Hawa madereva wa serikali waangaliwe kwa umakini sana watawaua viongozi wetu wote

Hawa madereva wa serikali waangaliwe kwa umakini sana watawaua viongozi wetu wote

Kwa hiyo ulitaka professors wawe madereva na hao unawaita la Saba ndio wawe country policy makers?
Ungewahi kusoma philosophy za Plato usingeandika huo udwanzi.
Soma vizuri uzi uelewe acha kukurupuka. Plato anaingiaje hapo, issue ziko very clear, hao watu wana little or no knowledge hawana necessary skills set na IQ zao ni ndogo. Sisi ambao tuko road kila mara tunaona kazi yao. Wewe uko shamba uko Najilinji una para-miwa unajiongelesha tu
 
Usiombe kukutana na Toyota land cruiser GXR au VXR na LC 300 ....Hizi chuma muda wote zinakaa upande wa kulia Tu na ukiona zimekaa upande wa kushoto basi ujue dereva anaenda kuchimba dawa au amefika safari yake.

Hawa madereva wa serikali Wanafanya ligi Hadi na baiskeli ilimradi akae mbele Tu, huwa wakipata ajali wala sisikitiki kutokana na UJINGA wao barabarani pamoja viongozi wao
 
Hawa watu ambao wame-fail darasa la saba na wana IQ ndogo sana wanakabidhiwa LC 300 gari ya gharama kubwa na kuwabeba viongozi wetu, hili jambo litazamwe upya...

Hawajali kabisa sheria. Hata kwenye taa nyekundu wao wanapita kama vile hawaoni. Halafu tunashangaa nini wanakufa na ajari?

Wao wana immune ya kuendesha hovyo bwana
 
Madereva wa serikali wameshindikana na hata trafiki wamebaki kuhangaika na magari ya kiraia. Unakuta STN inaovertake kwenye Kona au mlima na ghafla unaona hiyo mbele Yako.

Nendeni Marekani mkaone jinsi madereva walivyo na nidhamu barabarani ya Hali ya juu sana. Tanzania kuwa barabarani ni kama uko msituni kwenye wanyama wakali.

Maana Kuna pikipiki, mabusi, malori na magari ya serikali yote ni kuwindana tu .
 
Well said, japo mara nyingi kinga ya ajali ni ngumu, lakini ukweli dereva wa serikalini wengi hawafati taratibu kabisa, mfano sisi dereva wetu yeye hafati sheria kabisa, hata kwenye Mataaa namuonaga yeye anapita tu shwaa, namwambiaga huyo unayemuegemea ipo siku yako.
 
My friend you lack seriousness. Waliomo kwenye hayo magari ndo hao hao viongozi na watunga sera. Kama wanashindwa kuwaambia madereva wao wapunguze mwendo au wafuate sheria za barabarani, si unaona hata umakini wa hao viongozi ni wa kutiliwa Shaka?

Wakati mwingine nadhani hawa viongozi wanaotumia magari ya kodi zetu, wanajiaminisha kwamba ajali zinawahusu walipa kodi pekee.

Inasikitisha, lakini ajali zitapungua endapo magari ya serikali yataanza kufuata sheria na kuwajibishwa kama raia wengine.
Naunga mkono hoja
 
Mleta mada Huna akili kwanza kwa kudharau taaluma ya mtu, unapomuona mwenzako hana akili na kushusha uwezo wake yeye pia anakuona hvo hvo, dereva anaongozwa kwa sheria na taratibu mpaka anapata ajali anaweza sababisha au kusababishiwa. Nature ya viongozi hawataki kukaa foleni na kufuata sheria na hulazimisha ku overtake au kukimbia awahi anapokwenda.

Kama tatzo ni dereva wajiendeshe wenyewe simple tuu, mbona wao wanafanya maamuzi ya hovyo yanayogharimu maisha yetu au huoni hilo, kifo ni ahadi na ajali haina kinga
 
Mkuu lakini kwa ajali ya leo huko Kilimnjaro inayomhusisha Katibu Tawala wa Mkoa, kulingana na Mkuu wa Mkoa Mohammed Babu, mwenye makosa si dereva wa serikali bali dereva wa lori lililokuwa lina ovateki wakati magarai mengine yaliyosimamishwa yamesimama.
Hivyo ikawa uso kwa uso.
Mkuu ile ajali picha tumeona, ilikuwa na highly energetic! Na energy ni product ya spidi na uzito mkuu.

Energy = ½ mass x speed²
Speed ina more effect kwenye energy kuliko uzito. Increase ya spidi kidogo inaongeza energy sana kwasababu speed inakuwa sqaured

Kamq kweli lori liliovateki na ST ikasimama then Lori lingeibutua na kuisukuma nyuma, tungeona alama za matairi ya STL ikiburutwa nyuma. Damage kwa frontend isingekuwa that much na wangetoka vizuri tu.

Kwa kuangalia tu picha ST likuwa ameiva mbaya na kama kweli lori liliovateki basi either ST litia jeuri hakumpisha ama alikumbwa na surprise hakupata nafasi ya kupunguza mwendo na kumpisha.

Uliza dereva yoyote mzoefu highway atakuambia madereva wabaya zaidi barabarani ni
1. Serikali
2. Mabasi
3. Empty tanker
4. Private
5. Loaded trucks

Mabalozi wanaendesha magari hayo hayo na pia hawafuatiliwi na matrafiki kama ilivyo serikali lakini niambie mara ya mwisho umesikia gari la ubalozi, UN na diplomatic plates nyingine limepata ajali highway lini?
 
Madereva wa serikali wameshindikana na hata trafiki wamebaki kuhangaika na magari ya kiraia. Unakuta STN inaovertake kwenye Kona au mlima na ghafla unaona hiyo mbele Yako. Nendeni Marekani mkaone jinsi madereva walivyo na nidhamu barabarani ya Hali ya juu sana. Tanzania kuwa barabarani ni kama uko msituni kwenye wanyama wakali. Maana Kuna pikipiki, mabusi, malori na magari ya serikali yote ni kuwindana tu .
Madereva wa serikali na bodaboda ni mama mmoja na Baba mmoja
 
Hili swala magari ya viongozi kiukweli wanatuletea taabu kubwa barabarani, hebu chukulia mfano mpo zenu barabarani foleni halafu ghafla kiongozi anapita nyie mnaanza kuweka magari pembeni tena kwa uharaka chukulia huko pemveni mwa barabara Kuna boda boda wabaopenda kukaa ubavuni mwa Gari Kuna baiskeli na Kuna waenda kwa miguu na mtaro juu... hivi huyo kiongozi anaepita kwa mabavu yake ya utawala na watu wampishe ikitojea athari yoyote tulie na nani na speed zao ni over 80kmh... nawazilisha kwa hasira kama mhanga
 
Mleta mada Huna akili kwanza kwa kudharau taaluma ya mtu, unapomuona mwenzako hana akili na kushusha uwezo wake yeye pia anakuona hvo hvo, dereva anaongozwa kwa sheria na taratibu mpaka anapata ajali anaweza sababisha au kusababishiwa. Nature ya viongozi hawataki kukaa foleni na kufuata sheria na hulazimisha ku overtake au kukimbia awahi anapokwenda.

Kama tatzo ni dereva wajiendeshe wenyewe simple tuu, mbona wao wanafanya maamuzi ya hovyo yanayogharimu maisha yetu au huoni hilo, kifo ni ahadi na ajali haina kinga
Taaluma gani ni ma-pimbi tu, zingekua ni gari ambazo wanazinunua kwa fedha zao wasingekua wanazitomba hivyo barabarani. Ingia road ukutane na hivyo vyuma ndiyo utanielewa ninachoongea na hizo akili zako za kuvukia barabara
 
Back
Top Bottom