Hawa mamilioni ya Waafrika waliopelekwa Uarabuni kuwa watumwa waliishia wapi?

Hawa mamilioni ya Waafrika waliopelekwa Uarabuni kuwa watumwa waliishia wapi?

Mambo ya historia..

Isiyo na kichwa wala miguu, watu wapo mbali wanajenga nchi zao maendeleo makubwa, technology n.k, huku watu bado wanawazaga utumwa tu. Kama nikweli yalitokea japo siamini, basi Mtu huyo aliefanya unyama huo haijalishi ni nani basi ataenda kujibu kwa Mungu.
 
Wazungu ni watu washenzi mara dufu ,mpaka kesho mtu mweusi kwao anaonekana kituko, infact nchi kama USA masuala ya ubaguzi yamepungua kasi baada ya watu weusi kulalamika sana mwishoni mwa miaka ya 80. Ila kuna majimbo mpk kesho mtu mweusi kwao anaonekana kama kioja tu.
Sisi weusi tumeoa wazung weng zaid kulko warab kuolew na sisi
 
Wazungu ni watu washenzi mara dufu ,mpaka kesho mtu mweusi kwao anaonekana kituko, infact nchi kama USA masuala ya ubaguzi yamepungua kasi baada ya watu weusi kulalamika sana mwishoni mwa miaka ya 80. Ila kuna majimbo mpk kesho mtu mweusi kwao anaonekana kama kioja tu.
Mifano ya wenye mademu wa kizungu:
Harmonize
Linex
Chindo man
Hussein machozi
Gentriz
Mad ice
Young killer
Jaymond nk[emoji120]

Naomba kutajiwa uwiano wa wawafrika/wa tz walio oa mademu wa kiarabu yan pure arab syo koko?[emoji120]
 
Bado tu kuna watu wanawazaga utumwa!! Tutafute hela aise, waarabu pigeni kazi, hawa tulishawazoea, na wengi wao hawana kazi za kufanya. Pigeni kazi bhabhaa
Utu kwanza,hizo hela za wizi haziwezi kukufikisha popote
 
Wakuu kama tunavyojua kulikua na biashara ya utumwa, watumwa kutoka upande wa Atlantic wakipelekwa Amerika, Brazil, Jamaica, Haiti n.k mpaka leo hii wamezaliana na wamekuwa mamia ya mamilioni kwa sasa hivi na tunawaona kwenye siasa, mpira, movie, miziki n.k

Takriban watumwa milioni 6 walipelekwa nchi Uarabuni, hawa ni wengi kuliko waliopelekwa Marekani na Carribean ambao ni milioni 4

Inakuwaje Marekani na Carribean kuna watu weusi wengi zaidi kuliko Uarabuni licha ya kupokea watumwa wachache?



View attachment 2371844
Mwarabu ni mtu wa ajabu sana.
 
Hata kugoogle hamtaki,mkilishwa propaganda mnameza na kuvimbiwa,Oman 15% ni weusi,Saudia 10%, Yemeni 12..Hawa wametoka wapi!?..wale wahindi weusi wametoka wapi!?..ati mzungu alikua na utu!!..Kama kusoma tabu tafuta movie 'twelve years a slave' uone utu wa mzungu
Idadi hiyo ni ndogo sana
 
Yani wewe unajionyesha wazi kuwachukia waarabu, kwa taarifa yako tu, hakuna jamii iliyo na utu, ukarimu kama waarabu. Na usifikiri kuwachukia kwako waarabu ndio na wengine tukufuate, hilo liondoe akilini mwako, na Muisilamu ambae anawachukia waarabu huyo sio muisilamu wa kweli, bali ni jina tu, na wala hajasoma dini.

Bhujiku ng'waka
Ujinga mtupu. Kwa hiyo muislamu hatakiwi kumchukia mwarabu? Mentality gani hii?
 
Mimi huwa nawachana laiv watu kama hao, wanaendeleza chuki na kuwaaminisha watu uongo kama waarabu ni watu wabaya, makatili n.k,
Warabu siwapendi hata wazungu pia japo mmoja naweza kumfikilia ila syo mwarabu
 
Hivi kuna jamii duniani watu wake makatili kama wabantu!! Japo sio wote.

Hivi kuna jamii watu wake wakarimu kama waarabu!! Japo sio wote, lakini wengi wao ni watu wazuri, wakarimu, wana imani n.k.

Olenimala?? Au niongee lugha ipi unielewe!!
Mwarab huficha roho mbaya tu na si ukalimu
 
Tusijidanganye kuwa itumwa umekwisha duniani, labda limebadilika jina tu, kutoka watumwa kuwa "watumishi" au "wafanyakazi".

Tazameni tovuti ya utumwa duniani leo hii:

 
Back
Top Bottom