MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Wsalaam wana JF
Hawa wasomi, wabobezi, wanaotumainiwa kuwa ni kielezo cha kuelimika na kusimamia yale waliyobobea wanakua ni laughingstock.
Of cause adui wa kwanza ni njaa, na hii sometimes ni individual case, a case to case basis. Ila inapokua systematic, yaan the whole bunch of population, it leaves a lot to be desired.
Huko jalalani kuna nini? Hawa watu wana low IQ au elimu iko overrated au walifundishwa wrong contents and now they are masters of nonsense.
Tuna Kabudi, Lipumba, Juma, Ndelichako, Mkumbo etc show me your brains guys, I am at the edge, I don't wanna loose my head, come on.
Lord have mercy
Hawa wasomi, wabobezi, wanaotumainiwa kuwa ni kielezo cha kuelimika na kusimamia yale waliyobobea wanakua ni laughingstock.
Of cause adui wa kwanza ni njaa, na hii sometimes ni individual case, a case to case basis. Ila inapokua systematic, yaan the whole bunch of population, it leaves a lot to be desired.
Huko jalalani kuna nini? Hawa watu wana low IQ au elimu iko overrated au walifundishwa wrong contents and now they are masters of nonsense.
Tuna Kabudi, Lipumba, Juma, Ndelichako, Mkumbo etc show me your brains guys, I am at the edge, I don't wanna loose my head, come on.
Lord have mercy