Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya historia..
Hakuna hyo kitu,taja weisi 5 kweny timu za mpira uarabunNenda uarabuni uone waarabu weusi wenye asili ya kiafrika wapo mpaka kesho. Acha propaganda
Sisi weusi tumeoa wazung weng zaid kulko warab kuolew na sisiWazungu ni watu washenzi mara dufu ,mpaka kesho mtu mweusi kwao anaonekana kituko, infact nchi kama USA masuala ya ubaguzi yamepungua kasi baada ya watu weusi kulalamika sana mwishoni mwa miaka ya 80. Ila kuna majimbo mpk kesho mtu mweusi kwao anaonekana kama kioja tu.
Mifano ya wenye mademu wa kizungu:Wazungu ni watu washenzi mara dufu ,mpaka kesho mtu mweusi kwao anaonekana kituko, infact nchi kama USA masuala ya ubaguzi yamepungua kasi baada ya watu weusi kulalamika sana mwishoni mwa miaka ya 80. Ila kuna majimbo mpk kesho mtu mweusi kwao anaonekana kama kioja tu.
Utu kwanza,hizo hela za wizi haziwezi kukufikisha popoteBado tu kuna watu wanawazaga utumwa!! Tutafute hela aise, waarabu pigeni kazi, hawa tulishawazoea, na wengi wao hawana kazi za kufanya. Pigeni kazi bhabhaa
Mwarabu ni mtu wa ajabu sana.Wakuu kama tunavyojua kulikua na biashara ya utumwa, watumwa kutoka upande wa Atlantic wakipelekwa Amerika, Brazil, Jamaica, Haiti n.k mpaka leo hii wamezaliana na wamekuwa mamia ya mamilioni kwa sasa hivi na tunawaona kwenye siasa, mpira, movie, miziki n.k
Takriban watumwa milioni 6 walipelekwa nchi Uarabuni, hawa ni wengi kuliko waliopelekwa Marekani na Carribean ambao ni milioni 4
Inakuwaje Marekani na Carribean kuna watu weusi wengi zaidi kuliko Uarabuni licha ya kupokea watumwa wachache?
View attachment 2371844
Idadi hiyo ni ndogo sanaHata kugoogle hamtaki,mkilishwa propaganda mnameza na kuvimbiwa,Oman 15% ni weusi,Saudia 10%, Yemeni 12..Hawa wametoka wapi!?..wale wahindi weusi wametoka wapi!?..ati mzungu alikua na utu!!..Kama kusoma tabu tafuta movie 'twelve years a slave' uone utu wa mzungu
Ujinga mtupu. Kwa hiyo muislamu hatakiwi kumchukia mwarabu? Mentality gani hii?Yani wewe unajionyesha wazi kuwachukia waarabu, kwa taarifa yako tu, hakuna jamii iliyo na utu, ukarimu kama waarabu. Na usifikiri kuwachukia kwako waarabu ndio na wengine tukufuate, hilo liondoe akilini mwako, na Muisilamu ambae anawachukia waarabu huyo sio muisilamu wa kweli, bali ni jina tu, na wala hajasoma dini.
Bhujiku ng'waka
Warabu siwapendi hata wazungu pia japo mmoja naweza kumfikilia ila syo mwarabuMimi huwa nawachana laiv watu kama hao, wanaendeleza chuki na kuwaaminisha watu uongo kama waarabu ni watu wabaya, makatili n.k,
Mwarab huficha roho mbaya tu na si ukalimuHivi kuna jamii duniani watu wake makatili kama wabantu!! Japo sio wote.
Hivi kuna jamii watu wake wakarimu kama waarabu!! Japo sio wote, lakini wengi wao ni watu wazuri, wakarimu, wana imani n.k.
Olenimala?? Au niongee lugha ipi unielewe!!
Je hela zikifutwa utazila?Tafuta hela
Hebu tupe jumla yake,Kisha utiambie wahindi weusi kusini mwa India walitoka wapi!?Idadi hiyo ni ndogo sana
Mzungu ni smart... Gentlemen naturally
Mwarab huficha roho mbaya tu na si ukalimu
Warabu siwapendi hata wazungu pia japo mmoja naweza kumfikilia ila syo mwarabu
Ujinga mtupu. Kwa hiyo muislamu hatakiwi kumchukia mwarabu? Mentality gani hii?
Utu kwanza,hizo hela za wizi haziwezi kukufikisha popote