JF,
Kwa kweli nimekuwa nikipata shida sana kuona mbuzi Hawa wanazagaa barabarani hovyo wakati Sheria za kutunza wanyama zipo wazi.
Je wale ni wa Serikali au? Kwasababu najua kabisa wangekuwa wa mtu binafsi wangeshakamatwa zamani na kutozwa faini.
Nani au Mamlaka gani ya Serikali inawajibika kusimamia wanyama wale inaleta mawazo mabaya kuichafua Serikali kwa vitu vidogo kama vile eti vimeshindikana na vimeachwa holela tu.
Naomba wahusika wawajibishwe haraka iwezekanavyo kwa sababu mbuzi Hawa wanaishi barabarani zaidi ya miaka mitano na ushee.
Pia, soma=> Mbuzi wanaozurura mijini ni wa nani? Inakuwaje hawaibwi na vibaka na hurudi nyumbani hata km 10 wenyewe?
Kwa kweli nimekuwa nikipata shida sana kuona mbuzi Hawa wanazagaa barabarani hovyo wakati Sheria za kutunza wanyama zipo wazi.
Je wale ni wa Serikali au? Kwasababu najua kabisa wangekuwa wa mtu binafsi wangeshakamatwa zamani na kutozwa faini.
Nani au Mamlaka gani ya Serikali inawajibika kusimamia wanyama wale inaleta mawazo mabaya kuichafua Serikali kwa vitu vidogo kama vile eti vimeshindikana na vimeachwa holela tu.
Naomba wahusika wawajibishwe haraka iwezekanavyo kwa sababu mbuzi Hawa wanaishi barabarani zaidi ya miaka mitano na ushee.
Pia, soma=> Mbuzi wanaozurura mijini ni wa nani? Inakuwaje hawaibwi na vibaka na hurudi nyumbani hata km 10 wenyewe?