Hawa mbuzi wanaozagaa maeneo ya Mbezi Tangibovu ni wa Serikali?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kheeeeeeh.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu kila mkoa/wilaya wapo wa hivyo, sijui huwa wanaambizana, khaaaah
 
Hao itakua wa yule Mama wa kupemba wa pale goigi..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..mbuzi wanalala barabarani na hawana habari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] siku hiyo wasitake kuingia gate la chuo, watu wakawahi kuziba gate, wakapitiliza kuelekea mawasiliano, mweeeeeh
 
Mkuu hao sio mbuzi ni watu bob, wengi huwa wametolewa kafala na wafanyabiashara na wanasiasa. Na waliwatoa kafala wapo kwenye hizo mansions za Mbezi Beach. Ndio maana huwezi kuwakuta Temeke hao au Chanika. N serikali inafahamu na wenye hao mandondocha huwa wanawajua hali mara kwa mara.
 
Ndiyo ni njia ya kujipatia pesa. Lakini anatumia nini?. Si hayo hayo mauchawi?. Acha kuchukulia vi2 simple kama hayajawahi kukukuta. Mtoa mada anahitaji ushauri na si bla bla zako za maneno ya dhahania tu khaaa[emoji3]
Usinilazmishe kuamini mambo ya kitapeli. Huo siyo uchawi, na hao mbuzi hawana uhusiano wowote na uchawi.

Tatizo mmeshaaminishwa uchawi. Najua ugumu unaoupata kukubali kuwa hakuna hayo mambo bali ni utapeli tu.
 
Mbuzi wengi mjini wanavutiwa sana na Magari,
Haiwezekani mitaa yote ya kuzurla wasiione waende kupuyanga katikati ya barabara kuu..

Mbizi gani wakiziona ist, vitz na starlet wanazicheka ? Muda mwingine hata kuyapisha hayo magari hawataki
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu kila mkoa/wilaya wapo wa hivyo, sijui huwa wanaambizana, khaaaah
[emoji23][emoji23] Kuna watu wanajiamini. Lakini Cha kushangaza kufa wanakufa siku yao ikifika.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Pep
 
Mbuzi wengi mjini wanavutiwa sana na Magari,
Haiwezekani mitaa yote ya kuzurla wasiione waende kupuyanga katikati ya barabara kuu..

Mbizi gani wakiziona ist, vitz na starlet wanazicheka ? Muda mwingine hata kuyapisha hayo magari hawataki
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Jamani mnaweza kuona kuwa ni mbuzi kumbe ni misukule iyo wenye misukule yao wamekufa so ikabadilishwa izagae huko ijitafutie mkate wa kila siku sasa embu thubutu uchinje ule utaona shuhuri yake
 
hizi speculation ndio zinafanya hawa mbuzi waendelee kuzagaa ajabu ukienda morogoro wapo ukienda tanga wapo ukienda mbagala wapo ukienda kimara wapo ukienda kinondoni wapo yani kila mahali so hao wachawi wako kote huko
 
wakat tunakua mtaan kuna mzee mmoja ana busha yeye anambuz zaid ya 50 na wanakaa nje tu hawana banda sku moja wahun wakajichanganya wakawapakia kwenye fuso uko uko wanapojchunga wakasepa nao wanafka maeneo ya Tinde kwa mbele dereva na wenzake kwenye kibn wanasikia saut za watu kama zile gar za kwenda kwenye minada yan fuso imeshona watu wanapga miluz na kucheka ile kusmama waangalie wanakuta fuso imejaa masela hatar uko nyuma [emoji23] kilchofata sjui kwakwel

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…