rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Kambole Simba walikuwa wanamtaka kama mbadala wa Okwi ila wakashindwa dauLile jambazi lililotupiga jana linalipwa randi 950,000 kwa mwezi, lilikuwa kazini serious hawa jamaa wako vizuri, hao wengine naendelea kuwatafuta taratibu.
View attachment 1786823
Wengine: Lazarous Kambole randi 120,000 Leonardo Castro randi 180,000 Willard Katsande randi 200,000
Thamani ya timu yao kwa ujumla inakadiriwa kufikia randi bilioni moja.
Huyo anaingia uwanjani kwa kazi moja tu aliyotumwa. ''To score''Huyo Frank Ribery wao hana mbwembwe yeye ni kufunga tu bwege huyu,kanifanya jana nikasahau njia ya kueleka home.
Simba nguvu moja.
Umenena vyema, tofauti za mishahara kwa wafanyakazi TZ na SA ni moja ya viashiria vya tofauti za kiuchumi kwa nchi hizi mbili. Vile vile tofauti ya mishahara/posho kati ya wachezaji wa ligi za soka za TZ na SA ni moja ya vigezo vya tofauti kati ya hizi ligi. Sisi kujilinganisha na ligi kama za SA bado sana. Hata hapa tulipofikia tumshukuru Maulana! Mpira pesa!Kwani wafanyakazi wa Tz na wa SA wanalingana mishahara? Na je, Mshahara unacheza mpira? Ili timu iwe bora inahitaji vitu vingi sio salary tu
HhhhhhhHuyo Frank Ribery wao hana mbwembwe yeye ni kufunga tu bwege huyu,kanifanya jana nikasahau njia ya kueleka home.
Simba nguvu moja.
Umekubali kufungwa na Bwege....kweli ww ni bwegeHuyo Frank Ribery wao hana mbwembwe yeye ni kufunga tu bwege huyu,kanifanya jana nikasahau njia ya kueleka home.
Simba nguvu moja.
Watakwambia ah nyie mbona mnataka kulipwa zaidi ata ya wakurugenzi wa mashirika ya uma 🤣🤣🤣🤣Mshahara wa huyo jambaz ni mishahara ya wachezaj 25 wa Simba ,na mishahara ya wachezaj 40 ya utopolo, mudi aache masihara kabisa awekeze kwenye mpira kama kwel yupo serious .
Yaan watu hapo simba wanakula m5 kwa mwez wengine had 2m huo ni utan ,ifike wakat mchezaj wa kiwango cha chini hapo simba angalau alipwe 15m
Bwege katufunga kibwege,ngoja aje kwa Mkapa hatoamini macho yake.Umekubali kufungwa na Bwege....kweli ww ni bwege
Kweli kabisa,mpira ni magoli mambo ya mbwembwe hakuna sahivi.Huyo anaingia uwanjani kwa kazi moja tu aliyotumwa. ''To score''
Ushabiki Maandazi wa kiswahili wa pira biriani anawaachia wabongo
Japo umeandika kwa ukakasi lakini ndo ilivyo. Lakini Simba ina mipango ya sasa na baadaye..Na ndiko inakoelekea.Mshahara wa huyo jambaz ni mishahara ya wachezaj 25 wa Simba ,na mishahara ya wachezaj 40 ya utopolo, mudi aache masihara kabisa awekeze kwenye mpira kama kwel yupo serious .
Yaan watu hapo simba wanakula m5 kwa mwez wengine had 2m huo ni utan ,ifike wakat mchezaj wa kiwango cha chini hapo simba angalau alipwe 15m
Halafu unakuta Mohamed Sports Club wanajitapa kwamba wao ni matajiri wakubwa,......
Mishahara inakupa picha ya uwezo wa kifedha wa club na aina ya wachezaji wanaoweza kusajiliwa na club hiyo.Kwani wafanyakazi wa Tz na wa SA wanalingana mishahara? Na je, Mshahara unacheza mpira? Ili timu iwe bora inahitaji vitu vingi sio salary tu
Vile wanasogelea lango la simba unaona kabisa tunaenda kupigwa lingne hatari sana samir nukovic SerbiaHawa jamaa hata wakija hapa kwa mkapa,tuwaangalie sana mipira ya juu kwa ni neema tu,,
Yaani wakipata kona ni goal !! Dah!!
Yatupasa pia tusome nyakati tuachane na mbwembwe tunapokuwa kwenye eneo la umaliziaji,,
Yaani wale jamaa walikuwa wanamimina mikwaju mpaka tumbo linacheza,,alafu sisi tuko kwenye lango lao tunaleta mambo ya biriani !!! Umeshafungwa 4 bado unaleta ufundi kwenye umaliziaji
Shabiki pekee wa Simba Wa Jikoni aliye mkweliHuyo Frank Ribery wao hana mbwembwe yeye ni kufunga tu bwege huyu,kanifanya jana nikasahau njia ya kueleka home.
Simba nguvu moja.
ona huyu.Kwani wafanyakazi wa Tz na wa SA wanalingana mishahara? Na je, Mshahara unacheza mpira? Ili timu iwe bora inahitaji vitu vingi sio salary tu
Mbona manara alisema chama na kagele wanakula million 700Mshahara wa huyo jambaz ni mishahara ya wachezaj 25 wa Simba ,na mishahara ya wachezaj 40 ya utopolo, mudi aache masihara kabisa awekeze kwenye mpira kama kwel yupo serious .
Yaan watu hapo simba wanakula m5 kwa mwez wengine had 2m huo ni utan ,ifike wakat mchezaj wa kiwango cha chini hapo simba angalau alipwe 15m
Mbona manara alisema chama na kagele wanakula million 700