Hawa mamilioni ya Waafrika waliopelekwa Uarabuni kuwa watumwa waliishia wapi?

Hawa mamilioni ya Waafrika waliopelekwa Uarabuni kuwa watumwa waliishia wapi?

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Wakuu kama tunavyojua kulikua na biashara ya utumwa, watumwa kutoka upande wa Atlantic wakipelekwa Amerika, Brazil, Jamaica, Haiti n.k mpaka leo hii wamezaliana na wamekuwa mamia ya mamilioni kwa sasa hivi na tunawaona kwenye siasa, mpira, movie, miziki n.k

Takriban watumwa milioni 6 walipelekwa nchi Uarabuni, hawa ni wengi kuliko waliopelekwa Marekani na Carribean ambao ni milioni 4

Inakuwaje Marekani na Carribean kuna watu weusi wengi zaidi kuliko Uarabuni licha ya kupokea watumwa wachache?



IMG_20220929_204007.jpg
 
Waarabu walikuwa wafanyabiashara wa kati tu,ila wazungu walikuwa wanunuzi wakubwa wa utumwa na walipelekwa huko Marekani kaskazini kwa wingi.....

Wapo waliopelekwa uarabuni pia na kuhusu waarabu weusi mbona wapo mfano huko Sudan kaskazini, UAE
FaizaFoxy
 
hapa sasa ndo pakuamini mwarabu ni mtu mnuksi mara mia ya mzungu
Wazungu ni watu washenzi mara dufu ,mpaka kesho mtu mweusi kwao anaonekana kituko, infact nchi kama USA masuala ya ubaguzi yamepungua kasi baada ya watu weusi kulalamika sana mwishoni mwa miaka ya 80. Ila kuna majimbo mpk kesho mtu mweusi kwao anaonekana kama kioja tu.
 
Wakuu kama tunavyojua kulikua na biashara ya utumwa, watumwa kutoka upande wa Atlantic wakipelekwa Amerika, Brazil, Jamaica, Haiti n.k mpaka leo hii wamezaliana na wamekuwa mamia ya mamilioni kwa sasa hivi na tunawaona kwenye siasa, mpira, movie, miziki n.k

Lakini nchi za kiarabu pia kulipelekwa mamilioni ya watumwa hasa kutoka Afrika Mashariki

Takriban watumwa milioni 2 walipelekwa Uarabuni kutoka Afrika Mashariki

Je mbona Uarabuni hakuna hawa watu weusi waliozaliana kama huko Amerika?

View attachment 2371844
Mkuu, Tangu zamani Wazungu pamoja na kuwa waliwatumia watumwa kwa maendeleo yao lakini walikuwa na UTU.

Ikitokea Mwanamke wa kizungu amezaa na Mwanaume hata kama ni mweusi kama Mkaa lazima amtunze mwanae na ahakikishe ana maisha mazuri

Waarabu walikuwa na ROHO MBAYA na za kigaidi tangu zamani mpaka leo hii. Waliwahasi na kuwaua watu weusi

Ni Wabaguzi sana kama walivyo Wahindi.
 
Back
Top Bottom