Asante kwa kuongezea maarifa, nami nakazia ifuatavyoHata kugoogle hamtaki,mkilishwa propaganda mnameza na kuvimbiwa,Oman 15% ni weusi,Saudia 10%, Yemeni 12..Hawa wametoka wapi!?..wale wahindi weusi wametoka wapi!?..ati mzungu alikua na utu!!..Kama kusoma tabu tafuta movie 'twelve years a slave' uone utu wa mzungu
Hata kugoogle hamtaki,mkilishwa propaganda mnameza na kuvimbiwa,Oman 15% ni weusi,Saudia 10%, Yemeni 12..Hawa wametoka wapi!?..wale wahindi weusi wametoka wapi!?..ati mzungu alikua na utu!!..Kama kusoma tabu tafuta movie 'twelve years a slave' uone utu wa mzungu
Wale ni weusi tu zaidi ya mkaa walitokea AfricaHao dravidians history Yao ni tofauti na black slaves from Africa ,hao dravidians WA India South wapo hapo Kabla hata ya biashara ya utumwa ni indigenous wa hayo maeneo kama unavyo waona wale aborigins WA Australia
Unajifaliji tu mtu mweupe hana urafiki na wewe
Onyesha ushahidi wa hilo unalosema namie nikupe ushahidi wa mamilioni ya waafrika waliouawa a na wakatoliki wa ArgentinaWakuu kama tunavyojua kulikua na biashara ya utumwa, watumwa kutoka upande wa Atlantic wakipelekwa Amerika, Brazil, Jamaica, Haiti n.k mpaka leo hii wamezaliana na wamekuwa mamia ya mamilioni kwa sasa hivi na tunawaona kwenye siasa, mpira, movie, miziki n.k
Takriban watumwa milioni 6 walipelekwa nchi Uarabuni, hawa ni wengi kuliko waliopelekwa Marekani na Carribean ambao ni milioni 4
Inakuwaje Marekani na Carribean kuna watu weusi wengi zaidi kuliko Uarabuni licha ya kupokea watumwa wachache?
View attachment 2371844
Unyama waliofanyiwa wa Afrika na wazungu, Belgium, Dutches,na waingereza, ni wa kutisha,Wakuu kama tunavyojua kulikua na biashara ya utumwa, watumwa kutoka upande wa Atlantic wakipelekwa Amerika, Brazil, Jamaica, Haiti n.k mpaka leo hii wamezaliana na wamekuwa mamia ya mamilioni kwa sasa hivi na tunawaona kwenye siasa, mpira, movie, miziki n.k
Takriban watumwa milioni 6 walipelekwa nchi Uarabuni, hawa ni wengi kuliko waliopelekwa Marekani na Carribean ambao ni milioni 4
Inakuwaje Marekani na Carribean kuna watu weusi wengi zaidi kuliko Uarabuni licha ya kupokea watumwa wachache?
View attachment 2371844
Kuandika tu hujui. Uzuli ndo nini?Kweli waarabu ni watu wabaya sana wewe uzuli wako ni upi?
Uliyoyaandika na ramani yako uliyobandika inakusuta. Bogus kabisa.Wakuu kama tunavyojua kulikua na biashara ya utumwa, watumwa kutoka upande wa Atlantic wakipelekwa Amerika, Brazil, Jamaica, Haiti n.k mpaka leo hii wamezaliana na wamekuwa mamia ya mamilioni kwa sasa hivi na tunawaona kwenye siasa, mpira, movie, miziki n.k
Takriban watumwa milioni 6 walipelekwa nchi Uarabuni, hawa ni wengi kuliko waliopelekwa Marekani na Carribean ambao ni milioni 4
Inakuwaje Marekani na Carribean kuna watu weusi wengi zaidi kuliko Uarabuni licha ya kupokea watumwa wachache?
View attachment 2371844
Wakuu kama tunavyojua kulikua na biashara ya utumwa, watumwa kutoka upande wa Atlantic wakipelekwa Amerika, Brazil, Jamaica, Haiti n.k mpaka leo hii wamezaliana na wamekuwa mamia ya mamilioni kwa sasa hivi na tunawaona kwenye siasa, mpira, movie, miziki n.k
Takriban watumwa milioni 6 walipelekwa nchi Uarabuni, hawa ni wengi kuliko waliopelekwa Marekani na Carribean ambao ni milioni 4
Inakuwaje Marekani na Carribean kuna watu weusi wengi zaidi kuliko Uarabuni licha ya kupokea watumwa wachache?
View attachment 2371844
Mfano hai Tunisia.Mkuu, Tangu zamani Wazungu pamoja na kuwa waliwatumia watumwa kwa maendeleo yao lakini walikuwa na UTU.
Ikitokea Mwanamke wa kizungu amezaa na Mwanaume hata kama ni mweusi kama Mkaa lazima amtunze mwanae na ahakikishe ana maisha mazuri
Waarabu walikuwa na ROHO MBAYA na za kigaidi tangu zamani mpaka leo hii. Waliwahasi na kuwaua watu weusi
Ni Wabaguzi sana kama walivyo Wahindi.
Ndicho kinachowaponza Azam.Mwarabu sio mtu mzuri kabisa wanatabia kubwa ya ubaguzi juzi tumeenda kuomba kibarua mahali in charge wa pale ni mwarabu ukifika anakusalim asalam waleik anakuangalia unavyojib inshu ikawa majina kati ya waliochukukuliwa wa kristo 7 Islamic 23 na hawa 7 kwa kuwa vijana wa i slamic wengi hawana elimu kubwa wana elimu ya mila na desturi za kiarabu
Masikini hawezi hama hapo ulipo hata mipakani mwa nchi jirani hupajuiHawa waarabu wakiwaleta hapa bongo nahama nchi.
Kama umeshindwa kufahamu neno dogo (uzuli)si bora uandike kilugha chako tuKuandika tu hujui. Uzuli ndo nini?
Wewe kwa waarabu ulifuata nini?kwanini usiende kwa mwamposa simnasema huyo ndie Mungu wenu[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]Mwarabu sio mtu mzuri kabisa wanatabia kubwa ya ubaguzi juzi tumeenda kuomba kibarua mahali in charge wa pale ni mwarabu ukifika anakusalim asalam waleik anakuangalia unavyojib inshu ikawa majina kati ya waliochukukuliwa wa kristo 7 Islamic 23 na hawa 7 kwa kuwa vijana wa i slamic wengi hawana elimu kubwa wana elimu ya mila na desturi za kiarabu
Kama kitu hukijui usibishe unapoelekezwa,hivi umeishawaona watu wa Yemen wengi wao wavyoonekana?Uarabuni gani hyo imekaa km pemba? [emoji23][emoji23]
Ilikuwaje mkuu? Ulitia mimba nini?Kwa kweli waarabu ni wajinga wapuuzi na washenzi pia ni wabaguzi mnooo
Mimi walitaka kuniua kisa binti yao wapuuzi wale