Hawa mbuzi wanaozagaa maeneo ya Mbezi Tangibovu ni wa Serikali?

Hawa mbuzi wanaozagaa maeneo ya Mbezi Tangibovu ni wa Serikali?

Kuna Threads nyingi sana hapa JamiiForums za Kuwazungumzia hao Mbuzi nasikitika hujazifungua ili uzisome na upate Undani wake zaidi.

Hao Mbuzi unaowana hapo 50% ni Mbuzi kweli ila 50% ni Wenzetu na hapo wapo Kazini. Sheria yao Ukimgonga Mmoja na Kumuua usikimbie au usimchukue Ukamle bali jisalimishe kwa Mmiliki wake kisha ondoka zako kinyume cha hapo Ndugu zako watakuwekea Maturubai ya Msiba Nyumbani Kwako tayari kabisa kwenda Kukuzika mazima.
50% Ni wenzenu [emoji849][emoji849]?!
 
Kuna mamam mmoja nae utaratibu wake akitoka kazini mchana kama sa 9 anafungua geti anawaachia mbuzi wanaenda kuzurula barabarani huko , mbuzi walikuwa wanabandua na kula matanagazo ya tigo pesa yale pepsi etc.

Mbuzi wana tembea kati kati ya barabara kuu ,
Ikigika jioni kama sa 12 :30 mbuzi wanagonga geti wafunguliwe , mbuzi wanaita meeee , yule mama ndio anawafungulia

Siku nyingjne aspokuwepo muzi hadi sa 1 usiku wanazurala road..

Yeye alikuja kuibiwa mbuzi wote kwa mkupuo siku moja aliuowafungulia..
Na aliibiwa kipindi ambacho mme wake nae alikuwa kapotea nyumbani kwenye mazingira ya kutatanisha
 
Wapemba unawajuwa au unawasikia?

Kuna ndugu yao kafa mwezi wa pili na wao wakajibu mapigo mwezi uliofuata tarehe ileile aliyokufa ndugu yao.
Nchi ina mauzauza ya kila aina watz wengi wanaamini katika ushirikina
 
Hawa mbuzi wanashangaza sana..yaani hata jeshini Lugalo huwa wanatimba fresh tu. Wanajeshi wenyewe huwa hawathubutu kuwachinja.

Hawa mbuzi 🐐 hapo mjini wanavuka barabara kama watu yaani.
Siku moja natoka karume nakutana nao abiria wakawa wanapiga story kuwa hata wakifa huwa wanaenda kuzikwa mikoani huko.

Swali langu ni hawa panya road au vibaka huwa hawawaoni au?

View attachment 2213112mh! Ukiona choo Ndotoni.......
 
Mimi nimemshudia kijana bodaboda amegonga hao mbuzi hakwenda kwa mwenyewe kuomba msamaha kesho yake hakuamka tumezika, ni true story.

Hao mbuzi wapo wa mpemba mmoja maeneo ya kwa Gude jet kiwalani anajurikana nao wanazurura tu.

Ukigonga hao mbuzi inabidi uende kujisalimisha kwake kinyume chake lazima parapanda litaimbwa nyumbani kwenu, hili ni jambo nimelishuhudia sijahadisiwa na mtu.
Sikupingi, haya mambo yapo. Huku kwetu Kuna siku Niko stationary wakawa wanapita mbuzi na kondoo barabarani. Nikasema loooh Hawa mbuzi vipi mbona hawana mchungaji, si wataibiwa na vibaka?. Yule mwenye stationary alicheka akasema, "dada kamata mbuzi ata 1 apo halafu uone kimbembe chake, hutaamka mzima ww. Hao mbuzi wanatembea popote na wanarudi Kwa mwenyewe wakiwa idadi sawa kabisa. Sasa ww jichanganye. Mie mdomo ukaachia Kwa mshangao.

Nilivyomaliza nikaondoka, nafika nyumbani nikaanza muelezea bi Mkubwa. Bi Mkubwa akasema, heee hao si wa Mzee Fulani, anasifika kwa uchawi, na gusa uone kama utapona. Watu wote wanamuogopa, na akitaka kuchinja mbuz mojawapo anasimama Nyumbani kwake anaita tuu [emoji3][emoji3] basi mbuzi kokote walipo wanarudi Kwa kasi Sana, anachagua amtakaye then wengine wanaendelea kutawanyika.

Duniani Kuna mambo aisee [emoji28][emoji28]. Nilichoka Kwa taarifa.
 
Sikupingi, haya mambo yapo. Huku kwetu Kuna siku Niko stationary wakawa wanapita mbuzi na kondoo barabarani. Nikasema loooh Hawa mbuzi vipi mbona hawana mchungaji, si wataibiwa na vibaka?. Yule mwenye stationary alicheka akasema, "dada kamata mbuzi ata 1 apo halafu uone kimbembe chake, hutaamka mzima ww. Hao mbuzi wanatembea popote na wanarudi Kwa mwenyewe wakiwa idadi sawa kabisa. Sasa ww jichanganye. Mie mdomo ukaachia Kwa mshangao.

Nilivyomaliza nikaondoka, nafika nyumbani nikaanza muelezea bi Mkubwa. Bi Mkubwa akasema, heee hao si wa Mzee Fulani, anasifika kwa uchawi, na gusa uone kama utapona. Watu wote wanamuogopa, na akitaka kuchinja mbuz mojawapo anasimama Nyumbani kwake anaita tuu [emoji3][emoji3] basi mbuzi kokote walipo wanarudi Kwa kasi Sana, anachagua amtakaye then wengine wanaendelea kutawanyika.

Duniani Kuna mambo aisee [emoji28][emoji28]. Nilichoka Kwa taarifa.
Dhana tu mlio muwekea huyo mzee lakini huwenda hakuna uhalisia wowote kama ulivyo sema.
 
Wale Mbuzi hawana Mwenye nao, Jichangamye uone Sasa Moto wake
Kuna Mwanangu Mmoja aligonga Mmoja, alishinda Parokiani akisali wiki nzima kujikabishi chini ya Ulinzi wa Mungu
Ndio ilikuwa pona yake
Uongo huo
 
Sikupingi, haya mambo yapo. Huku kwetu Kuna siku Niko stationary wakawa wanapita mbuzi na kondoo barabarani. Nikasema loooh Hawa mbuzi vipi mbona hawana mchungaji, si wataibiwa na vibaka?. Yule mwenye stationary alicheka akasema, "dada kamata mbuzi ata 1 apo halafu uone kimbembe chake, hutaamka mzima ww. Hao mbuzi wanatembea popote na wanarudi Kwa mwenyewe wakiwa idadi sawa kabisa. Sasa ww jichanganye. Mie mdomo ukaachia Kwa mshangao.

Nilivyomaliza nikaondoka, nafika nyumbani nikaanza muelezea bi Mkubwa. Bi Mkubwa akasema, heee hao si wa Mzee Fulani, anasifika kwa uchawi, na gusa uone kama utapona. Watu wote wanamuogopa, na akitaka kuchinja mbuz mojawapo anasimama Nyumbani kwake anaita tuu [emoji3][emoji3] basi mbuzi kokote walipo wanarudi Kwa kasi Sana, anachagua amtakaye then wengine wanaendelea kutawanyika.

Duniani Kuna mambo aisee [emoji28][emoji28]. Nilichoka Kwa taarifa.
Acheni imani potofu. Hayo mambo yanatungwa na wajanja wachache kwa lengo la kuendelea kupiga pesa za wajinga
 
Uliza watu munispa dodoma walikamataga kondoo na kuwafungia ndani. Siku hiyo mzee Tandara akapata taharifa, kwenda pale wakampiga faini akalipa kisha akawaambia wampe mifugo yake, walipokwenda kuwafunguli hata mikojo hata vinyesi wala dalili za kusema hapa walifugiwa wanyama hata dakika moja hapakua na dalili. Mzee kakomaa kudai mifugo yake wakamrudishia pesa yake akagoma. Uliza kilichowapata bahadhi.
 
Acheni imani potofu. Hayo mambo yanatungwa na wajanja wachache kwa lengo la kuendelea kupiga pesa za wajinga
Ndiyo ni njia ya kujipatia pesa. Lakini anatumia nini?. Si hayo hayo mauchawi?. Acha kuchukulia vi2 simple kama hayajawahi kukukuta khaa [emoji3]
 
Hao itakua wa yule Mama wa kupemba wa pale goigi..😂😂😂😂..mbuzi wanalala barabarani na hawana habari
 
Back
Top Bottom