Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Wewe ndio sijui hata unaandika nini.
Sioni logic katika maandishi yako...!
Nawewe ni Mwarabu wa Mbagala?
Unafikiri kila mtu humu atakufuata wewe!! Kwahiyo yeyote anaejitokeza kuwatetea waarabu ni mwarabu sio!! Tunapenda mno kulalamika, penda usipende waarabu wanasifika duniani kwa utu, ukarimu, ustaarabu n.k, especially Oman.