Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Duh, aiseeWaliwahasi ili wasizae na dada zao au wake zao hovyo waliperish baada ya kuzeekà au kuuawa na hawakuacha vizazi
Hapana mkuu hatujawahi waona. Hebu tuambie hata mmoja tumu gugo ndugu. Sio propaganda Ila waarabuNenda uarabuni uone waarabu weusi wenye asili ya kiafrika wapo mpaka kesho. Acha propaganda
Acha uongoWaliwahasi ili wasizae na dada zao au wake zao hovyo waliperish baada ya kuzeekà au kuuawa na hawakuacha vizazi
Nimepost baadhi ya videos za youtube unaweza kufatilia zaidiHapana mkuu hatujawahi waona. Hebu tuambie hata mmoja tumu gugo ndugu. Sio propaganda Ila waarabu
Uarabuni gani hyo imekaa km pemba? [emoji23][emoji23]Na hao wengine. View attachment 2371894
hapa sasa ndo pakuamini mwarabu ni mtu mnuksi mara mia ya mzunguWaliwahasi ili wasizae na dada zao au wake zao hovyo waliperish baada ya kuzeekà au kuuawa na hawakuacha vizazi
Wazungu ni watu washenzi mara dufu ,mpaka kesho mtu mweusi kwao anaonekana kituko, infact nchi kama USA masuala ya ubaguzi yamepungua kasi baada ya watu weusi kulalamika sana mwishoni mwa miaka ya 80. Ila kuna majimbo mpk kesho mtu mweusi kwao anaonekana kama kioja tu.hapa sasa ndo pakuamini mwarabu ni mtu mnuksi mara mia ya mzungu
Mkuu, Tangu zamani Wazungu pamoja na kuwa waliwatumia watumwa kwa maendeleo yao lakini walikuwa na UTU.Wakuu kama tunavyojua kulikua na biashara ya utumwa, watumwa kutoka upande wa Atlantic wakipelekwa Amerika, Brazil, Jamaica, Haiti n.k mpaka leo hii wamezaliana na wamekuwa mamia ya mamilioni kwa sasa hivi na tunawaona kwenye siasa, mpira, movie, miziki n.k
Lakini nchi za kiarabu pia kulipelekwa mamilioni ya watumwa hasa kutoka Afrika Mashariki
Takriban watumwa milioni 2 walipelekwa Uarabuni kutoka Afrika Mashariki
Je mbona Uarabuni hakuna hawa watu weusi waliozaliana kama huko Amerika?
View attachment 2371844