoma, WCB wameachia ngoma, msimu wa Fiesta, "Mwaka huu tutawatumia wasanii wa ndani tu" by boss ruge. (Kuna watu watagawana ule mpunga wanaopewagwa wakin T.I) hao wasanii wanaosaport sijui kiba sijui nani, kuna mtu yupo nyuma yao aka mawingu na jibu kamili tutalipata fiesta ya dar. Sisi wenzangu na mie tuendelee tu kutifuana kwa ajiri yao na kutukanana huku mitandaoni kwa sababu ndio mtaji wao
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]So akisifiwa domo sawa wengne wanapaishwa hahahaa mtakufa mmenuna this year
Acha wivu mtoto wa kiume! Kwa nini wasisapoti vya kwetu?Leo asubuhi kwenye kipindi cha Clouds 360 ,nilishuhudia kina Ngoma na wenzake wakimsifia Ali Kiba eti katoa wimbo mzuri ukifanya nchi ya Tanzania na Afrika mashariki yote izizime kwa ajili ya wimbo wake wa Seduce me, Mimi binafsi bado sijajua kwa nini watu wachanganyikiwe na huu wimbo ambao sijaona hata maudhui yake pale unapousikiliza? Kwa nini clouds wasimamishe mambo waliyopanga kuongelea kwa siku hiyo mpaka wamuongelee Kiba na huu wimbo ambao sijaona hata maudhui yake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Everything is special.Yaani Watz sijui nani katuloga ,sijui kwa nini tunapenda kushabikia mambo yasiyokuwa na tija,what is so special in that song?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa unajua wewe ni mtoto sana wenzio wakipenda kitu hata kama hukipend ni laZima nao wakichukie?ndo maana hakuna kitu kinachoweza kupendwa au kuchukiwa na watu wote na kama hukukipenda kaa kimya unalalamika nini nashangaa mtu unalalamika kama hauna ishu ya maana ya kufanyaYaani Watz sijui nani katuloga ,sijui kwa nini tunapenda kushabikia mambo yasiyokuwa na tija,what is so special in that song?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kasikilize ile zilipendwa najua utaielewa, seduce me tuachie ccWimbo sha usikiliza mwanzo mwisho sijaona cha maana afadhari hata nisikilize Msondo ngoma unaniliwaza kuliko hata wimbo huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Angepost mondi hiyo miuno ungefurahiii!Nilichojifunza mijitu inamsifia kibakuli ili tuu ipostiwe na mange insta... Chaajabu wanaume wa dar wanajirekodi huku wakikatika viuno then wanamrushia video mange ili awapost! Ujinga of the highest order
Even a black folk hate to see another nigga made it..
Sawa boss! Haujambo lakini?Mtatunga sana story mwaka huu.
Sedyuzika tu maana no way out.
Sasa kwa sababu hujaona cha maana wewe,unataka watu wote nao wasione cha maana kwenye huo wimbo? Utakuwa mchawi wewe sio bure.Wimbo sha usikiliza mwanzo mwisho sijaona cha maana afadhari hata nisikilize Msondo ngoma unaniliwaza kuliko hata wimbo huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya ndio matatizo ya watanzania!Maadui wa dai so wanampaisha ali kinafiki wakidhani wataweza kumshusha dai
Suburi ikifika mutaachana na zilipendwa mjajiunga bongo musicIle nyimbo yan huku mtaani hata siisikii asee.Watu wanapmbana na zilipendwa huku
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tena clouds kipindi cha nyuma walimuita mond kwenye interview na wakamsifu kwa kazi zake Leo hii wanajifanya kwamba wameuelewa Sana wimbo wa kiba fakeni kabisa clouds
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa huko tandale unategemea utasikia nyimbo ya seduce me? Mcheza kwao hutunzwa.Ile nyimbo yan huku mtaani hata siisikii asee.Watu wanapmbana na zilipendwa huku
Huo ni mtazamo wako tyuu wacha na wengine wasifie chao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijambo kabisa, nasedyuzika tu hapa.Sawa boss! Haujambo lakini?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] sana my dear unanikumbusha mbaali sana mpenzi wanguuu..!!!Kama nawaona wanavyokereka, ila ndio hivyo tena hamna jinsi. Wawaache watu waupende tu maana ingekuwa kasifiwa domo walaaa yasingewatoka hayo ya kuwatoka. Wasedyuzike tu.
Hahahahaha! Bampa to bampa u know,wataelewa tu!Ngoma imepiga 2m viewers mpaka sasa....... avha nikalale