Hawa madereva wa serikali waangaliwe kwa umakini sana watawaua viongozi wetu wote

Kiingozi timamu huwezi kumwachia dereva wako aendeshe gari spidi ya kifo!!!
Unawahi ahera!!!
 
Angekua spidi ya kawaida damage isingekua hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…