Hawa mamilioni ya Waafrika waliopelekwa Uarabuni kuwa watumwa waliishia wapi?

Asante kwa kuongezea maarifa, nami nakazia ifuatavyo
Europe kuna 3.3%
North America 12.6%
Brazil 7.6%
Arabs sio watu wa kutumia sana social medias na vyombo vya habari
 
 
Hao dravidians history Yao ni tofauti na black slaves from Africa ,hao dravidians WA India South wapo hapo Kabla hata ya biashara ya utumwa ni indigenous wa hayo maeneo kama unavyo waona wale aborigins WA Australia
Wale ni weusi tu zaidi ya mkaa walitokea Africa
 
Unajifaliji tu mtu mweupe hana urafiki na wewe
Onyesha ushahidi wa hilo unalosema namie nikupe ushahidi wa mamilioni ya waafrika waliouawa a na wakatoliki wa Argentina
 
Hawa waarabu wakiwaleta hapa bongo nahama nchi.
 
Unyama waliofanyiwa wa Afrika na wazungu, Belgium, Dutches,na waingereza, ni wa kutisha,
Kule Kongo, mfalme wa Belgium aliamuru watu wakatwe mikono ili wasiibe dhahabu,
Wapiganaji wa maumau, waliwaminya korodani mateka wote waliowakamata, watu walipoteza nguvu za kiume,
Usifikiri ni Arabs tu ndio waliotesa wa Afrika,
Tena mizungu ni mikatiri sana kuliko unavyoweza kufikiria,
 
Uliyoyaandika na ramani yako uliyobandika inakusuta. Bogus kabisa.

Jiulize hakuna watu weusi waliopelekwa Uropa? Mbona ramani haioneshi hayo?

Halafu jiulize, kwenye ramani yako mbona Argentina hakuna? Kwanini?

"Uarabu" siyo "Geographical location", Uarabu ni lugha na tamaduni (culture". Hata ramani inakusuta.

Ukisikia kusomea na kusomeshwa ujinga ndiyo huko.
 
Hadi kiswahili kinapigwa uko
 

Attachments

  • IMG_5638.jpeg
    37.4 KB · Views: 3
  • IMG_5639.jpeg
    17.7 KB · Views: 3
Kiukweli mimi nimeishi uarabuni .. Kuwait, Bahrain na Qatar sijawahi kubaguliwa ila kuwapata mabinti wa kiarabu ni kazi sana . Japo kuwala ilikuwa ni simpo maana wanapenda dyudyu nyeusi ni kubwa kubwa😂😂😂
 
Mwarabu sio mtu mzuri kabisa wanatabia kubwa ya ubaguzi juzi tumeenda kuomba kibarua mahali in charge wa pale ni mwarabu ukifika anakusalim asalam waleik anakuangalia unavyojib inshu ikawa majina kati ya waliochukukuliwa wa kristo 7 Islamic 23 na hawa 7 kwa kuwa vijana wa i slamic wengi hawana elimu kubwa wana elimu ya mila na desturi za kiarabu
 

Wapo mpaka leo nenda yemen kunawaarabu weusi kabisa saud arabia oman kote huko wapo
 
Mfano hai Tunisia.
Wamewafukuza wakimbizi wa kiafrika wanaenda ulaya kwa kuhofia uarabu wao utapotea
 
Ndicho kinachowaponza Azam.
Hawa waarabu ni wabaguzi sana
 
Wewe kwa waarabu ulifuata nini?kwanini usiende kwa mwamposa simnasema huyo ndie Mungu wenu[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Kwa kweli waarabu ni wajinga wapuuzi na washenzi pia ni wabaguzi mnooo
Mimi walitaka kuniua kisa binti yao wapuuzi wale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…