Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo mshahara wa 15M minimum walipwe wachezaji hawa wa sasa??Mshahara wa huyo jambaz ni mishahara ya wachezaj 25 wa Simba ,na mishahara ya wachezaj 40 ya utopolo, mudi aache masihara kabisa awekeze kwenye mpira kama kwel yupo serious .
Yaan watu hapo simba wanakula m5 kwa mwez wengine had 2m huo ni utan ,ifike wakat mchezaj wa kiwango cha chini hapo simba angalau alipwe 15m
Mashabiki Oya Oya ( Ngumbaru ) wa Simba SC kwa Ukweli na Ufafanuzi huu unaohalalisha kule Kufungwa kwetu Kishalubela ( Kikatili ) juzi lazima watakuchukia tu na hata Kututukana.Lile jambazi lililotupiga jana linalipwa randi 950,000 kwa mwezi, lilikuwa kazini serious hawa jamaa wako vizuri, hao wengine naendelea kuwatafuta taratibu.
View attachment 1786823
Wengine: Lazarous Kambole randi 120,000 Leonardo Castro randi 180,000 Willard Katsande randi 200,000
Thamani ya timu yao kwa ujumla inakadiriwa kufikia randi bilioni moja.
Hawa wachezaji wa kibongo ukimpa 15M hakuna atakachokuofa huko uwanjaniMshahara wa huyo jambaz ni mishahara ya wachezaj 25 wa Simba ,na mishahara ya wachezaj 40 ya utopolo, mudi aache masihara kabisa awekeze kwenye mpira kama kwel yupo serious .
Yaan watu hapo simba wanakula m5 kwa mwez wengine had 2m huo ni utan ,ifike wakat mchezaj wa kiwango cha chini hapo simba angalau alipwe 15m
Pole sana mkuu, mechi ijayo tuliza matako nyumbani utakuja gongwa na gari.Huyo Frank Ribery wao hana mbwembwe yeye ni kufunga tu bwege huyu,kanifanya jana nikasahau njia ya kueleka home.
Simba nguvu moja.
Teh, hadi huoni mchezaji wa simba wa kufaa kuchezea Kaizer ChiefsVile wanasogelea lango la simba unaona kabisa tunaenda kupigwa lingne hatari sana samir nukovic Serbia
Yule Castro katupia la nne Columbia alafu tuliwataka mamelod uzur wote tuliongoza kundi ingekua balaa
Kosa walilofanya hawa ni kuangalia mechi za mbali za fainali na nusu fainali kabla hawajavuka robowenzio huku kwa mudi wanapewa bodaboda..
Halafu utaskia thithi thimba tutabeba caf
Wewe mbona hujawekeza, unafikiri kutafuta pesa mchezo. Kina Madrid, Barcelona, Man United, Bayern wamewekeza mabilioni kwa mabilioni lakini bado wanakula vipigo.Mshahara wa huyo jambaz ni mishahara ya wachezaj 25 wa Simba ,na mishahara ya wachezaj 40 ya utopolo, mudi aache masihara kabisa awekeze kwenye mpira kama kwel yupo serious .
Yaan watu hapo simba wanakula m5 kwa mwez wengine had 2m huo ni utan ,ifike wakat mchezaj wa kiwango cha chini hapo simba angalau alipwe 15m
Jumamosi.
Tujaribu kujifunza biashara,uwekezaji unaenda sambamba na purchasing power ya nchi husika,uwekezaji unazingatia mahitaji ya soko.Mshahara wa huyo jambaz ni mishahara ya wachezaj 25 wa Simba ,na mishahara ya wachezaj 40 ya utopolo, mudi aache masihara kabisa awekeze kwenye mpira kama kwel yupo serious .
Yaan watu hapo simba wanakula m5 kwa mwez wengine had 2m huo ni utan ,ifike wakat mchezaj wa kiwango cha chini hapo simba angalau alipwe 15m
Zidisha kwa tsh 150R950,000/= sawa na shs ngap za kibongo????
Utopolo wanaingiaje hapaUtopolo wanapewa mihogo
Umesahau assist ya tshabalalaKuna yule mwamba mwenye upara kichwa kama mwendazake MANYAMA anapiga pasi za kiuhaji yani akishika mpira moyo unatak kusimama kile ki koi cha wawa sasa yani wale mbwa du
Alisikika Lapwalapwa mmoja hivi , special groupwenzio huku kwa mudi wanapewa bodaboda..
Halafu utaskia thithi thimba tutabeba caf