Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Mi nimeenda Oman na Saudi Arabia... Wale jamaa ni wanyama. Wanyama kabisa.. hawafai. Weusi wanafanywa zaidi ya ushetani mpaka kula kinyesi. Wanafanyiwa madhira ambayo ni aibu sisi kusimulia.maana tunaweza tengwa na watu wa dini.... So tunanyamaza kwa mengi sana. Msione kuna watu hatusemi kitu. Tunasimamia tu misingi ya dini lakini hatutaki kuabudu race ya watu.Wazungu ni watu washenzi mara dufu ,mpaka kesho mtu mweusi kwao anaonekana kituko, infact nchi kama USA masuala ya ubaguzi yamepungua kasi baada ya watu weusi kulalamika sana mwishoni mwa miaka ya 80. Ila kuna majimbo mpk kesho mtu mweusi kwao anaonekana kama kioja tu.
Not true, waarabu wanajisafisha sasahivi kupitia media
Ubaguzi kwa watu wenye ngozi nyeusi upo ulimwengu mzima. Nenda marekani utakutana na racism , ulaya ubaguzi upo, china ubaguzi upo, urusi ubaguzi upo mpk watu weusi wanauliwa.Mi nimeenda Oman na Saudi Arabia... Wale jamaa ni wanyama. Wanyama kabisa.. hawafai. Weusi wanafanywa zaidi ya ushetani mpaka kula kinyesi. Wanafanyiwa madhira ambayo ni aibu sisi kusimulia.maana tunaweza tengwa na watu wa dini.... So tunanyamaza kwa mengi sana. Msione kuna watu hatusemi kitu. Tunasimamia tu misingi ya dini lakini hatutaki kuabudu race ya watu.
Hata kugoogle hamtaki,mkilishwa propaganda mnameza na kuvimbiwa,Oman 15% ni weusi,Saudia 10%, Yemeni 12..Hawa wametoka wapi!?..wale wahindi weusi wametoka wapi!?..ati mzungu alikua na utu!!..Kama kusoma tabu tafuta movie 'twelve years a slave' uone utu wa mzunguMkuu, Tangu zamani Wazungu pamoja na kuwa waliwatumia watumwa kwa maendeleo yao lakini walikuwa na UTU.
Ikitokea Mwanamke wa kizungu amezaa na Mwanaume hata kama ni mweusi kama Mkaa lazima amtunze mwanae na ahakikishe ana maisha mazuri
Waarabu walikuwa na ROHO MBAYA na za kigaidi tangu zamani mpaka leo hii. Waliwahasi na kuwaua watu weusi
Ni Wabaguzi sana kama walivyo Wahindi.
Nani alikudanganya, fuatilia historia uone ukatili wa wazungu waliofanya kwa watumwa wa kiafrikaMkuu, Tangu zamani Wazungu pamoja na kuwa waliwatumia watumwa kwa maendeleo yao lakini walikuwa na UTU.
Ikitokea Mwanamke wa kizungu amezaa na Mwanaume hata kama ni mweusi kama Mkaa lazima amtunze mwanae na ahakikishe ana maisha mazuri
Waarabu walikuwa na ROHO MBAYA na za kigaidi tangu zamani mpaka leo hii. Waliwahasi na kuwaua watu weusi
Ni Wabaguzi sana kama walivyo Wahindi.
Wanajisahaulisha kuwa ubaguzi wa rangi Amerika mpk kesho upo!!Hata kugoogle hamtaki,mkilishwa propaganda mnameza na kuvimbiwa,Oman 15% ni weusi,Saudia 10%, Yemeni 12..Hawa wametoka wapi!?..wale wahindi weusi wametoka wapi!?..ati mzungu alikua na utu!!..Kama kusoma tabu tafuta movie 'twelve years a slave' uone utu wa mzungu
Mi nimeenda Oman na Saudi Arabia... Wale jamaa ni wanyama. Wanyama kabisa.. hawafai. Weusi wanafanywa zaidi ya ushetani mpaka kula kinyesi. Wanafanyiwa madhira ambayo ni aibu sisi kusimulia.maana tunaweza tengwa na watu wa dini.... So tunanyamaza kwa mengi sana. Msione kuna watu hatusemi kitu. Tunasimamia tu misingi ya dini lakini hatutaki kuabudu race ya watu.
Kama source yako ni Movie na Google basi sina hata haja ya kubishana nawewe.Hata kugoogle hamtaki,mkilishwa propaganda mnameza na kuvimbiwa,Oman 15% ni weusi,Saudia 10%, Yemeni 12..Hawa wametoka wapi!?..wale wahindi weusi wametoka wapi!?..ati mzungu alikua na utu!!..Kama kusoma tabu tafuta movie 'twelve years a slave' uone utu wa mzungu
Wanajisahaulisha kuwa ubaguzi wa rangi Amerika mpk kesho upo!!
Umeamua kujizima data!!!..endelea na punyeto lako la kiimani maana lakupa farajaKama source yako ni Movie na Google basi sina hata haja ya kubishana nawewe.
Na si bure hata kwenye Google hujasearch vitabu umetype tu
Wakuu kama tunavyojua kulikua na biashara ya utumwa, watumwa kutoka upande wa Atlantic wakipelekwa Amerika, Brazil, Jamaica, Haiti n.k mpaka leo hii wamezaliana na wamekuwa mamia ya mamilioni kwa sasa hivi na tunawaona kwenye siasa, mpira, movie, miziki n.k
Lakini nchi za kiarabu pia kulipelekwa mamilioni ya watumwa hasa kutoka Afrika Mashariki
Takriban watumwa milioni 2 walipelekwa Uarabuni kutoka Afrika Mashariki
Je mbona Uarabuni hakuna hawa watu weusi waliozaliana kama huko Amerika?
View attachment 2371844
Kama source yako ni Movie na Google basi sina hata haja ya kubishana nawewe.
Na si bure hata kwenye Google hujasearch vitabu umetype tu
Mkuu, Tangu zamani Wazungu pamoja na kuwa waliwatumia watumwa kwa maendeleo yao lakini walikuwa na UTU.
Ikitokea Mwanamke wa kizungu amezaa na Mwanaume hata kama ni mweusi kama Mkaa lazima amtunze mwanae na ahakikishe ana maisha mazuri
Waarabu walikuwa na ROHO MBAYA na za kigaidi tangu zamani mpaka leo hii. Waliwahasi na kuwaua watu weusi
Ni Wabaguzi sana kama walivyo Wahindi.
Umeamua kujizima data!!!..endelea na punyeto lako la kiimani maana lakupa faraja
Wewe ndio sijui hata unaandika nini.Kwahiyo unaamini ulichokaririshwa sio! Ni nani aliekukaririsha uongo nawe ukaamini? Ni wale ndugu zako wa dini moja huko ulaya na amerika kwa ujumla? Au huko makanisani?? Njoo na facts with evidence