Hawa madereva wa serikali waangaliwe kwa umakini sana watawaua viongozi wetu wote

Hawa madereva wa serikali waangaliwe kwa umakini sana watawaua viongozi wetu wote

Mkuu lakini kwa ajali ya leo huko Kilimnjaro inayomhusisha Katibu Tawala wa Mkoa, kulingana na Mkuu wa Mkoa Mohammed Babu, mwenye makosa si dereva wa serikali bali dereva wa lori lililokuwa lina ovateki wakati magarai mengine yaliyosimamishwa yamesimama.
Hivyo ikawa uso kwa uso.
Mkuu Sasa hivi mkuu wa mkoa ni Nurdin Babu. Mohamed Babu alikuwa zamani enzi za Kikwete. Sijui huyu Nurdin Babu ana ndugu wowote na Mohammed Babu.

Msaada

Accumen Mo johnthebaptist inamankusweke
 
My friend you lack seriousness. Waliomo kwenye hayo magari ndo hao hao viongozi na watunga sera. Kama wanashindwa kuwaambia madereva wao wapunguze mwendo au wafuate sheria za barabarani, si unaona hata umakini wa hao viongozi ni wa kutiliwa Shaka?

Wakati mwingine nadhani hawa viongozi wanaotumia magari ya kodi zetu, wanajiaminisha kwamba ajali zinawahusu walipa kodi pekee.

Inasikitisha, lakini ajali zitapungua endapo magari ya serikali yataanza kufuata sheria na kuwajibishwa kama raia wengine.
Masanja mjukuu wangu Asante. Mkuu Yuko pale anaona dereva anachezea maisha yake Ila yeye mkuu kakaa kimya anawaza rushwa na ngono.
Sisi hatuwezi kuleta mabadiliko iwapo muhusika anajiona hahusiki na kifo.
MADEREVA mkiona wakuu wenu Ni mazwazwa wekeni Moto bati.
 
Hawa watu wanakabidhiwa LC 300 gari ya gharama kubwa na kuwabeba viongozi wetu, hili jambo litazamwe upya

ili uwe dereva unahitaji kufanya mafunzo ya mchongo na pengine yenye usimamizi hafifu na kuachiwa uingie barabarani ukalete madahara kwa watu wengine

Darasa la saba B atapewaje gari ya thamani kubwa ikiwa imembeba mtu ambaye upatikanaji wake unachukua miaka mingi ya kielimu na kiuzoefu?

Uwezo wao wa kufanya maamuzi hata yale binafsi ni mdogo, inakuaje aachiwe akafanye maamuzi mazito huko barabarani?

Wakati umefika, viongozi wajiendeshe wenyewe au wasafiri kwa vyombo vingine ambavyo wanaondesha wanatumia muda mwingi darasani na hawaku-fail darasa la saba

Nawasilisha kwa hasira

PIA SOMA
- TANZIA - Katibu tawala mkoa wa Kilimanjaro, Dkt. Tixon Nzunda afariki kwa ajali ya gari
Huyo mbabe wa Mbozi ajari imechukua maisha yake.RIP. pot
 
Masanja mjukuu wangu Asante. Mkuu Yuko pale anaona dereva anachezea maisha yake Ila yeye mkuu kakaa kimya anawaza rushwa na ngono.
Sisi hatuwezi kuleta mabadiliko iwapo muhusika anajiona hahusiki na kifo.
MADEREVA mkiona wakuu wenu Ni mazwazwa wekeni Moto bati.
Sometimes ni Kazi nyingi wanaishia kuchoka.Dereva hajapumzika anaunganishwa safari na akifika huko anaenda kuzurula kwa videmu vidogo hatimae anaona Barbara mbili anafuata ya kushoto inakuwa hatari zaidi
 
Viongozi wetu kwanza ni mafisadi.Huenda madereva nao wamewachoka viongozi wetu Kwa ufisadi.mfano mtu afukuze wamasai kule ngorongoro lazima uchukiwe tu.Au mtu uamue kuuza bandari zote
 
Kutokea town Dodoma kwenda chinangari au kutokea chinangari kwenda Dodoma mjini hizi STk STM zina kimbizwa kama ambulance
 
Sasa kama viongozi wenyewe wameshindwa kuwadhibiti sisi ni nani!!??

Acha waendelee kuwabinua tu. Manake viongozi wetu ni mabubu mpaka kwa madereva wao
 
Hapo sasa ukute Huyo RAS ndo alikuwa anamgombeza dereva akiwa anaendesha mwendo wa slow..! Suala la kuendesha barabarani ajali ikitokea analaumiwa dereva ila haya mambo ni magumu sanaa..
Uko sahihi kabisa. Kuna siku nilikua naongea na dereva mmoja wa mkubwa, akaniambia hao viongozi NDIO WANAPENDA UENDESHE HIVYO!! Akaniambia mfano kwenye taasisi zenye madereva wengi, utakuta dereva anaepewa safari mara kwa mara, NI YULE ANAEKIMBIZA GARI SANA kuliko wenzake huyo ndio anapendwa. Akanipa mfano kwamba inaweza kupigwa simu kwamba kuna kikao cha dharura labda Dodoma, na kiongozi anatakiwa awepo, akasema dereva unaambiwa we kanyaga lazima tuwahi. Usipofanya hivyo next safari anachukuliwa dereva mwingine we unaambiwa huwezi kazi! Madereva ndio wanauawa na viongozi. 😐
 
Mtoa mada anashindwa kuelewa kuwa elimu kubwa haiendeshi gari Bali ni MTU binafsi, tatizo sio darasa la 7 wala chuo kikuu Bali ni UJINGA wa viongozi wenyewe ambao wanafurahia speed kubwa.

Wanaharaka za kuwahi mbinguni maana wao ni maboss. Wanayaendesha magari ya umma utafikiria hakuna sheria na taratibu, wala sio magari yanayonunuliwa na hela za walipa kodi.
Kuna makasiriko sana kwa hao wanayoyaendesha utadhani sisi watumia barabara tunahusika. Unfortunately, the accidents kill or can cause permanent injuries. Waswahili wanasema anayelala usimuamshe...waendelee kuwa na haraka zao hivyo hivyo
 
Hawa watu wanakabidhiwa LC 300 gari ya gharama kubwa na kuwabeba viongozi wetu, hili jambo litazamwe upya

ili uwe dereva unahitaji kufanya mafunzo ya mchongo na pengine yenye usimamizi hafifu na kuachiwa uingie barabarani ukalete madahara kwa watu wengine

Darasa la saba B atapewaje gari ya thamani kubwa ikiwa imembeba mtu ambaye upatikanaji wake unachukua miaka mingi ya kielimu na kiuzoefu?

Uwezo wao wa kufanya maamuzi hata yale binafsi ni mdogo, inakuaje aachiwe akafanye maamuzi mazito huko barabarani?

Wakati umefika, viongozi wajiendeshe wenyewe au wasafiri kwa vyombo vingine ambavyo wanaondesha wanatumia muda mwingi darasani na hawaku-fail darasa la saba

Nawasilisha kwa hasira

PIA SOMA
- TANZIA - Katibu tawala mkoa wa Kilimanjaro, Dkt. Tixon Nzunda afariki kwa ajali ya gari

Baada ya madereva wa daladala na bodaboda, wengine wenye vichwa vibovu, ni madereva wa magari ya serikali.
 
Endelea kutetea upuuzi, hao watu hawana akili kabisa, wengi wanavunja sheria za barabarani na ku-overtake kwenye milima na kona kali bila kujali
Wewe mixologist ndo unatetra upuuzi na UJINGA.

Anayeendeshwa anaona mwendo safi tena nyakati zote hao maboss ndo wanaowaelekeza madereva waongeze mwendo......wewe kajampa nani unapiga kelele wakati hujawahi kuendeshwa na hutoendeshwa mpaka unaingia kaburini.

Wakifa ndo kwa ajari kama hiyo ndo wengine watajifunza vizuri.


@mixiologist tuliza makalio Binti
 
Back
Top Bottom