ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Gari nyingi tu za watu binafsi zina handling nzuri kuliko hizo land cruisers ila hukuti wakifanya huo upuuzi highwayIle ngoma unaweza fik speed 180 na hujui unaona kama uko 70 ivi lakin wapita njia wanastuka
Mkeka wake gerage sio mchezoo, sasa huku kwa mama mambo bwerere walipa kodi wapoGari nyingi tu za watu binafsi zina handling nzuri kuliko hizo land cruisers ila hukuti wakifanya huo upuuzi highway
Kwanza mafuta mkuu. Mwendo wao unapoteza mafuta sana.Mkeka wake gerage sio mchezoo, sasa huku kwa mama mambo bwerere walipa kodi wapo
Ukiwa na LC still unawaza mafuta uza tu sio saizi yakoKwanza mafuta mkuu. Mwendo wao unapoteza mafuta sana.
Tunaongelea serikali. Bure haiwapi haki madereva wa serikali kutumia 50% more fuel kwa safari hiyo hiyo kwasababu ya spidi na rafuUkiwa na LC still unawaza mafuta uza tu sio saizi yako
Angekua spidi ya kawaida damage isingekua hivyoMkuu lakini kwa ajali ya leo huko Kilimnjaro inayomhusisha Katibu Tawala wa Mkoa, kulingana na Mkuu wa Mkoa Mohammed Babu, mwenye makosa si dereva wa serikali bali dereva wa lori lililokuwa lina ovateki wakati magari mengine yaliyosimamishwa yamesimama.
Hivyo ikawa uso kwa uso.
Ni kweli kabisa.Angekua spidi ya kawaida damage isingekua hivyo