SerbiaN raia wa nchi gan????
Kama sh. 156m za Bongo.R950,000/= sawa na shs ngap za kibongo????
Onyango akimwona anahisi tumbo la kuhara.Lile jambazi lililotupiga jana linalipwa randi 950,000 kwa mwezi, lilikuwa kazini serious hawa jamaa wako vizuri, hao wengine naendelea kuwatafuta taratibu.
View attachment 1786823
Wengine: Lazarous Kambole randi 120,000 Leonardo Castro randi 180,000 Willard Katsande randi 200,000
Thamani ya timu yao kwa ujumla inakadiriwa kufikia randi bilioni moja.
Kimsingi ligi yetu bado ni ya ridhaa, haina sifa za kuwa ligi ya kulipwa. Hizo wanazopewa wachezaji ni posho tu siyo mishahara! Mwendo bado mrefu sana kujilinganisha na ligi kubwa!Mshahara wa huyo jambaz ni mishahara ya wachezaj 25 wa Simba ,na mishahara ya wachezaj 40 ya utopolo, mudi aache masihara kabisa awekeze kwenye mpira kama kwel yupo serious .
Yaan watu hapo simba wanakula m5 kwa mwez wengine had 2m huo ni utan ,ifike wakat mchezaj wa kiwango cha chini hapo simba angalau alipwe 15m
Salary pia ni motivation factor, wewe unaweza penda kazi ambayo malipo yake huyafurahiiKwani wafanyakazi wa Tz na wa SA wanalingana mishahara? Na je, Mshahara unacheza mpira? Ili timu iwe bora inahitaji vitu vingi sio salary tu
Yanga wanaingiaje hapa kwenye mjadala wenu wa kit.henge.....Mshahara wa huyo jambaz ni mishahara ya wachezaj 25 wa Simba ,na mishahara ya wachezaj 40 ya utopolo, mudi aache masihara kabisa awekeze kwenye mpira kama kwel yupo serious .
Yaan watu hapo simba wanakula m5 kwa mwez wengine had 2m huo ni utan ,ifike wakat mchezaj wa kiwango cha chini hapo simba angalau alipwe 15m
Kuwalipa mishahara ya aina hii iendane na mataji watakayoiletea Simba, sio kumwaga pesa bure na kuishia kuchukua VPL kila mwaka.Mshahara wa huyo jambaz ni mishahara ya wachezaj 25 wa Simba ,na mishahara ya wachezaj 40 ya utopolo, mudi aache masihara kabisa awekeze kwenye mpira kama kwel yupo serious .
Yaan watu hapo simba wanakula m5 kwa mwez wengine had 2m huo ni utan ,ifike wakat mchezaj wa kiwango cha chini hapo simba angalau alipwe 15m
Utopolo wanapewa mihogo
Mudi yuko kimaslahi hawezi lipa mshahara wa chini Mil 15Mshahara wa huyo jambaz ni mishahara ya wachezaj 25 wa Simba ,na mishahara ya wachezaj 40 ya utopolo, mudi aache masihara kabisa awekeze kwenye mpira kama kwel yupo serious .
Yaan watu hapo simba wanakula m5 kwa mwez wengine had 2m huo ni utan ,ifike wakat mchezaj wa kiwango cha chini hapo simba angalau alipwe 15m
Ndio maana Lamine Moro kagombana nao anasema wachezaji waliofunga ni wachache lakini wote wanalishwa futali badala ya mlo kamiliUtopolo wanapewa mihogo