Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Wewe ndio sijui hata unaandika nini.
Sioni logic katika maandishi yako...!
Nawewe ni Mwarabu wa Mbagala?
AiSeeh Yale majamaa msomali akasomeWaarabu wasingewaacha waafrica hai waishi arabuni,
Wazungu wana utu bhana waarabu na wahindi wale n zaidi ya washenzi
Hao dravidians history Yao ni tofauti na black slaves from Africa ,hao dravidians WA India South wapo hapo Kabla hata ya biashara ya utumwa ni indigenous wa hayo maeneo kama unavyo waona wale aborigins WA AustraliaKusini mwa india kwenye majimbo ya karnataka, andhra pradesh,tamil nadu,kerala etc kote kuna jamii za watu weusi
India’s forgotten African tribe
An African-origin ethnic tribe of about 20,000 people has been living in near total obscurity in India for centuries.www.bbc.com
Haya ni makatili na roho mbaya kuliko miarabu yenyewe. Ndo yenyewe yanapewa kazi ya kutekeleza hukum ya kifo kwa kukata shingo kwa jambiaNa hao wengine. View attachment 2371894
WaaaapiiiiiiHata kugoogle hamtaki,mkilishwa propaganda mnameza na kuvimbiwa,Oman 15% ni weusi,Saudia 10%, Yemeni 12..Hawa wametoka wapi!?..wale wahindi weusi wametoka wapi!?..ati mzungu alikua na utu!!..Kama kusoma tabu tafuta movie 'twelve years a slave' uone utu wa mzungu
Je huko Kwa hao slave masters wenu waarabu MuAfrica ndio ana thamani ? , Huko ambako Dada zenu wanabakwa na kuuawa kila siku ?Wazungu ni watu washenzi mara dufu ,mpaka kesho mtu mweusi kwao anaonekana kituko, infact nchi kama USA masuala ya ubaguzi yamepungua kasi baada ya watu weusi kulalamika sana mwishoni mwa miaka ya 80. Ila kuna majimbo mpk kesho mtu mweusi kwao anaonekana kama kioja tu.
Kudadadeki JF hii itatuua kwa kutuvunja mbavu haki ya nani [emoji38]
HAKUNA ALIE HASIWA, ila tamaduni za kiarabu na ustaarabu wao. sheria kali ya kifo kila anaepatikana na kosa la UZINIFU ilichangia sana kutoongezeka watu weusi waliokua uarabuni hakuna hata mwanamke wa kiarabu angezini na mtumwa kule.kama ilivyo ulaya watumwa walikua wakiwazini wanawake wa kizungu na kupatikana machotara wengi wa kiafrika kule ulaya zaidi ya Uarabuni. na hii ina thibitisha mpaka sasaWakuu kama tunavyojua kulikua na biashara ya utumwa, watumwa kutoka upande wa Atlantic wakipelekwa Amerika, Brazil, Jamaica, Haiti n.k mpaka leo hii wamezaliana na wamekuwa mamia ya mamilioni kwa sasa hivi na tunawaona kwenye siasa, mpira, movie, miziki n.k
Lakini nchi za kiarabu pia kulipelekwa mamilioni ya watumwa hasa kutoka Afrika Mashariki
Takriban watumwa milioni 2 walipelekwa Uarabuni kutoka Afrika Mashariki
Je mbona Uarabuni hakuna hawa watu weusi waliozaliana kama huko Amerika?
View attachment 2371844
Je huko Kwa hao slave masters wenu waarabu MuAfrica ndio ana thamani ? , Huko ambako Dada zenu wanabakwa na kuuawa kila siku ?
😂😂😂Una attack waarabu huyo mpango wenu ,jaribu kutaja uislamu ndo utajua rangi yangu ,kingine angalia mechi ya juzi ya Brazil walivyoshinda tano dhidi ya Tunisia je richalson yule mchezaji wa spurs alitupiwa ndizi so ubaguzi upo tu..
🤣🤣🤣 wewe jamaa ni mchonganishi
Wamezaliana wenyewe kwa wenyewe, machotara ni kidogo sanaHAKUNA ALIE HASIWA, ila tamaduni za kiarabu na ustaarabu wao. sheria kali ya kifo kila anaepatikana na kosa la UZINIFU ilichangia sana kutoongezeka watu weusi waliokua uarabuni hakuna hata mwanamke wa kiarabu angezini na mtumwa kule.kama ilivyo ulaya watumwa walikua wakiwazini wanawake wa kizungu na kupatikana machotara wengi wa kiafrika kule ulaya zaidi ya Uarabuni. na hii ina thibitisha mpaka sasa
wewe mwafrika hata uwe na mali kiasi gani huwezi kuozeshwa au kukubaliwa kimapenzi na bint yeyote mwarabu pure never ever labada awe chotara. Lakini ULAYA unajiokotea mabinti wa Kizungu atakavyo nguvu yako tu.
WAARABU WAMEJIHIFADHI SANA KATIKA ZINAA ZAIDI YA WAZUNGU.
Thibitisha hili.Wasichokijua watu ni kwamba ukiona kanzu na vilemba unajua wote ni waislamu,,Kwa taarifa yenu asilimia 80% au 70% ya watu WA Saudi Arabia Kwa mfano sio waislamu? Najua itakushangaza hii! Usi bishe fanya utafiti Kwanza
Wewe ndio WA kudhibitisha Mimi nafahamu,,,fanya utafitiThibitisha hili.