MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
- Thread starter
- #21
IndeedMbona wateuliwa wengine wanachomoa? Hawataki pesa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
IndeedMbona wateuliwa wengine wanachomoa? Hawataki pesa?
Naafiki, kwa lugha ya staha tuna watu walio kariri taarifa ambazo hawajui kuzitumiaKuwa na ubobezi au maarifa katika nadharia tu pasipo kuwa na uwezo au uthubutu wa kulitumia ni tatizo kipeuo cha tatu, unakuta mbobezi wa samaki katika chuo cha SUA hajawahi hata kuwa na mradi mdogo wa ufugaji wa samaki ila ndio ana hamasisha na kufundisha wengine wafuge samaki.
Nakubaliana na wewe asilimia 100. Wasomi hawa wanaweza nadharia tu.Ukiacha profesheni za ujuzi na teknikali kma udaktari, injinia na zinazofanana na hizo, elimu ya maprofesa na Phd za wabongo wengi na Africa ni za kujikweza na kujimwambafai tu ila zina mchango finyu sana kwa jamii na taifa kwa ujumla.
Walipo kuna pesa zaidiMbona wateuliwa wengine wanachomoa? Hawataki pesa?
Ishu za uongozi hasa kama hawa madc ilitakiwa iwalenge setifiketi na diploma tu.Ni jambo la kufikirisha, hao ni watafiti, wafanye tafiti
Eiza wana makandokando mengi wanaogopa kuingia kwenye mtegoWalipo kuna pesa zaidi
Hakika, wapo watu mitaani wenye little or no formal education, ila wana akili na wana command respect. Hawa ma pro-pesa wanatia aibu taifaElimu is Overrated.
Hasa formal Education.
Ipo tofauti kubwa baina ya Akili na Elimu.
Hil ni jambo la kulitizama kwa umakiniMfumo wa Elimu umejaa ukoloni mamboleo usikute michujo ya Elimu inawaacha watu wenye akili inachukua mijitu ya hovyo maana NCHI inasaidiwa zaidi na waliochujwa kwenye Ngazi mbalimbali za elimu.
Kwa hiyo tangu wauelewe msemo huo hawataki kuenenda kinyume chake?Akili nyingi huondoa Maarifa
Hata hao madaktari, na wahandisi, wanafanya nini cha maana? Matibabu ni nje ya nchi, tuna miradi mikubwa ya ujenzi, wakandarasi wa nje ya nchi. Aliyeropokwa juu ya jalala, alikuwa anajua anaongelea nini.Ukiacha profesheni za ujuzi na teknikali kma udaktari, injinia na zinazofanana na hizo, elimu ya maprofesa na Phd za wabongo wengi na Africa ni za kujikweza na kujimwambafai tu ila zina mchango finyu sana kwa jamii na taifa kwa ujumla.
Bila usaili, na unashurutishwa uukubali la sivyo...?!!Tatizo linaanza pale mtu ana phd ya udokta anapewa ukuu wa wilaya....